Maina Owino wa CCM UK awashukia wabunge wa CHADEMA juu ya kumsusia JK

acheni wivu wa kike nyie, kuwaona wenzenu cuf wameshika madaraka serikalini inawauma sana. Siku zote dhamira ya chama cha siasa ni kushika madaraka na kwa cuf hilo ndilo linalo elekea kwao.

ndugu, wewe utakuwa uchi wa mbuzi sasa..... Kumbuka hata wakoloni waliwatumia machifu kuwanyanyasa watu wao, naamini hata cuf wameshirikishwa kama machifu enzi zile.
Tunachotaka ni ukombozi wa kweli kwa mtanzania
 
Jibuni hoja sio kuleta vioja kama alifanya hivyo daruso na kwingine kulikuwa hakuna vyombo vya sheria kushitaki ?
 
Tarehe Thu Nov 18, 09:28:00 PM, Mtoa Maoni: MAINA ANG'IELA OWINO

CHADEMA mtindo huu wa Siasa za Shangwe umepitwa na wakati hasa ktk Taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya kusonga mbele.

Hii ni kushiriki Demokrasia isiyo na NIDHAMU hasa kwa Watanzania waliowatuma kuwawakilisha BUNGENI.

Watanzania mliowachagua hawa ndugu mjue imekula kwenu maana wao mishahara watavuta kutoka kwenye KODI zenu.

Kwa kweli vijana wenzetu bila kujali ITIKADI ya vyama, sikutegemea hata wewe Zitto, Halima Mdee,Mnyika na Vincent Nyerere kuwakebehi wananchi waliowachagua nyinyi na Rais Kikwete kwa kuondika nje ya BUNGE lao tukufu.Hii ni HAKI yenye AIBU.

Siamini kama mlimshirikisha Mhe. Mabere Marando kusaini mishahara yenu na kwenda kupunga upepo kwa ufahari nje ya Bunge wakati linafunguliwa rasmi.Haya yangefanyika kwenye jukwaa la kongamano au siasa za halaiki.

Bila shaka hamkutaka kusikia na kukubaliana na wito wa Rais kuwa nyinyi wabunge mtumie muda mwingi kuwasikiliza wananchi.

Je,mtatoka mara ngapi?.
Na kwa idadi yenu mtaathiri maamuzi ya Bunge kwa utaratibu wake kusaidia wananchi kwa kiasi gani?
Kwa shida na mahitaji ya wananchi bado wana wakati wa kusikiliza utetezi wa ilani ya chama cha siasa au utekelezaji wa Serikali ya Chama kilicho madarakani.

Mhe. Lisu,kaka yangu msomi, hizi siyo mbinu ktk harakati za mabadiliko ya kisasa.Nchi yenu ilizitupilia mbali hata wakati wa kudai UHURU. Nilidhani unazijua na utawaongoza wenzio vizuri kwa mbadala angalau wenye mkakati...

Halima Mdee, nisikilize kwa makini. Tanuru unalopita limeziba mbele na mwanga uonao ni moto mkali. Hujafika mbali Geuza mkakati,maana nyota yako ktk siasa za kitaifa hazifai kuchomeka kizembe kwa kuongozwa na vipofu wa mkakati ulioshindwa kabla haujaanza.

MAINA ANG'IELA OWINO.
(SOURCE:MICHUZI BLOGSPOT)

Kwanza niku pole kwani unajiabisha. Kama wewe ni Yule Maina Owino aliyekuwa Katibu wa DARUSO UDSM, ninakufahamu na watu wengi wanakufahamu. Hufai hata kidogo. Ukitaka Kikwete na CCM wakuone na kukusaidia, tumia njia nyingine. Otherwise stop it.
 
Omera sorry u have no qualificatins at all to be named omera very bogus and stupidy corrupted gay! That is what you deserve! To hell with your ccm song opener barman is your esteemed profession!
 
huyo owino inaelekea hata huko uk kapelekwa na ccm. Na huenda hata pamoja na kuishi kwake uk hana connection yoyote ya kisiasa zaidi ya katiba ya ccm aliyotoka nayo tanzania.

Kama mtu hujui siasa ni vema ukakaa tu kimya kama mimi. Na kama huna points za kuandika si lazima uandike chochote kilichopo akilini mwako mara ujiungapo kwenye blogs za watu.

Wenye kui support ccm kwa wakati huu wa maisha tulio nao ni wale ambao bado wanataka tuendelee kuishi maisha ya kujisaidia mapolini kama nguchiro au tumbili. Chadema wametumia busara na demokrasia waliyo nayo kutoka ndani ya bunge. Hii haimaanishi kumdharau rais aliye teuliwa na nec bali inamaanisha kwamba hawakubaliani na uwepo wake kama rais.

Sasa kama kanuni na sheria za nchi zina ruhusu kufanya hivyo, tatizo lipo wapi? Lazima tukubali kubadirika. Na pasipo mabadiriko tanzania tutaendelea kuishi maisha ya kijima na kitegemezi.
 
Huyu Maina tunamuelewa vizuri sana; alikuwa ni msaliti mkubwa wa siasa za kimapinduzi pale Mlimani wakati huo akiwa Katibu Mkuu wa Daruso. Waliibukak na kashfa nyingi sana zikiwemo kashfa ya magari yay wanafunzi, kashfa za kuuza vyumba kinyemela na kuwakosesha wanafunzi wengi vyumba (waliokuwa wanastahili) na kashfa za kufanya biashara haramu na kunjichukulia tenda mbalimbali kwa kutumia kivuli cha ofisi ya DARUSO! Yeye na Rais wake wa wakati huo waliiba sana fedha pale, walijipangia safari nyingi za kwenda nje na kula maisha na warembo wa mlimani...haikushangaza hata Maimu alipofeli mtihani kule Engineering!!
Maina alinunuliwa na CCM kitambo, ni kibaraka wao, yeye pamoja na jamaa kadhaa tunawafahamu wapo Foreign Affairs ni vibaraka wa CCM...ningemshangaa kama asingejitokeza kulaumu Chadema.....

Anaanadaliwa kuja kuwa mbunge huko Mara


Ee Mungu na asiupate.
 
huyu maina ni sifuri kabisa. Huyu mtu alikuwa tapeli wa vyumba pale alipopapata uongozi pale mlimani, leo ana gutz za kuwakebei wana mageuzi.


naomba biography ya maina kwa anayemfahamu tafadhali......... Nimesoma huo ulanguzi wa vyumba udsm, tupe biography yake huyo
 
Kwanza niku pole kwani unajiabisha. Kama wewe ni Yule Maina Owino aliyekuwa Katibu wa DARUSO UDSM, ninakufahamu na watu wengi wanakufahamu. Hufai hata kidogo. Ukitaka Kikwete na CCM wakuone na kukusaidia, tumia njia nyingine. Otherwise stop it.

Ndio huyo F.a.l.a. Shida zinamsumbua tu....!!!! Rudi nyumbani tukupakate !!!!!
 
Tarehe Thu Nov 18, 09:28:00 PM, Mtoa Maoni: MAINA ANG'IELA OWINO

CHADEMA mtindo huu wa Siasa za Shangwe umepitwa na wakati hasa ktk Taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya kusonga mbele.

Hii ni kushiriki Demokrasia isiyo na NIDHAMU hasa kwa Watanzania waliowatuma kuwawakilisha BUNGENI.

Watanzania mliowachagua hawa ndugu mjue imekula kwenu maana wao mishahara watavuta kutoka kwenye KODI zenu.

Kwa kweli vijana wenzetu bila kujali ITIKADI ya vyama, sikutegemea hata wewe Zitto, Halima Mdee,Mnyika na Vincent Nyerere kuwakebehi wananchi waliowachagua nyinyi na Rais Kikwete kwa kuondika nje ya BUNGE lao tukufu.Hii ni HAKI yenye AIBU.

Siamini kama mlimshirikisha Mhe. Mabere Marando kusaini mishahara yenu na kwenda kupunga upepo kwa ufahari nje ya Bunge wakati linafunguliwa rasmi.Haya yangefanyika kwenye jukwaa la kongamano au siasa za halaiki.

Bila shaka hamkutaka kusikia na kukubaliana na wito wa Rais kuwa nyinyi wabunge mtumie muda mwingi kuwasikiliza wananchi.

Je,mtatoka mara ngapi?.
Na kwa idadi yenu mtaathiri maamuzi ya Bunge kwa utaratibu wake kusaidia wananchi kwa kiasi gani?
Kwa shida na mahitaji ya wananchi bado wana wakati wa kusikiliza utetezi wa ilani ya chama cha siasa au utekelezaji wa Serikali ya Chama kilicho madarakani.

Mhe. Lisu,kaka yangu msomi, hizi siyo mbinu ktk harakati za mabadiliko ya kisasa.Nchi yenu ilizitupilia mbali hata wakati wa kudai UHURU. Nilidhani unazijua na utawaongoza wenzio vizuri kwa mbadala angalau wenye mkakati...

Halima Mdee, nisikilize kwa makini. Tanuru unalopita limeziba mbele na mwanga uonao ni moto mkali. Hujafika mbali Geuza mkakati,maana nyota yako ktk siasa za kitaifa hazifai kuchomeka kizembe kwa kuongozwa na vipofu wa mkakati ulioshindwa kabla haujaanza.

MAINA ANG'IELA OWINO.
(SOURCE:MICHUZI BLOGSPOT)

Uwe yeyote sipendi unavyopersonalise issue. Hiyo ndiyo mikakati iliyochakachuliwa. Wabunge uliowataja wameingia bungeni kupambana kwa niaba yetu na nchi yetu. Kama uko UK kweli hujui moto wa ufisadi wa CCM unavyotuwakia. Na wewe unakiri ni nchi masikini. Mimi nakwambia nchi hii tajiri ila inafilisiwa na CCM wenye fikira finyu na ulafi usio na soni. Miaka hamsini ya umasikini hauwaumi na hawajui kwa nini nchi ni maskini.
 
Tarehe Thu Nov 18, 09:28:00 PM, Mtoa Maoni: MAINA ANG'IELA OWINO

CHADEMA mtindo huu wa Siasa za Shangwe umepitwa na wakati hasa ktk Taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya kusonga mbele.

Hii ni kushiriki Demokrasia isiyo na NIDHAMU hasa kwa Watanzania waliowatuma kuwawakilisha BUNGENI.

Watanzania mliowachagua hawa ndugu mjue imekula kwenu maana wao mishahara watavuta kutoka kwenye KODI zenu.

Kwa kweli vijana wenzetu bila kujali ITIKADI ya vyama, sikutegemea hata wewe Zitto, Halima Mdee,Mnyika na Vincent Nyerere kuwakebehi wananchi waliowachagua nyinyi na Rais Kikwete kwa kuondika nje ya BUNGE lao tukufu.Hii ni HAKI yenye AIBU.

Siamini kama mlimshirikisha Mhe. Mabere Marando kusaini mishahara yenu na kwenda kupunga upepo kwa ufahari nje ya Bunge wakati linafunguliwa rasmi.Haya yangefanyika kwenye jukwaa la kongamano au siasa za halaiki.

Bila shaka hamkutaka kusikia na kukubaliana na wito wa Rais kuwa nyinyi wabunge mtumie muda mwingi kuwasikiliza wananchi.

Je,mtatoka mara ngapi?.
Na kwa idadi yenu mtaathiri maamuzi ya Bunge kwa utaratibu wake kusaidia wananchi kwa kiasi gani?
Kwa shida na mahitaji ya wananchi bado wana wakati wa kusikiliza utetezi wa ilani ya chama cha siasa au utekelezaji wa Serikali ya Chama kilicho madarakani.

Mhe. Lisu,kaka yangu msomi, hizi siyo mbinu ktk harakati za mabadiliko ya kisasa.Nchi yenu ilizitupilia mbali hata wakati wa kudai UHURU. Nilidhani unazijua na utawaongoza wenzio vizuri kwa mbadala angalau wenye mkakati...

Halima Mdee, nisikilize kwa makini. Tanuru unalopita limeziba mbele na mwanga uonao ni moto mkali. Hujafika mbali Geuza mkakati,maana nyota yako ktk siasa za kitaifa hazifai kuchomeka kizembe kwa kuongozwa na vipofu wa mkakati ulioshindwa kabla haujaanza.

MAINA ANG'IELA OWINO.
(SOURCE:MICHUZI BLOGSPOT)

Another CRyAP
 
Do not mind this guy folks,

Soma historia ya hawa ndugu zetu wajaluo utamuelewa Owino. Wakati wa MAUMAU Kenya wao ndio walikuwa wanashirikiana na wakoloni kuwakamata na kuwaua ndugu zao. Wakapewa ukarani kwenye ofisi za wazungu na kufungishwa tai wakadhani wamefika peponi.

Hili kabila wana historia ndefu sana ya usaliti. Waliobaki wachache kama Odinga bado wakikuyu hawawaamini kuwapa uongozi kwani kumbukumbu za waliofanya babu zao bado zipo wazi.

HUYU NI UKKOKO WA WALE WAJALUO WA MIAKA YA 50. WENZAKE WALISHABADILIKA SANA.
Ni vizuri tuwe makini sana tunapokuwa tunataka kufikisha hisia zetu.
Utakuwa huwatendei baadhi ya wajaluo wengi sana ambao ni wazalendo kabisa ambao wanafanya chochote kile kilicho ndani ya uwezo wao
kulikomboa taifa letu kutoka kwa wakoloni mamboleo(Mafisadi) CCM.
Sitaki kuingia kwenye mjadala wa kuhalalisha au kupingana na madai yako juu ya kabila la wajaluo kwa maana hazina tija kwa nchi yetu ya
Tanzania.Tanzania sio Rwanda wala Burundi kwa hiyo itakuwa kosa sana tukianza kubaguana kimakabila.
Kwa taharifa yako tu ni kuwa wasingekuwepo baadhi ya wajaluo wenye upeo mkubwa na uzalendo na nchi hii labda mpaka leo hii ungekuwa
unapiga kura ya YES or NO kuwathibitisha viongozi wa chama kimoja(CCM).Nisingependa kwenda deep sana kwenye hilo,lakini few smart folks will understand.

Back to this Owino guy,wanamageuzi na wapiganaji hatutakiwi hata kidogo kumchukua serious mtu kama huyu wala hata kupoteza muda wetu
kumjadili because to me he is a looser,and he is running a race against time.
Kama kwenye misuli ya ubongo wake hapati hii logic ya walichokuwa wanakifanya CHADEMA,then naweza tu kusema tumsamehe kwa vile hajui
atendalo.Unajua ukinywa kahawa sana utazoea kahawa kila siku utakuwa unahisi kuwa chai sio kinywaji.Huyu Ang'iela whatever his name is ni wale ambao wamekunywa maji ya kijani for so long,they have been sucking through green pipes for decades,they represent the products of what this fight is all about,this fight to reclaim our nation.

so mpiganji MWEEN,Just chill,and kwa kuwafanyia haki wajuluo ambao umewaunganisha kwenye hisia zako,itakuwa jambo la kishujaa ukirudi
hapa jamvini na ku-denounce haya maneno yako.Maneno yanayobeba ujumbe wenye kutenganisha watu kimakabila na kidini ni sumu,hatuitaji
hiyo sumu katika safari yetu ya mapambano,we need to stay together,stay united and strong,that's when we can win the fight.

Nawakilisha!
 
Maina ni mtu mdogo sana. Anatoka jimbo la Rorya. Ni aina ya watu wanaojiita wasomi ili mrasi kafika Uingereza lakini kichwani mwao ni kujipendekeza kwa chama tawala ili wapande kisiasa. Maina nami natoka jimbo la Rorya. Nilisikia ulishindana na Prof Sarungi a.ka Prof Bangi mwaka 1995 kuteuliwa na CCM. Nilitaka kukusikia siku moja kama bado una nia ya kugombea na mikakati yako ya kisiasa.
Ukweli I am very very dissapointed. Hivi wewe ni msomi kweli? Hilo swali ndilo nimejiuliza baada ya kuona pumba ulizoandika. U r just an oportunist who want CCM to hear ur voice ili kama kuna uwezekano wakupatie nafasi fulani. U are wrong men. Hii ni balaa kwa jimbo la Rorya mmoja wa watu ambao tunategemea badae kuwa wanasiasa kumbe wa hovyo kiasi hiki. At first place tuna mbunge darasa la saba asiyejua hata nini maana ya kuwa mbunge. Anadhania kuwa mbunge ni kuwa na pesa nyingi ukipita sehemu unawanunulia wazee gongo na kula nyama ya mbuzi.
Kama we ni msomi kweli maina kwanini hujachambua mada yako kisomi unakuja tu na personal attaks eti we zito, eti we Halima etc. Give us breath men.
Omera ifuo ka rhombo.
 
Mpeni Kambale ale mpaka aende ******.Waste of space.
Hawa CCM wa UK ,siku zao zinakwisha.
 
Huyu Maina tunamuelewa vizuri sana; alikuwa ni msaliti mkubwa wa siasa za kimapinduzi pale Mlimani wakati huo akiwa Katibu Mkuu wa Daruso. Waliibukak na kashfa nyingi sana zikiwemo kashfa ya magari yay wanafunzi, kashfa za kuuza vyumba kinyemela na kuwakosesha wanafunzi wengi vyumba (waliokuwa wanastahili) na kashfa za kufanya biashara haramu na kunjichukulia tenda mbalimbali kwa kutumia kivuli cha ofisi ya DARUSO! Yeye na Rais wake wa wakati huo waliiba sana fedha pale, walijipangia safari nyingi za kwenda nje na kula maisha na warembo wa mlimani...haikushangaza hata Maimu alipofeli mtihani kule Engineering!!
Maina alinunuliwa na CCM kitambo, ni kibaraka wao, yeye pamoja na jamaa kadhaa tunawafahamu wapo Foreign Affairs ni vibaraka wa CCM...ningemshangaa kama asingejitokeza kulaumu Chadema.....

Anaanadaliwa kuja kuwa mbunge huko Mara

Anadhani Huko Tarime ni wajinga kiasi hicho au Mara mjini ni mazuzu eeeeeh asisubutu hata kurudi huko maana watamgwana. Kunatatizo linawasumbua wasomi wengi kutokuwa na Uzalendo na kuwa na maslahi ya nchi Country First hii hali inawasumbua sana wasomi waroho na uchu na pesa yaani wao wanadhani basi ndio wana stahili kuishi hii dunia ya Mungu Peke yao jamani kuna wajukuu zetu nao wanataka kuishi maisha bora kama sisi twisha vuruga basi tuwaandalie wao

 
Huko Reading uswahili na upumbavu umejaa sasa.Zamani likuwa Milton Keynes ,naona Akina Maina & Mama huruma Mzee wameikuza Reading.

CCM Uk ni playground ya vilaza wa CCM,kuja kupumzika huko.
Siku zao ziko mwisho.
 
Why should we waste time with a street wanderer in a foreign country? He doesn't know how it feels to have a rigged election!
 
MWEEN umecha mada umeingia kwenye mjadala usioujua wa kikabila. Kwanza naomba uelewe wajaluo wa Kenya au Uganda si wajaluo wa Tanzania. Wote ni wajaluo lakini wako nchi tofauti lakini hata kama umewaongelea wajaluo wa Kenya sitaacha uendeleze hizo fikra potofu.
Naomba kama kuna kabila lina historia ya kupigania Uhuru wa Kenya na Afrika Mashariki basi utakuwa mnafiki kubwa kuwaweka wajaluo kando.Wajaluo kwa tabia yao ni watu wasioogopa na hawapendi kuonewa hivo walikuwa watu wa kwanza kupambana na wakoloni. Kama kuna mjaluo walikuwa wasaliti ni mtu m1 m1 na si jamii nzima kama ilivyo wasaliti wa ufisadi leo wanaotoka kwenye kabila tofauti. Mau mau walikuwa wakikuyiu walokuwa wanapiga vita na wakoloni lakini si kwamba makabila mengine hayakuwa yakidai uhuru. Wajaluo waliongoza mapambano ya kiamani dhidi ya wakoloni mbali na Maumau. Kwanza uelewe Chama cha KANU kilichokuja kupata uhuru kilinzishwa na wajaluo na si Kenyatta. Kenyatta alikuja kupewa uongozi baadaye wa chama hicho.
Watu kama babake Raila; Oginga Odinga, Tom Mboya, Achieng' Oneko, Argwing Kodhek na wengine wajaluo wengi ni mashujaa w Kenya waliopigania kupatikana uhuru wakishirikiana na wakenya kutoka makabila mengine.
Nikutaarifu tu kwamba kama wajaluo wangekuwa wasaliti Kenyatta asingekuwepo kwenye uliongo wa siasa ila kwa busara za babake Raila na kwa uzalendo mkubwa alipotakiwa kuchukua uongozi wa Kenya wakati huo Kenyata yuko Gerezani alikataa kwamba Kenyata afunguliwe kwanza ndipo wapewe uhuru. Sijui ni watu wangapi wanaoweza kufanya uzalendo kiasi hicho.
Baada ya Kenyatta kuchukua madaraka hakukumbuka fadhila hizo na akaanza kuwatenga wajaluo, kuwaua na utawala wa kidekteta wa kutisha na kujilimbikizia mali huku akiinua kabila la wakikuyu na hapo ndipo ukabila ulipoanza. Mauaji kama ya Tom Mboya 1969, JM Kariuki na wengineo ni mifano.
Wakati wa Moi pia wajaluo walidhulumiwa kwa kiasi kikubwa mfano mauji ya Dr. Robert Ouko 1990 na hata wakati wa Kibaki Mauaji ya Profesa Odhiambo Mbai kwenye mapambano ya kupata katiba mpya.
walioongoza mapambano dhidi ya utawala wa kimabavu mpaka wakenya sasa wanajivunia nchi yao kwa kiasi kikubwa ni wajaluo na mpaka sasa kwao mapambano yanaendelea.
Tukirudi Tanzania wajaluo walichagua mbunge wa upinzani kwenye uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi 1995 na hata mwaka huu CHADEMA tu hawakujipanga kuchukua jimbo la Rorya lakini ni wazi ushindi ulikuwa ni wao. Watu wa Rorya nina imani wamemchagua Dr. Slaa kuliko Kikwete ni watu wa mageuzi kabla Mageuzi hayajaingia Tanzania. Kule watu hawapendi CCM na huo usaliti wa Maina ni wa wachache.
Hivyo MWEEN uwe makini kujadili makabila badala ya hoja ya Maina.
 
Thanks Jakathesi and Thesi for your comments.

I agree, I have stepped overboard in my comments earlier AND I unreservedly apologise to all those who may have been affected by the comments.

However, this not withstanding, it is annoying to see someone who you know he knows the truth, turns out to be a hyper-hypocrite for selfish ends. I compare all academically advantaged class who knows the truth but vehemently defends the corrupt CCM system to an opportunistic hyenas who will follow a lone hiker long distances in anticipation that the hand will fall off for them to feast.

Sorry everyone
 
Thanks Jakathesi and Thesi for your comments.

I agree, I have stepped overboard in my comments earlier AND I unreservedly apologise to all those who may have been affected by the comments.

However, this not withstanding, it is annoying to see someone who you know he knows the truth, turns out to be a hyper-hypocrite for selfish ends. I compare all academically advantaged class who knows the truth but vehemently defends the corrupt CCM system to an opportunistic hyenas who will follow a lone hiker long distances in anticipation that the hand will fall off for them to feast.

Sorry everyone
Tuko pamoja mkuu!.
 
since nimeona ni mwanakijiji pekee ndo amekupa thanks kwa huu upupu ulioandika, am guessing jamaa ni rafiki yako sababu hawezi kukubalina na hizi pumba. Learn from him sababu jamaa ana good articles, au kabla haujatapika pumba zako mpelekee akusahihishe
 
Back
Top Bottom