Tunaomba link ya owino tumjibu wenyewe manake huyu ni kafiri mkubwa angekuwa anajali nchi yake kwa yeye tu kuwa london tulitegemea awe na mchango endelevu kulikomboa taifa hili, kwasababu ukitua tu jiji la london kitu cha kwanza mtanzania utakachokumbuka ni jinsi tulivyonyuma saaaana ukilinganisha na wenzetu yaani ni kama tumetoka vitani jana sasa watu wanaanza kurejea, hapo hujaingia kwenye barabara zao, treni zao, yaani kwa mtanzania mzalendo utaumia saaana na kulaani hivi viongozi wetu wanaenda london several times huwa hawayaoni hayo? Kwahiyo niseme tu kwamba owino ni either mtoto wa makamba, lowasa, rostam, waziri, au katibu au kamishana ambaye yupo london kwa kutumia pesa za walipa kodi walalahoi wa tanzania wanaohaha na maisha bongo-buliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiishit owin mawazo mgando alitaka wabunge wampigie makofi mwizi welldone chadema na bado tutawaumbua saana