Maina Owino wa CCM UK awashukia wabunge wa CHADEMA juu ya kumsusia JK

hii nchi jamani itakombolewa na watu ambao wataamuwa kujitoa kwa ajili ya wengine,kuna watu kama OWINO wanahitaji msaada wa kimawazo juu ya mstakabali wa hii nchi kiuchumi,kisiasa na kimaendeleo,
ndugu owino wabunge wa chadema hawana makosa,wamewawakilisha wapigakula wao ambao pia hawakubaliani na kitendo cha nec kumtangaza jamaa kuwa mkuu wa nchi,pia kumbuka kuwa hakuna shelia inayomlazimisha mtu yeyote kumsikiliza raisi wakati akiwa anahutubia ili mladi asivuluge haki ya wengine sijue kama owino unalijuwa hilo ama upo nje basi unadhani kuwepo nje ni kujuwa siasa bado unafikra mgando
ebu soma katiba vizuri( Ibara ya 41 Ibara ndogo ya 7 ya katiba yetu inakataza matokeo ya urais kuchunguzwa baada ya kutangazwa na Nec) sasa ulitaka chadema wafikishe vipi ujumbe wao waliotumwa na wapiga kula wao? nipe jibu wewe mrs uwino

mapinduziiiiiiii daimaaaaaaaa
 
Ndugu wana jf,
kuna mtu anajiita MAINA ANG'IELA OWINO,ametoa ujumbe unao husu wabunge wa chadema kususia hotuba ya mkuu wa muungano na ndani yake ametowa maneno ya kejeli kwa MH HALIMA MDEHE,kwa kweli sikupendezewa na kauli yake huyu owino,kwani atambuwe kuwa wabunge wa chadema ni watu wenye uwezo mkubwa sana wa kufikilia na kuchambuwa mambo,na pia mala nyingi hawakulupuki pindi wanapo amuwa kufanya jambo fulani
namweleza owino kuwa hii nchi inahitaji wabunge aina ya chadema ili tuweze kuwa na mabadiliko ya kimaendeleo,uchumi na siasa,na hawa wapo pale kutusaidia sisi na wewe owino unayegugumia kusema wakati unaumia
kumbuka kuwa malalamiko ya chadema na wapigakula wao hayakuanza leo na ilifika wakati nguvu ya wananchi iliingilia kati ili matokeo yatangazwe na hii ilitokana na nec kutokuwa huru na ndio haswa wabunge wa chadema wanalilia kuwa na tume huru ya uchaguzi,
pia katiba bado ni tatizo ukisoma Ibara ya 41 Ibara ndogo ya 7 ya katiba yetu inakataza matokeo ya urais kuchunguzwa baada ya kutangazwa na Nec,sasa uwino sijui ulitaka hawa wapigania mabadiliko wafanyeje? watumie nguvu na kumwaga damu kuonyesha hisia zao? angalia “Senegal kuna mahakama ya katiba ambayo inataka baada ya matokeo ya uchaguzi wa rais kutangazwa, ni lazima yathibitishwe na Mahakama ya Kikatiba… kunakuwepo kipindi maalumu cha kushughulikia malalamiko kabla ya Rais kuapishwa", na hicho ndicho chadema wanakililia mda wote, wametumwa na wapigakula kutenda hilo na mengine pia ya kimaendeleo.
OWINO KAA NJE SUBILI TUKULETEE KATIBA MPYA AMBAYO ITAKURUHUSU HATAWEWE KUPIGA KURA UKIWA UNAZIBUWA VYOOO ULAYA.

NAWAKILISHA
MAPINDUZIIIIIIII DAIMAAAAA :target:
 
mr omera, yes. Jibu unalo hapa. Ni watanzania wangapi hawakupiga kura siku ya uchaguzi 31/10/2010? Idadi unaijua. Wengi hawakupiga kura na sababu unazijua mwenyewe. Labda wewe/wazazi/ndugu zako wakiwa mmojawapo

wengi hawakupiga kura yes.... including you (ja ajabu pamoja na kutokupiga kura kwako ushauri mwiingi) ..... Sisi (I mean me na wenzangu kama 1000, hao nimewahesabu na ninaowajua mimi) tunaunga mkono chadema walichofanya..... WHY IS THIS SO HARD TO UNDERSTAND
 
"yes i am very lucky and blessed" everyone says that when they see me in the gents.

You answers shows how serious you are unanikumbusha msemo wa wahenga "BETTER REMAIN SILENT AND BE THOUGHT A FOOL, THAN SPEAK OUT AND REMOVE ALL DOUBT"
 
Ndugu wana jf,
kuna mtu anajiita MAINA ANG'IELA OWINO,ametoa ujumbe unao husu wabunge wa chadema kususia hotuba ya mkuu wa muungano na ndani yake ametowa maneno ya kejeli kwa MH HALIMA MDEHE,kwa kweli sikupendezewa na kauli yake huyu owino,kwani atambuwe kuwa wabunge wa chadema ni watu wenye uwezo mkubwa sana wa kufikilia na kuchambuwa mambo,na pia mala nyingi hawakulupuki pindi wanapo amuwa kufanya jambo fulani
namweleza owino kuwa hii nchi inahitaji wabunge aina ya chadema ili tuweze kuwa na mabadiliko ya kimaendeleo,uchumi na siasa,na hawa wapo pale kutusaidia sisi na wewe owino unayegugumia kusema wakati unaumia
kumbuka kuwa malalamiko ya chadema na wapigakula wao hayakuanza leo na ilifika wakati nguvu ya wananchi iliingilia kati ili matokeo yatangazwe na hii ilitokana na nec kutokuwa huru na ndio haswa wabunge wa chadema wanalilia kuwa na tume huru ya uchaguzi,
pia katiba bado ni tatizo ukisoma Ibara ya 41 Ibara ndogo ya 7 ya katiba yetu inakataza matokeo ya urais kuchunguzwa baada ya kutangazwa na Nec,sasa uwino sijui ulitaka hawa wapigania mabadiliko wafanyeje? watumie nguvu na kumwaga damu kuonyesha hisia zao? angalia "Senegal kuna mahakama ya katiba ambayo inataka baada ya matokeo ya uchaguzi wa rais kutangazwa, ni lazima yathibitishwe na Mahakama ya Kikatiba… kunakuwepo kipindi maalumu cha kushughulikia malalamiko kabla ya Rais kuapishwa", na hicho ndicho chadema wanakililia mda wote, wametumwa na wapigakula kutenda hilo na mengine pia ya kimaendeleo.
OWINO KAA NJE SUBILI TUKULETEE KATIBA MPYA AMBAYO ITAKURUHUSU HATAWEWE KUPIGA KURA UKIWA UNAZIBUWA VYOOO ULAYA.

NAWAKILISHA
MAPINDUZIIIIIIII DAIMAAAAA :target:

1. Jifunze kiswahili vizuri yaonekana wewe si Mtanzania
2. Katiba mpya si mchakato wa siku moja. Kwenye zile nchi zote ambazo mabadiliko ya katiba yamefanyika hakuna iliyoandaa katiba chini ya miaka 10 na kuendelea. Kwa hiyo 2015 katiba hii hii itatumika
3. Acha matusi , wewe ni mtu mzima jibu hoja kwa ustaarabu . JF ni sehemu ya watu wanaojibu hoja kwa weledi na sio kibubusa.
 
Tarehe Thu Nov 18, 09:28:00 PM, Mtoa Maoni: MAINA ANG'IELA OWINO

CHADEMA mtindo huu wa Siasa za Shangwe umepitwa na wakati hasa ktk Taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya kusonga mbele.

Hii ni kushiriki Demokrasia isiyo na NIDHAMU hasa kwa Watanzania waliowatuma kuwawakilisha BUNGENI.

Watanzania mliowachagua hawa ndugu mjue imekula kwenu maana wao mishahara watavuta kutoka kwenye KODI zenu.

Kwa kweli vijana wenzetu bila kujali ITIKADI ya vyama, sikutegemea hata wewe Zitto, Halima Mdee,Mnyika na Vincent Nyerere kuwakebehi wananchi waliowachagua nyinyi na Rais Kikwete kwa kuondika nje ya BUNGE lao tukufu.Hii ni HAKI yenye AIBU.

Siamini kama mlimshirikisha Mhe. Mabere Marando kusaini mishahara yenu na kwenda kupunga upepo kwa ufahari nje ya Bunge wakati linafunguliwa rasmi.Haya yangefanyika kwenye jukwaa la kongamano au siasa za halaiki.

Bila shaka hamkutaka kusikia na kukubaliana na wito wa Rais kuwa nyinyi wabunge mtumie muda mwingi kuwasikiliza wananchi.

Je,mtatoka mara ngapi?.
Na kwa idadi yenu mtaathiri maamuzi ya Bunge kwa utaratibu wake kusaidia wananchi kwa kiasi gani?
Kwa shida na mahitaji ya wananchi bado wana wakati wa kusikiliza utetezi wa ilani ya chama cha siasa au utekelezaji wa Serikali ya Chama kilicho madarakani.

Mhe. Lisu,kaka yangu msomi, hizi siyo mbinu ktk harakati za mabadiliko ya kisasa.Nchi yenu ilizitupilia mbali hata wakati wa kudai UHURU. Nilidhani unazijua na utawaongoza wenzio vizuri kwa mbadala angalau wenye mkakati...

Halima Mdee, nisikilize kwa makini. Tanuru unalopita limeziba mbele na mwanga uonao ni moto mkali. Hujafika mbali Geuza mkakati,maana nyota yako ktk siasa za kitaifa hazifai kuchomeka kizembe kwa kuongozwa na vipofu wa mkakati ulioshindwa kabla haujaanza.

MAINA ANG'IELA OWINO.
(SOURCE:MICHUZI BLOGSPOT)

Kabla sija Idadavua hiii Makala yako Kaka yangu OWINO,

Kwanza TUME "NEC" unaitambuaje? Je Iko Huru au sio Huru?

Ukijibu swali la kwanza nadhani utafuta hiyo makala yako haraka sana na utajuta kwanini uliiandika. Kwani chanzo kikubwa cha yote ni NEC na hata wewe Owino imekupelekea ukaandika hii makala yako.

Pili Upeo wako wa Democrasia safi unashabiliana na hayo uliyoyataja hopo kweli au Unalalia Democrasia ya siasa ya chama fulani na Sio Democrasia ya UTAIFA?



 
Mwambieni hayo ni maneno tu hata kwenye kanga yapo, sie twataka vitendo sio maneno na vitendo ndo hivyo vya CHADEMA sio mipasho ya CCM
 
Huyu Maina tunamuelewa vizuri sana; alikuwa ni msaliti mkubwa wa siasa za kimapinduzi pale Mlimani wakati huo akiwa Katibu Mkuu wa Daruso. Waliibukak na kashfa nyingi sana zikiwemo kashfa ya magari yay wanafunzi, kashfa za kuuza vyumba kinyemela na kuwakosesha wanafunzi wengi vyumba (waliokuwa wanastahili) na kashfa za kufanya biashara haramu na kunjichukulia tenda mbalimbali kwa kutumia kivuli cha ofisi ya DARUSO! Yeye na Rais wake wa wakati huo waliiba sana fedha pale, walijipangia safari nyingi za kwenda nje na kula maisha na warembo wa mlimani...haikushangaza hata Maimu alipofeli mtihani kule Engineering!!
Maina alinunuliwa na CCM kitambo, ni kibaraka wao, yeye pamoja na jamaa kadhaa tunawafahamu wapo Foreign Affairs ni vibaraka wa CCM...ningemshangaa kama asingejitokeza kulaumu Chadema.....

Anaanadaliwa kuja kuwa mbunge huko Mara
 
Do not mind this guy folks,

Soma historia ya hawa ndugu zetu wajaluo utamuelewa Owino. Wakati wa MAUMAU Kenya wao ndio walikuwa wanashirikiana na wakoloni kuwakamata na kuwaua ndugu zao. Wakapewa ukarani kwenye ofisi za wazungu na kufungishwa tai wakadhani wamefika peponi.

Hili kabila wana historia ndefu sana ya usaliti. Waliobaki wachache kama Odinga bado wakikuyu hawawaamini kuwapa uongozi kwani kumbukumbu za waliofanya babu zao bado zipo wazi.

HUYU NI UKKOKO WA WALE WAJALUO WA MIAKA YA 50. WENZAKE WALISHABADILIKA SANA.
 
In any social development there is only one happiness...
developed from low level to high level :from ignorant to become brave,from illiterates to literates.Rather than nation there are some peoples within the boundary dares to talk openly,we call it POSITIVE THINKING and in every day life IN ORDER TO BE DIFFERENT,ONE MUST BE IRREPLACEABLE

"CHADEMA FOR LIFE"
 
Eti Maina Owino wa ccm uk, what is the point here? kuwa uk au kuwa maina owino. maina owino ni nani, just a certain bogus aliyeshindwa kumpiku profesa sarungi anajipendekeza kupata viti maalumu.aaaaaagh

Huyu Owino ana Ubongo kweli au fuvu limejaa mtindi?

Kwanza mbona jina lenyewe halisaundi kitanzania...au ndo wale Wakenya wanaotaka kutuona tukiendelea kuwa makondoo hali wao wakitoana vichwa kupigania haki?
 
Kabla sija Idadavua hiii Makala yako Kaka yangu OWINO

Khaaa, ni kaka! thought dada, hebu rejea thread hii chini, sounds ka dada

Originally Posted by MAWINO
"yes i am very lucky and blessed" everyone says that when they see me in the gents.
 
Tarehe Thu Nov 18, 09:28:00 PM, Mtoa Maoni: MAINA ANG'IELA OWINO

CHADEMA mtindo huu wa Siasa za Shangwe umepitwa na wakati hasa ktk Taifa lenye uchumi unaohitaji changamoto za mawazo ya kusonga mbele.

Hii ni kushiriki Demokrasia isiyo na NIDHAMU hasa kwa Watanzania waliowatuma kuwawakilisha BUNGENI.

Watanzania mliowachagua hawa ndugu mjue imekula kwenu maana wao mishahara watavuta kutoka kwenye KODI zenu.

Kwa kweli vijana wenzetu bila kujali ITIKADI ya vyama, sikutegemea hata wewe Zitto, Halima Mdee,Mnyika na Vincent Nyerere kuwakebehi wananchi waliowachagua nyinyi na Rais Kikwete kwa kuondika nje ya BUNGE lao tukufu.Hii ni HAKI yenye AIBU.

Siamini kama mlimshirikisha Mhe. Mabere Marando kusaini mishahara yenu na kwenda kupunga upepo kwa ufahari nje ya Bunge wakati linafunguliwa rasmi.Haya yangefanyika kwenye jukwaa la kongamano au siasa za halaiki.

Bila shaka hamkutaka kusikia na kukubaliana na wito wa Rais kuwa nyinyi wabunge mtumie muda mwingi kuwasikiliza wananchi.

Je,mtatoka mara ngapi?.
Na kwa idadi yenu mtaathiri maamuzi ya Bunge kwa utaratibu wake kusaidia wananchi kwa kiasi gani?
Kwa shida na mahitaji ya wananchi bado wana wakati wa kusikiliza utetezi wa ilani ya chama cha siasa au utekelezaji wa Serikali ya Chama kilicho madarakani.

Mhe. Lisu,kaka yangu msomi, hizi siyo mbinu ktk harakati za mabadiliko ya kisasa.Nchi yenu ilizitupilia mbali hata wakati wa kudai UHURU. Nilidhani unazijua na utawaongoza wenzio vizuri kwa mbadala angalau wenye mkakati...

Halima Mdee, nisikilize kwa makini. Tanuru unalopita limeziba mbele na mwanga uonao ni moto mkali. Hujafika mbali Geuza mkakati,maana nyota yako ktk siasa za kitaifa hazifai kuchomeka kizembe kwa kuongozwa na vipofu wa mkakati ulioshindwa kabla haujaanza.

MAINA ANG'IELA OWINO.
(SOURCE:MICHUZI BLOGSPOT)

Kiswahili chako mbona hakieleweki.Huyu ni mtanzania kweli?
 
Pole Zuhura kwa hili! Huna jipya la kudiscuss jukwaani bora ukae kimya ka mie! Kama kutoka kwa Chadema hakuna athari ya nini mnalalama? Si mwende zenu mkawatetee wana ccm wenzenu kwenye bunge la ccm, na accomplice wenu CUF na wengineo? Nawasifu Chadema hawakupoteza muda kusikiza maneno yale yale kila siku except venue na date. Full stop

Acheni wivu wa kike nyie, kuwaona wenzenu CUF wameshika madaraka serikalini inawauma sana. Siku zote dhamira ya chama cha siasa ni kushika madaraka na kwa CUF hilo ndilo linalo elekea kwao.
 
Who is she afterall??? Why should us care about???...... Hajui wanachodai CHADEMA kakazania kutoka bungeni tuu... Hatutaki madaraka tunataka katiba mpya....
 
Huyu Maina tunamuelewa vizuri sana; alikuwa ni msaliti mkubwa wa siasa za kimapinduzi pale Mlimani wakati huo akiwa Katibu Mkuu wa Daruso. Waliibukak na kashfa nyingi sana zikiwemo kashfa ya magari yay wanafunzi, kashfa za kuuza vyumba kinyemela na kuwakosesha wanafunzi wengi vyumba (waliokuwa wanastahili) na kashfa za kufanya biashara haramu na kunjichukulia tenda mbalimbali kwa kutumia kivuli cha ofisi ya DARUSO! Yeye na Rais wake wa wakati huo waliiba sana fedha pale, walijipangia safari nyingi za kwenda nje na kula maisha na warembo wa mlimani...haikushangaza hata Maimu alipofeli mtihani kule Engineering!!
Maina alinunuliwa na CCM kitambo, ni kibaraka wao, yeye pamoja na jamaa kadhaa tunawafahamu wapo Foreign Affairs ni vibaraka wa CCM...ningemshangaa kama asingejitokeza kulaumu Chadema.....

Anaanadaliwa kuja kuwa mbunge huko Mara

Tupe ushahidi wa hizo kashfa zake, isije kuwa ulimuonea wivu yeye kuwa kiongozi wa DARUSO na wewe ukakosa
 
"now you are talking" kula tano mkuu

umejaribu sana kueleza pumba kwa kuwalaumu wabunge vijana, lakini kumbuka ujumbe umefika, vijana ni taifa la leo sio kesho kwani mla kesho kala nini? sasa nafikri kitendo hicho ndio mwanzo wa kudai democrasia makini kwa kuwa na tume uhuru ya kusimamia katiba kubadilishwa ili mabo yote yawe harari, huwezi kuwa mnafiki kwa kukaa na kitu rohoni, CHADEMA kama chama makini utekeleza azima yao baada ya kuijadili muda mrefu na kukubaliana , wao kama wabunge walifanya hivyo badala ya kuitisha maandamano nchi mzima kupinga matokeo ya urais, hivyo hata wangetumia mabomu, risassi kuwatawanya ulimwengu umeona kila kitu kuwa Tanzania tuna utulivu sio amani tena kwa kuwa Amani imearibiwa na CCM ya Mkamba na Mpiga porojo Tambe asiyejua kujibu hoja
 
huyu maina ni sifuri kabisa. Huyu mtu alikuwa tapeli wa vyumba pale alipopapata uongozi pale mlimani, leo ana gutz za kuwakebei wana mageuzi.


naomba biography ya maina kwa anayemfahamu tafadhali......... Nimesoma huo ulanguzi wa vyumba udsm, tupe biography yake huyo
 
Back
Top Bottom