Maina Owino Ndani ya Radio Mbao!

Jazzie

Member
Jan 30, 2008
73
35
KOMBOLELA SHOW JUMAMOSI HII Desemba 4, 2010 @ 01:00pm - 02:00pm EST, 9:00pm -10:00pm East African Time

Kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo ya kisiasa, mojawapo wa mambo yametokea siku za karibuni ni uanzishaji wa matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) nje ya mipaka ya Tanzania kama vile India, Uingereza, n.k. Kujiunga na chama chochote ni haki ya kikatiba ya kila Mtanzania, kwa hiyo uanzishaji wa matawi ya chama chote chote cha siasa nje ya Tanzania sio kosa, hasa uanzishaji wa matawi unapokuwa hauvunji sheria ya nchi hizo za nje.

Tatizo, pengine ni hisia kwamba waanzishaji haya matawi ya chama nchi za nje, hasa ya CCM, ni wasaliti wa watanzania wengi ambao ni masikini. Hilo linatokana na matarajio kwamba Mtanzania ambaye amefanikiwa kutoka nje ya nchi amepanuka kimtazamo na kwamba mtu ambaye amepanuka kimtazamo na ana ujasiri, hawezi kukiunga mkono CCM, chama ambao kimekuwa madarakani muda mrefu bila kuleta maendeleo ya kweli kwa mtanzania masikini.

Radio Mbao kupitia Kombolela Show itakuwa na mahojiano na Maina Owino ambaye ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tawi la Uingereza ili kufahamu mtazamo wake juu ya uanzishaji wa matawi ya CCM nchi za nje.

Jiunge kusikia mazungumzo kupitia hapa: Radio Mbao ili usikose uhondo!
 
KOMBOLELA SHOW JUMAMOSI HII Desemba 4, 2010 @ 01:00pm - 02:00pm EST, 9:00pm -10:00pm East African Time

Kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo ya kisiasa, mojawapo wa mambo yametokea siku za karibuni ni uanzishaji wa matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) nje ya mipaka ya Tanzania kama vile India, Uingereza, n.k. Kujiunga na chama chochote ni haki ya kikatiba ya kila Mtanzania, kwa hiyo uanzishaji wa matawi ya chama chote chote cha siasa nje ya Tanzania sio kosa, hasa uanzishaji wa matawi unapokuwa hauvunji sheria ya nchi hizo za nje.

Tatizo, pengine ni hisia kwamba waanzishaji haya matawi ya chama nchi za nje, hasa ya CCM, ni wasaliti wa watanzania wengi ambao ni masikini. Hilo linatokana na matarajio kwamba Mtanzania ambaye amefanikiwa kutoka nje ya nchi amepanuka kimtazamo na kwamba mtu ambaye amepanuka kimtazamo na ana ujasiri, hawezi kukiunga mkono CCM, chama ambao kimekuwa madarakani muda mrefu bila kuleta maendeleo ya kweli kwa mtanzania masikini.

Radio Mbao kupitia Kombolela Show itakuwa na mahojiano na Maina Owino ambaye ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tawi la Uingereza ili kufahamu mtazamo wake juu ya uanzishaji wa matawi ya CCM nchi za nje.

Jiunge kusikia mazungumzo kupitia hapa: Radio Mbao ili usikose uhondo!
Hivi huyo maina Owino ndo yule tuliyesoma naye Mara sec School miaka ile ya mwanzoni mwa 1990. Alikuwa anatabia za kike sana, sijuhi kama ameshaziacha!!
 
Obrigado!!

Maina owino ni Choko tu. Huyu mtu hafai, mnafiki kweli. Haya matawi ya CCM ni Illegal kwa maana hayana, na hayawezi kuhalalishwa kwenye nchi za watu. Tuseme Hamas Branch ndani ya London?

Hawa jamaa watafute ya maana kufanya, huyu tapeli wa Milimani hapati kitu, mizengwe itakayomkuba ni mikubwa kweli

Home Office itabidi ichunguze haya matawi kwa maana ndio chanzo cha ufisadi
 
Hivi jamani huyu Maina Owino mbona mnampa chati sana huyu mtu nilikuwa naye shycom na alikuwa anafanya mabo ambayo ni kinyume na kijana rijali kufanya ila mkiendelea nitamwanika......mnamsifia sana.
 
Maina owino ni Choko tu. Huyu mtu hafai, mnafiki kweli. Haya matawi ya CCM ni Illegal kwa maana hayana, na hayawezi kuhalalishwa kwenye nchi za watu. Tuseme Hamas Branch ndani ya London?

Hawa jamaa watafute ya maana kufanya, huyu tapeli wa Milimani hapati kitu, mizengwe itakayomkuba ni mikubwa kweli

Home Office itabidi ichunguze haya matawi kwa maana ndio chanzo cha ufisadi

Je kuna mazuri yoyote aliyofanya/afanyayo huyu Maina Owino? ni vizuri pia kuangalia upande huo. Tutambue ya kwamba sote(Binadamu) si Wakamilifu, tuna Mapungufu yetu. I hope CCM wanamlipa Maina Owino kifutia machozi, maana hapa jamvini amenyambuliwa sana, hii ni Kafara ama ameyataka Mwenyewe? ANAJUA ANACHOKITAFUTA, SI BURE, TIME WILL TELL, LAKINI KWA STYLE ALIYONAYO......Mmhh!!! Kazi kwelikweli.
 
hivi jamani huyu maina owino mbona mnampa chati sana huyu mtu nilikuwa naye shycom na alikuwa anafanya mabo ambayo ni kinyume na kijana rijali kufanya ila mkiendelea nitamwanika......mnamsifia sana.

tunaomba mazuri aliyofanya shycom
 
KOMBOLELA SHOW JUMAMOSI HII Desemba 4, 2010 @ 01:00pm - 02:00pm EST, 9:00pm -10:00pm East African Time

Kama wewe ni mfuatiliaji wa mambo ya kisiasa, mojawapo wa mambo yametokea siku za karibuni ni uanzishaji wa matawi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) nje ya mipaka ya Tanzania kama vile India, Uingereza, n.k. Kujiunga na chama chochote ni haki ya kikatiba ya kila Mtanzania, kwa hiyo uanzishaji wa matawi ya chama chote chote cha siasa nje ya Tanzania sio kosa, hasa uanzishaji wa matawi unapokuwa hauvunji sheria ya nchi hizo za nje.

Tatizo, pengine ni hisia kwamba waanzishaji haya matawi ya chama nchi za nje, hasa ya CCM, ni wasaliti wa watanzania wengi ambao ni masikini. Hilo linatokana na matarajio kwamba Mtanzania ambaye amefanikiwa kutoka nje ya nchi amepanuka kimtazamo na kwamba mtu ambaye amepanuka kimtazamo na ana ujasiri, hawezi kukiunga mkono CCM, chama ambao kimekuwa madarakani muda mrefu bila kuleta maendeleo ya kweli kwa mtanzania masikini.

Radio Mbao kupitia Kombolela Show itakuwa na mahojiano na Maina Owino ambaye ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) tawi la Uingereza ili kufahamu mtazamo wake juu ya uanzishaji wa matawi ya CCM nchi za nje.

Jiunge kusikia mazungumzo kupitia hapa: Radio Mbao ili usikose uhondo!

Nilibonyeza na kujiunga kwenye hiyo Link, mbona sijasikia hayo mazungumzo? Sidhani kama Maina Owino ana jipya lolote, sana sana ni kutoa Mijisifa na Kijinadi ili apate kusikika, atambue pia kuna athari zake. It is good to take a Risk IF You Do a Good Risk Assessments and Know the Outcomes of It. SO MAINA OWINO GOOD LUCK! :hail::A S-rap::tape2::target::tape2::first:
 
Back
Top Bottom