Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,681
- 11,120
Kwa kifupi ukitumia meseji kwa sababu hukualikwa kula bata na mshikaji sio?Hapa nilipo nipo na majonzi sana.
Rafiki yangu wa ukweli last week end alilewa sana!
Akaenda klab akiwa na washkaj wengine wakalewa wakiwa na madem...
Wakati akitoka klab akagongana na gari ingine.sababu ni mapombe akaona ni msala akaondoka kuwahi nyumbani.
Asubuhi yake jpili ananipigia sim kwamba amegonga gari ya mke wake.
Anaomba iwe jua au mvua niseme kwamba nilikuwa nae wakati wa tukio na tulikuwa sehemu tumepaki tukagongwa.
Mi nikaona huu ni UKEI nikamtumia mesej mke wake kwamba jamaa amegongwa hakuwa na mimi..
Alikuwa na madem wengine na wasela wengine kwahiyo mi sikuwepo siku hiyo nilikuwa nimelala zangu...
Jamaa akanipia simu analia mbaya kabisa...
I trusted u my friend but u become a fvckin dick...
Au unataka unilie mke wangu kwann umemwambia na kuharibu wakti nilishampanga akaelewa ikaisha!!
Huku nafsi inaniuma nikamjibu GO FVCK URSELF MAZACHODRI