1. Kahawa na chai ya tangawizi wametoka nayo sijui Dodoma.
2. Anao kunywa nao ametoka nao alikotoka hadi wamesahau kubadili tshirt ikabidi avae ndani nje.
3. Chupa ya chai iliyo tumika siyo ya kitaa . Kitaa wana mabirika yao machafu...
Wasaidizi wa Rais hampo makini kabisa kucheza hizi muvie. Ongezeni ujuzi .View attachment 1402427
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mzee wa katikati ni Pele?
Imemiminwa kutoka kwenye semoth waliokuja nayo.Mkuu mbona kuna video nimeiona inatamba mitandaoni ikionesha kahawa ikimiminwa kutoka kwenye mabirika ya kitaa kabisa.
inahitaji moyo kunywa kahawa saa saba mchana!
hicho ni kijiwe cha kahawa chato mjini acheni upumb**fflWamekuja nae chatler wakitoka Dom hata mie sijawahi muona hapa chatler
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekuambia chato hatuna chupa hizo ni nani?!1. Kahawa na chai ya tangawizi wametoka nayo sijui Dodoma.
2. Anao kunywa nao ametoka nao alikotoka hadi wamesahau kubadili tshirt ikabidi avae ndani nje.
3. Chupa ya chai iliyo tumika siyo ya kitaa . Kitaa wana mabirika yao machafu...
Wasaidizi wa Rais hampo makini kabisa kucheza hizi muvie. Ongezeni ujuzi .View attachment 1402427
Sent using Jamii Forums mobile app
eti oh usafi wao na mazingira tofauti kile kijiwe hakika kimestaarabikaAliyekuambia chato hatuna chupa hizo ni nani?!
1. Kahawa na chai ya tangawizi wametoka nayo sijui Dodoma.
2. Anao kunywa nao ametoka nao alikotoka hadi wamesahau kubadili tshirt ikabidi avae ndani nje.
3. Chupa ya chai iliyo tumika siyo ya kitaa . Kitaa wana mabirika yao machafu...
Wasaidizi wa Rais hampo makini kabisa kucheza hizi muvie. Ongezeni ujuzi .View attachment 1402427
Sent using Jamii Forums mobile app
It's the content that counts mzee baba acha wivu wa wamama1. Kahawa na chai ya tangawizi wametoka nayo sijui Dodoma.
2. Anao kunywa nao ametoka nao alikotoka hadi wamesahau kubadili tshirt ikabidi avae ndani nje.
3. Chupa ya chai iliyo tumika siyo ya kitaa . Kitaa wana mabirika yao machafu...
Wasaidizi wa Rais hampo makini kabisa kucheza hizi muvie. Ongezeni ujuzi .View attachment 1402427
Sent using Jamii Forums mobile app
Vijana kutoka ofisi ya strategic ndio wana matatizo, yaani kwa ujumla hawako serious. Ubunifu hawana kabisa.Sasa ndiyo ufanye maigizo?
Yaani hapa Chato tumeshapokea marais wa nchi zaidi ya wawili afu tukose vichupa vya chai na maji hivyo! We umeshikiwa akili au? Kuna watu vilaza wa kufikiria mpaka inakatisha tamaa!1. Kahawa na chai ya tangawizi wametoka nayo sijui Dodoma.
2. Anao kunywa nao ametoka nao alikotoka hadi wamesahau kubadili tshirt ikabidi avae ndani nje.
3. Chupa ya chai iliyo tumika siyo ya kitaa . Kitaa wana mabirika yao machafu...
Wasaidizi wa Rais hampo makini kabisa kucheza hizi muvie. Ongezeni ujuzi .View attachment 1402427
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha ha Mkuu umemaliza sina swali.Kwenye bongo movie tangu tumpoteze Kanumba mambo hayaendi kabisa. Sijui tunakwama wapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo hageuza tsheti ili aonekane wa kitaa?1. Kahawa na chai ya tangawizi wametoka nayo sijui Dodoma.
2. Anao kunywa nao ametoka nao alikotoka hadi wamesahau kubadili tshirt ikabidi avae ndani nje.
3. Chupa ya chai iliyo tumika siyo ya kitaa . Kitaa wana mabirika yao machafu...
Wasaidizi wa Rais hampo makini kabisa kucheza hizi muvie. Ongezeni ujuzi .View attachment 1402427
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena bia kijani sio zile ngumuUkimwangalia mwamba apo anaonesha kabisa kunywa kahawa sio jadi yake. Labda bia!
It is never to late to begin. Start now
Mkuu ukiipata nitagKuna siku ulituwekea uzi jamaa yuko na muuza mahindi aliye ficha bastola kwa nyuma, weka tena ili somo liwe tamu
Sent using Jamii Forums mobile app
iko hapo juu☝☝Mkuu ukiipata nitag
CHADEMA mnateseka sana1. Kahawa na chai ya tangawizi wametoka nayo sijui Dodoma.
2. Anao kunywa nao ametoka nao alikotoka hadi wamesahau kubadili tshirt ikabidi avae ndani nje.
3. Chupa ya chai iliyo tumika siyo ya kitaa . Kitaa wana mabirika yao machafu...
Wasaidizi wa Rais hampo makini kabisa kucheza hizi muvie. Ongezeni ujuzi .View attachment 1402427
Sent using Jamii Forums mobile app