barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
Hisia zako ndio chanzo cha tatizo lako. Nimekupatia clue ya kinachokusumbua, sasa kifanyie kazi!Walemavu wangapi wa kweli walikuwepo hapo ubungo? Mkaenda kuleta ndugu zenu ambazo wanashinda kwenye viyoyozi.. eti nao walemavu? Vijana wa kumumba mnafeli wapi?