anco
Member
- Jun 1, 2014
- 43
- 28
- Thread starter
- #21
Nimepokea andiko mkuu. Ila kuna andiko jingine linasema "Ombeni nanyi mtapewa"Mkuu nakukumbusha tuuh biblia inasema mwanaume atatafuta kwa jasho.. Over
Na katika andiko hilo ulilolitoa linaendelea "Na wanawake watazaa kwa uchungu''
Nb.. Kupitia uchungu huo wa hao waliotuzaa wataona hapa jinsi ya vizazi vyao vinavyoteseka.
Na huyo wa kula kwa jasho bado naendelea kuvuja jasho kwa kejeli na mapambano kama haya ninayopitia. Ili niipate ile kitu ambacho kitanifanya nikavuje jasho lisilo na masemango ila ni jasho la kazi.