LUPITUKO
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 279
- 183
Wapendwa wadau naomba msaada wenu wa mawazo, hivi inawezekana kweli ukapata mapenzi ya kweli kutoka kwa msichana ambae hajaolewa na wewe umeoa na anajua hilo, lakini wewe(mwanaume) ukawa na upendo wa kweli kwake na kumsaidia kadiri ya uwezo wako?
Nauliza hv coz mtu kutoka nje ya ndoa kunasababu nyingi na sidhani kama wote ni wahuni iwe mwanamke au mwanamke, kwa mfano tu mmoja kasafiri safari ya mbali na ndefu kupoza c ruksa? Mtoto kakosekana kwa sababu yeyote ile, Maradhi ya aina yeyote ile ambayo yanasababisha tendo la ndoa liwe gumu kama ajali vile, operation n.k.
Ukiwa kama binadam mzima kbs lazima utahitaji tendo la ndoa smtime iwe isiwe, sasa lets say upo kwenye ndoa so unatafuta dem, utakuta unaishia kuchunwa tu manake unaonekana kuwa huna mpango endelevu kwake ingawa kiukweli unatatizo na unataka kutulia nae lakini bado madem hawafugiki kisa umeoa eti, jamani tuache kuwapenda hawa watu tuwe tunawatapeli tuuuu kama wao wanavyofanya?
Nauliza hv coz mtu kutoka nje ya ndoa kunasababu nyingi na sidhani kama wote ni wahuni iwe mwanamke au mwanamke, kwa mfano tu mmoja kasafiri safari ya mbali na ndefu kupoza c ruksa? Mtoto kakosekana kwa sababu yeyote ile, Maradhi ya aina yeyote ile ambayo yanasababisha tendo la ndoa liwe gumu kama ajali vile, operation n.k.
Ukiwa kama binadam mzima kbs lazima utahitaji tendo la ndoa smtime iwe isiwe, sasa lets say upo kwenye ndoa so unatafuta dem, utakuta unaishia kuchunwa tu manake unaonekana kuwa huna mpango endelevu kwake ingawa kiukweli unatatizo na unataka kutulia nae lakini bado madem hawafugiki kisa umeoa eti, jamani tuache kuwapenda hawa watu tuwe tunawatapeli tuuuu kama wao wanavyofanya?