VAISLAY
SLAYVAI
Mkuu kumbe ID zako zote mbili ziko hewani
kuwasiliana kwny simu au online tu bila kuonana?yale ya kusimama gizan yani meeting yenu usiku tu mchana uko busy.au kuweka bayana wa2 wote wawaone na kutambua km ya wema na daimond,au yale tangulia kansubr pale chini ya mti m nakuja...
Si unajua tena kusudi wachangiaji tusije tukajichanganya banaa lol!!! Idd ilikuwa safi nimekubakizia pilauAhahahaaaah!! Mkuu unatafuta ugomvi..
Eid ilikuwaje??
Ndio zake eeh?VAISLAY
SLAYVAI
Mkuu kumbe ID zako zote mbili ziko hewani
Enzi za manual search tulifaidi sana.kuwasiliana kwny simu au online tu bila kuonana?yale ya kusimama gizan yani meeting yenu usiku tu mchana uko busy.au kuweka bayana wa2 wote wawaone na kutambua km ya wema na daimond,au yale tangulia kansubr pale chini ya mti m nakuja...
ukuu ni ktu gan mbona siwaelewi kupeana ukuu bila sababu za msingi!!Ahahahaaaah!! Mkuu unatafuta ugomvi..Eid ilikuwaje??
Niambie MKUU feis buku..............kwa kweli hata mimi sijui, lakini nahisi ukiwa tu memba wa JF wewe ni mkuu!!ukuu ni ktu gan mbona siwaelewi kupeana ukuu bila sababu za msingi!!
VAISLAY
SLAYVAI
Mkuu kumbe ID zako zote mbili ziko hewani
kuwasiliana kwny simu au online tu bila kuonana?yale ya kusimama gizan yani meeting yenu usiku tu mchana uko busy.au kuweka bayana wa2 wote wawaone na kutambua km ya wema na daimond,au yale tangulia kansubr pale chini ya mti m nakuja...
Mimi sijui ukuu najua tu Mkuu ukikua utaelewaukuu ni ktu gan mbona siwaelewi kupeana ukuu bila sababu za msingi!!
Kuzamia bila kadi hakufai kabisaMkuu naona unataka kutukanwa matusi baada tuu ya Eid
BTW Eid vipi mkuu mbona naona majeraha usoni
Kuzamia bila kadi hakufai kabisa
Obviously ukijificha lazima kuna tatizo kama hakuna jambo lolote baya sidhani kama mtu unaweza kuwa na mahusiano ya kujificha lakini vile vile hata kile unachoficha siku ya mwisho kitajulikana tu halafu kinaweza kuwa tatizo ukakimbilia kwa watu kuomba msaada na pengine wengine wakashindwa kukusaidia kwa sababu ulikuwa unaficha watu wasijue kama uko kwenye mahusiano, kwahiyo ni vizuri kuwa wazi hata tatizo likitokea watu wanaweza kukusaidia vizuri tuNilikuambia uende kwa Lizzy kulikuwa na pilau la bure wewe ukaenda kwingine
nenda mtaa wa pili hapo kuna kibanda wanauza supu ukanywe umalize hangover
BTW eti mkuu mahusiano bora ni yapi ya kujificha ficha au kuwa wazi
Mi nina uhakika sina haja ya kujificha ficha bana