Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,264
- 40,045
Mahusiano mengi yamekuwa ndio chanzo, cha kuwafanya wanaume wengi kuendelea kuwa masikini.
Wanaume wanakuwa wanaingia gharama kubwa, ili kuweza kumridhisha mwanamke, iwe kumjengea nyumba, kumnunulia usafiri mkali, au kuhonga chochote kile, ili mradi aweze kukubalika kwa mwanamke.
Mara kutembelea kwenye viwanja vikali, na kupukutisha zaidi ya milioni kwa siku n.k; huku akiwa hana umiliki wa kiwanda chochote.
Na pale mwanaume anapoishiwa hela; anabaki kukimbiwa na yule mwanamke aliyemwamini atakuwa naye kwa mazingira yote.
Ndio maana wanaume wanao-ona mbali, hawatafuti pisi kali, wanatafuta wale wa kawaida ili kuzuia kupukutisha uchumi.
Wanaume wanakuwa wanaingia gharama kubwa, ili kuweza kumridhisha mwanamke, iwe kumjengea nyumba, kumnunulia usafiri mkali, au kuhonga chochote kile, ili mradi aweze kukubalika kwa mwanamke.
Mara kutembelea kwenye viwanja vikali, na kupukutisha zaidi ya milioni kwa siku n.k; huku akiwa hana umiliki wa kiwanda chochote.
Na pale mwanaume anapoishiwa hela; anabaki kukimbiwa na yule mwanamke aliyemwamini atakuwa naye kwa mazingira yote.
Ndio maana wanaume wanao-ona mbali, hawatafuti pisi kali, wanatafuta wale wa kawaida ili kuzuia kupukutisha uchumi.