Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,264
- 105,429
Kuweka source kama hivi
hata kama hiyo tafiti itapingwa na wengine itasaidia sana
angalau mtu akisoma atajua hizo tafiti zilifanywa wapi
mfano ukisema tafiti ilifanya Norway itasaidia kwa mtu anaeishi
Magomeni kujua aamini hiyo tafiti au la..
Big up,
Sio tafiti inafanywa Norway halafu unakuja kusema "wanawake" bila ku qualify kwamba sample space ni wanafunzi 300 wa vyuo vikuu vya Oslo walio kati ya miaka 18 na 25 waliochaguliwa kiholela.