Majestic wolf
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 1,248
- 1,849
Yaani ulivyoleta mada kama vile waziri flan iv mkubwa .....na Mimi ntaleta Uzi kwa nini wazazi wangu waliniita Majestic wolf
Milele amina......karibu tenaJamani naona huku nimepotea sorry...ila Tumsifu Yesu Kristo..!!
Milele Amina mtu wa Mungu.Jamani naona huku nimepotea sorry...ila Tumsifu Yesu Kristo..!!
Anafundisha special education! He might be the same with his studentsAlianza kuuukana Ukatoliki
Akaja na kuushambulia ulokole,
Akahamia waraka kwa Askofu Pengo,
Akaja na nia ya kuandika Biblia mpya,
Akarudi tena na Mtakatifu Pio!
Huyu MTU ni MGONJWA wa AFYA ya AKILI!...asaidiwe.
Kama mtadharau tahadhari hii ninayoitoa hapa, wazazi wa watoto anaowafundisha Kule Mkolani/Buhongwa sekondari Mwanza kunasiku mtawashuhudia katika vyombo vya habari wakitapika POVU!
ITV eti walimtangaza vibayaDuu anamdai nani?
Mkuu acha masihara ni Mwl wa buhongwa sec huyu kweli?Alianza kuuukana Ukatoliki
Akaja na kuushambulia ulokole,
Akahamia waraka kwa Askofu Pengo,
Akaja na nia ya kuandika Biblia mpya,
Akarudi tena na Mtakatifu Pio!
Huyu MTU ni MGONJWA wa AFYA ya AKILI!...asaidiwe.
Kama mtadharau tahadhari hii ninayoitoa hapa, wazazi wa watoto anaowafundisha Kule Mkolani/Buhongwa sekondari Mwanza kunasiku mtawashuhudia katika vyombo vya habari wakitapika POVU!
Amesomea special education B. ed Special education si lazima awafundishe wanafunzi wenye kuhitaji uspesho. Ni mwalimu wa kawaida katika shule zetu za kawaida kama mwalimu wa Historia tu.Anafundisha special education! He might be the same with his students
Wewe?? huyu jamaa ni mwalimu??hapo kwenye kuandika biblia mpya imeniacha hoi. Nimesoma mkolani nitasikitika sana kama atakuwa anafundisha hapoAlianza kuuukana Ukatoliki
Akaja na kuushambulia ulokole,
Akahamia waraka kwa Askofu Pengo,
Akaja na nia ya kuandika Biblia mpya,
Akarudi tena na Mtakatifu Pio!
Huyu MTU ni MGONJWA wa AFYA ya AKILI!...asaidiwe.
Kama mtadharau tahadhari hii ninayoitoa hapa, wazazi wa watoto anaowafundisha Kule Mkolani/Buhongwa sekondari Mwanza kunasiku mtawashuhudia katika vyombo vya habari wakitapika POVU!
View attachment 449207 View attachment 449208 Deogratius Kisandu habari za siku....Ninakusalimu kwa jina la Mtakatifu Fransisco wa Assis
Huyu Deo toka alipotoka ndani ya Shirika la Ndugu wadogo la Padre Ricardo(Pekupeku) pale Morogoro amekuwa kama chizi.
Hii ni kwa sbb ya kuvamia imani na kuzama ndani ya imani wakati akili ikiwa haijakomaa.Padre Pekupeku na aina ya maisha yake ukikaa naye lazima uote uchizi tu.
Maana ni mwendo wa kuvaa ndala,kula viporo,kulala chini kwenye ngozi na kushinda shambani kulima na kufanya kazi.Usafiri ni mwendo wa miguu au baiskeli(kwao pikipiki na gari ni kama anasa)
Ukiishi maisha haya hata kwa miaka miwili,kama una imani ya kuungaunga,lazima uwe "chizi" kama Deogratius Kisandu
Mkuu ni maisha ya kujitolea sana sana!!Yaani hawa jamaa wamezikana starehe zote za dunia,kama kweli kuna ulimwengu wa pili baada ya huu!!Basi Mungu na awajalie.Ukifuatilia maisha yao,inashangaza sana mkuu IGUDUNG'WAmkuu huyo.mzee yuko mkono wa kushoto mbele aneshika makaratasi nimewahi kumuona mwezi october mwaka huu pale nanenane morogoro. Alikuja msibani.... nilivomuona nikawaza huyu ni mfungwa wa kanisa?baadae nikaambiwa ni mtawa.
Aisee hayo maisha ni noma