Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,894
- 33,453
Alichofanya JPM kwa hao majirani ni kukataa ukondoo.JPM ameleta magomvi na nchi majirani.
CHADEMA itarejesha mahusiano mema na majirani zetu ili BIASHARA zimeweze kushamiri.
Sasa chadema wengi kwa vile wanapenda ukondoo ndio maana wanaona ni ugomvi