Sio tu Tanzania, ni kanisa la kwanza Afrika Mashariki.
HOLY GHOST CHURCH
KANISA KATOLIKI
BAGAMOYO, TANZANIA
LILIJENGWA 1872
Wakiongozwa na Sultan Majidd binafsi, Waislamu wa Bagamoyo waliwagawia kiwanja Wakristo wajenga kanisa mwaka 1868. Lilijengwa na wamishenari wa Kifaransa na kukamilika 1872.
Wamishenari hawa walikuwa na kampeni ya kupiga vita biashara ya utumwa kwa kutumia kanisa katika Afrika Mashariki.
Bagamoyo palikuwa kitovu cha biashara ya utumwa.
HOLY GHOST CHURCH
KANISA KATOLIKI
BAGAMOYO, TANZANIA
LILIJENGWA 1872
Wakiongozwa na Sultan Majidd binafsi, Waislamu wa Bagamoyo waliwagawia kiwanja Wakristo wajenga kanisa mwaka 1868. Lilijengwa na wamishenari wa Kifaransa na kukamilika 1872.
Wamishenari hawa walikuwa na kampeni ya kupiga vita biashara ya utumwa kwa kutumia kanisa katika Afrika Mashariki.
Bagamoyo palikuwa kitovu cha biashara ya utumwa.