Mahusiano ya Baba na binti yasababisha mauti...................

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Nilikuwa ninalipitia gazeti la Tanzania Daima na nikakutana na hii story ya huyu baba ambaye amechukizwa sana na tabia mbaya ya mtoto wake hadi kusababisha kujinyonga..........tukio hili limetokea kule Hai..................wenye habari za ndani zaidi watujuze..gazeti halijatoa hii kwa undani sana................mambo yalikuwaje hapo hadi baba mzima akajitia kitanzi..........
 
mhhh huyu mzee atakuwa alikuwa anafanya kitu flani hivi na huyu mtoto..huwezi ukajipiga kabali ufe ati kwa kuwa mtoto anakuchefua na tabia zake...mhh jamani kuishi kwingi kuona mengi
 
mhhh huyu mzee atakuwa alikuwa anafanya kitu flani hivi na huyu mtoto..huwezi ukajipiga kabali ufe ati kwa kuwa mtoto anakuchefua na tabia zake...mhh jamani kuishi kwingi kuona mengi
Hata mimi ninahisi huyu mzee alikuwa na lake jambo sasa huenda kabinti chake baada ya yeye baba mzazi kukaonjesha sukari kabinti nako kameanza kuwagawia vijana wenzie wenye damu motomoto na mzee wivu umemletea mauti ya kujitakia........................it looks like incest to me...........na ndiyo maana nilikuwa ninaulizia wenye habari za kutoka huko ambazo gazeti halikuziandika watujuze...................
 
Back
Top Bottom