Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
Je ni kweli na haki kuleta ugomvi ndani ya ndoa pindi mwenzi wako anapokuaaga na kukwambia kuwa leo kuna match ya mpira hivyo nitaenda kuangalia hata kama nyumbani kuna DSTV na kila kitu kipo connected completely?
Au inakuwa hulka tu ya ugomvi?
Au inakuwa hulka tu ya ugomvi?