6WaS9
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 2,508
- 2,873
Mkuu nawe,a nikatengeneza namaba ya marekani na kukutumia text ya kawaida kabisa ukadhani imetoka us , sio lazima iwe kama udhaniavyoNdio inawezekana, lkn hii nilazima uwe kwanza ulikua Marekan, ukajisajili wasap hukohuko... Sasa umerudi bongo.. Unaendelea kutumia namba yako hiyohiyo.
Je hapa bongo, kuna utaalam wa kujisajili wasap kutumia Code # za nchi nyingine naupo hapahapa Bongo na laini yako ya Tgo ????.
Na kwa inshu ya huyu Bidada, kama jamaa alikua anatumia hiyo namba hapahapa bongo..why hakutuma picha?? Kwann hakutaka Video Call???.