Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
*Relationships can be boring - not people!
*Love has reasons that reason knows nothing of.
*Friendship: a building contract you sign with laughter and break with tears.
...humu kwenye JF kuna wengine ama kwa makusudi au kutokujua, wanafanya kila hila kuchochea, kuchonganisha, kukashifu Imani za watu wengine. Katika kila thread wao wamo tu kuchochea chuki, kashfa, dharau na katika hayo... ili iweje???????????? pakichafuka mtayaweza matokeo yake??????
Intelligence is like underwear, everyone has it but you don't have to show it off ...Coz, artificial intelligence is no match to natural stupidity!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tuheshimiane kabla mambo hayajaanza kubadilika, tunajivunia AMANI tanzania, lakini mkumbuke JF inasomwa na Watanzania hao hao walotofautiana imani, ...panahitajika cheche tu za fikra kuwasha moto ambao vizazi na vizazi vijavyo vitakumbushiwa Jamii Forums ndipo ulipoanzia...
Grow up buddies, Ukubwa sio kujua kujua ku type na kumwaga upupu kwenye web, ni pamoja na kufikiria uzito wa maneno katika jamii husika, na matokeo yake. Usidhani eti ukijificha nyuma ya nickname ya JF ndio huachi footprints zako kwenye mtandao... You'll be caught, most probably off guard, popote ulipo hapa duniani.