KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,664
- 11,928
Wakuu jana baadhi ya mahujaji wamekwama airport kwa kile kinachodhaniwa ni kutapeliwa na mawakala wa kuwasafirisha.
Lakini hii mbona imeanza kua tabia na imejitokeza hasa katika kipindi hichi hichi cha mjomba?
Isije ikawa inafanywa makusudi ili waweze kupelekwa kwa huruma ya mjomba.
Inakuaje kodi yangu inatumika kuwapeleka?
Hao wanaochakachua fedha za mahujaji wanachukuliwaga hatua gani?
Lakini hii mbona imeanza kua tabia na imejitokeza hasa katika kipindi hichi hichi cha mjomba?
Isije ikawa inafanywa makusudi ili waweze kupelekwa kwa huruma ya mjomba.
Inakuaje kodi yangu inatumika kuwapeleka?
Hao wanaochakachua fedha za mahujaji wanachukuliwaga hatua gani?