Super Handsome
JF-Expert Member
- Jul 16, 2013
- 3,846
- 6,439
Uchafu? mtume alivosusa baada ya kuchukizwa kuikosa Nyama pendwa? hiyo hadithi niliambiwa pale msikiti Wa Qiblatin ambapo kwa pembeni kinauzwa kitimoti maridad kabisa!Dini yangu hairuhusu uchafu hiyo nifursa kwako itumie