Mahujaji Manyara wapokelewa kwa furaha na mamia ya watu

Wewe utakuwa unawashwa washwa, angalia mafundisho ya dini hapa
f7fc9a8530f0d95ebaaba67a763a2970.jpg
Sifanyi kazi yakurudia 2lia mbz wewe
Nahayo nimatatizo ya kukaa na ukoko wahaja kubwa kwasababu yakutotumia maji njoo ufundishwe utapona hayo matatizo ss mtume katufundisha mapema tuepuke matatizo kama hayo
 
Unakera kusisha uislam na nguruwe kama mnakula nyie kuleni ss hatutumii huyo mnyama aliokuja kwaajili ya kusafisha choo kubwa ndiomaana hatumli kuleni nyie
Binafsi ndo nakusikia wewe kuwa hamtumii. Maana wapo wafia dini (pengine kuliko wewe) wanatumia pengine kwa siri sana
 
Mahujaji waTanzania wameanza kuwasili nchini tangu walipoelekea Saudi Arabia kwa ajili ya kutekeleza nguzo ya tano ya dini ya kiislamu ya kuhiji Makkah inayofanywa na watu mbalimbali duniani.

Kwa mwaka huu mkoa wa Manyara mahujaji wawili kutoka wilaya ya Babati walipata nafasi ya kwenda kutimiza nguzo hiyo kuu na muhimu ya dini ya kiislam,ambao ni Alhaji Sheikh Shabani Msii pamoja na Alhaji Sheikh Nuhu Ibrahim Ngaso ambapo wamewataka waislamu na wasio waislamu kutenda yale ya kumpendeza Mungu.

Akizungumza na kituo hiki Alhaji Sheikh Nuhu Ngaso amesema kuwa wapo wislamu wengi wangependa kwenda hijja ila wanakosa hamasa kutoka kwa viongozi wao na kuwataka viongozi kusisitiza hilo.

Naye sheik mkuu wa mkoa wa Manyara Mohammad Hamisi Kadidi akawaagiza viongozi wote wa dini ya Kiislam mkoa wa Manyara kutoa elimu kuhusu hijj.

Mamia ya waislamu mkoani hapa walijitokeza kwa wingi kuwalaki mahujaji hao ambao walifikia katika msikiti wa Bakwata Babati mjini na hatimaye kuwatembelea na kuwasalimu waislamu waliopo Galapo na Mamire.
Hivi nikwanini mtu Akitekeleza nguzo ya hija Anajiita Alhaji au watu wamuite alhaji hamuoni kuwa mtampelekea mtuhuyu kuharibu ibada yake kwa kujiingiza au kuingizwa kwenye riyaa na kuharibu ibada yake mbona wanaoswali hawajiiti wasalihina kwenye majina yao mtaacha lini uzushi? Watu wafanye ibada kwa ajili ya kutaka radhi za Allah na sikujisifia au kusifiwa kani hivi mshasikia wema waliotangulia wakaitwa Alhaji kuna maandishi yeyote ambayo mtu amesha yaona yakiwa yameandikwa Alhaj Abubakar radhi za Allah ziwe juu yake au Omar au Othuman au Ally au ni nyinyi tu wabongo na tabia zenu mvaya za Riyaa mnaharibu ibada zenu
 
Hadithi za mtume kugomea kitimoto ni kwamba kulikua na tafrija..mtume alikua mgeni rasmi..wwkachinja Nyama zooote kumbe wale waandaaji walikua wamemuwekea kitimoto pembeni..basi bila kujua mtume katika kukagua bufee LA Nyama akauliza...mbona sioni ya nguruwe...kama haipo hiyo Nyama hapa basi tukose wote ni haramu..

Kimsingi mtume alisusa baada ya kuona Nyama pendwa haipo ndio maana akaiulizia na alipojibiwa haipo akaiharamisha ili wakose wore.

Hata hivyo nguruwe aliye haramishwa ni yule tu wasiku ile na si wote!

Hakuna muislam mfia dini asiyeijuia hii hadithi..

Jiulize alijuaje Nyama pendwa haipo kati ya maelfu ya wanyama waliochinjwa!?
hahahaa aiseee ila humu watu tunajinadi kuwa ni ma GT .ILA KUNA WATU WANALISHANA MATANGO PORI AISEE HAHAAA


mkuu humu watu huwa hawataki stori zakutunga ili hadithi yko ama waraka wako upate kuwa naheshima ..unapozungumzia jambo zito kama hili tena ni lakihistoria yakupasa uwe na references.. otherwise utatafasirika tofauti nakujishushia heshima...
nilitegemea kuona ukisema kuwa mtume alikwenda kwenye tafrija ya Fulani mahala Fulani na tafrija hiyo ilihusu kitu Fulani ..Siku Fulani na mtunzi wa hadithi hiyo ni Fulani
(chanzo cha hadithi)

maana katka uislam huwa inaangaliwa mpka mtoa hadithi huyo alikuwa ninani na heshima yake ilikuwa niipi ktk uislam...maana kuna ambao walikuwa wnawalisha matango pori wenzao kama ulivyofnya wewe hapa ..so ili kuondoa huo mkanganyiko huwa kuna sheria yakutazama wasifu wamtoaji hiyo hadithi
 
Binafsi ndo nakusikia wewe kuwa hamtumii. Maana wapo wafia dini (pengine kuliko wewe) wanatumia pengine kwa siri sana
Weka Picha tena iwe ya video tafadhali naufike kituo cha police tuandikiane poropaganda hamkuanza Leo makafiri kuupaka uislam machafu toka mitume mpaka Leo ibilisi yupo kazini hata hayo yako nimadogo wapowalio toa maneno yakutisha namitutu juu ilikuuondoa bado uislam upo nandio unazidi watu kuukubali poteza muda wako kuutukana uislam
 
Mahujaji waTanzania wameanza kuwasili nchini tangu walipoelekea Saudi Arabia kwa ajili ya kutekeleza nguzo ya tano ya dini ya kiislamu ya kuhiji Makkah inayofanywa na watu mbalimbali duniani.

Kwa mwaka huu mkoa wa Manyara mahujaji wawili kutoka wilaya ya Babati walipata nafasi ya kwenda kutimiza nguzo hiyo kuu na muhimu ya dini ya kiislam,ambao ni Alhaji Sheikh Shabani Msii pamoja na Alhaji Sheikh Nuhu Ibrahim Ngaso ambapo wamewataka waislamu na wasio waislamu kutenda yale ya kumpendeza Mungu.

Akizungumza na kituo hiki Alhaji Sheikh Nuhu Ngaso amesema kuwa wapo wislamu wengi wangependa kwenda hijja ila wanakosa hamasa kutoka kwa viongozi wao na kuwataka viongozi kusisitiza hilo.

Naye sheik mkuu wa mkoa wa Manyara Mohammad Hamisi Kadidi akawaagiza viongozi wote wa dini ya Kiislam mkoa wa Manyara kutoa elimu kuhusu hijj.

Mamia ya waislamu mkoani hapa walijitokeza kwa wingi kuwalaki mahujaji hao ambao walifikia katika msikiti wa Bakwata Babati mjini na hatimaye kuwatembelea na kuwasalimu waislamu waliopo Galapo na Mamire.
Utumwa bhana, kitu kibaya sana, yaani wamekuwa masuper star kilaini....
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom