Mahujaji 31 wa Shiite wafariki na 100 kujeruhiwa kutokana na mkanyagano msikitini

Hivi huyu Imamu Hussein alikuwa na wadhifa gani? Aliuawa na kina nani? Na kwanini?
Dah Kisa ni kirefu sana
ila Kama upo Dar es salaam siku ya jumamosi baada ya sala ya maghrib kisa hicho kitasimuliwa katika mskiti wa madina mtaa wa tandamti usikose
 
HAO NI WAZUSHI TU MKUU, WAMEKUFA KWENYE UZUSHI WAO HUKO KARBALAA

HAKUNA MAFUNDISHO YA ASILI KTK UISLAM YANAYOWALAZIMISHA WAUMINI KWENDA KARBALAA NI UZUSHI MTUPU !! QUH!!
Ulivyokua akkli huna! Nani alikwambia kua kiimani kuna sheria inayowalazimisha kwenda mahali hapo (Karbala)? Kama huna uelewa wa mambo uliza wanaoju tukufahamishe. Katika maadhimisho ya mwaka huu, karbala kulikua na watu zaidi ya million 14, na hakuna rekodi ya watu kukanyagana wawapo Karbala kama imetokea ni jambo la bahati mbaya.
 
MSIKITI WA MACCA, MSIKITI WA MADINA NA MSIKITI WA EL AQSAA PALESTINA. BASI HIYO TU NDIO IMETAJWA KTK MAFUNDISHO KWAMBA NDIO MISIKITI YA KUFUNGIWA MISAFARA.

HAYO MAMBO YA KARBALAA HUKO KWENYE MIJI YA IRAQ HAIKUTAJWA POPOTE KTK UISLAM. HAYA NI MAMBO YA SERIKALI YA IRAN NA WAFUASI WAO DUNIANI !!
Another foolishly noise maker. Nyinyi ndo mnaoleta divisions katika uislamu kwa mambo msiokuwa na elimu nayo.
 
Kwani hao Washia wanaohiji huko Karbala sio waislamu? Mbona hata huko Makka na Madina pia wanaenda?
Very good question na wakikujibu nitag plz. Hajj ni moja na hufanywa sehemu moja tu ambayo ni makka tu. Hao Shia huenda huko karbala sio kwa nia ya kwenda hijja bali ni ziyarat ya Imam Hussein.
 
Mambo ya imani ni magumu na yana changamoto kubwa sana, na ili uwe muumini mzuri hutakiwi kuuliza uliza maswali kwa kua hata unae muuliza nae hana jibu
Inabidi uupofushe ubongo wako ndiyo utakwenda sawa na watu wa 'imani'.
 
Takriban Mahujaji 36 wa Shiite wamefariki na wengine 100 kujeruhiwa kutokana na mkanyagano uliotokea Msikitini wakati wa ibada ya Ashura mjini Karbala

Mamia ya Mahujaji hao walikuwa wamekusanyika katika ibada ya kumbukumbu ya kifo cha Imam Hussein, Mjukuu wa Mtume Muhammad ambaye aliuawa vitani katika karne ya 7, tukio ambalo liliimarisha uhasama kati ya madhehebu ya Sunni na Shiite

========================================================

BAGHDAD — A stampede killed dozens of pilgrims in Iraq’s holy city of Karbala on Tuesday as Shiite Muslims marked one of the most solemn events in their calendar.

At least 36 people were killed and more than 100 injured, some of them critically, in the Ashura commemorations, according to a spokesman for the Health Ministry.

Hundreds of thousands of Shiites had gathered in Karbala to mark the death of Imam Hussein, a grandson of the prophet Muhammad who was killed in battle in the 7th century, an event that cemented the schism between the Islamic faith’s Sunni and Shiite sects.

The stampede occurred toward the end of the procession, officials said, as tens of thousands of people rushed toward Hussein’s shrine. The charge, known as the Tweireej run, is named after the nearby village from where Hussein’s maternal cousins tried to mount a rescue — only to realize he had already been killed.

A spokesman for the body in charge of the shrine said the stampede began after several pilgrims fainted as temperatures topped 100 degrees Fahrenheit. Unable to see what had happened up ahead, the waves of pilgrims kept running, before many of them slipped and stumbled in a deadly crush. “Aid workers immediately started to evacuate the injured, but due to the large number, it happened so fast and led to casualties,” Afdhal al-Shami said.

A photograph shared widely on social media, apparently from the scene, showed bodies slumped and strewn across a wooden walkway as other pilgrims gestured for help.

Hundreds of thousands of Shiite worshipers also gathered in Baghdad to mark Ashura amid a beefed-up security presence. While the Iraqi capital has been largely free of major attacks in recent years, sleeper cells of the Islamic State extremist group remain active nationwide, and Sunni militants have repeatedly targeted Shiite shrines and gatherings in recent decades.

In 2004, more than 140 worshipers were killed and hundreds injured in near-simultaneous attacks on shrines in Baghdad and Karbala during Ashura.
kafara za majini za shetan wao wa kibra wanaemswalia
 
Ulivyokua akkli huna! Nani alikwambia kua kiimani kuna sheria inayowalazimisha kwenda mahali hapo (Karbala)? Kama huna uelewa wa mambo uliza wanaoju tukufahamishe. Katika maadhimisho ya mwaka huu, karbala kulikua na watu zaidi ya million 14, na hakuna rekodi ya watu kukanyagana wawapo Karbala kama imetokea ni jambo la bahati mbaya.
Usitake kuwatetea shia ww.
Shia ni makafiri nyuma ya pazia utake usitake.
Ndio maana wameleta taratibu zao za ibada zilizo kinzani na zile sahihi alizofundisha mtume.
Shia sio wenzetu kataa kubali shia sio wenzetu ni makafiri tu nyum ya pazia.
 
Mkuu kuna uislam na muislam.
Uislam ni dini ambayo ina taratibu zake zinazotakiwa kufuatwa kwa misingi ya Qur'an na sunnah za Muhammad(s.a.w).
Ktk hii misingi ili uwe muislam bora watakiwa uifuate itakikanavyo,ikitokea umekengeuka isiwe kwa makusudi eidha iwe kwa kughafilika ama ujahili ama makosa tu ya kibinadam.
Ila usikengeuke kimakusudi kwa kujenga matashi na kutaka kufata utashi wa nafsi.
Ukifanya hvyo basi ushakufuru ww hatuwez kukuhesabia kuwa muislam maana uislam hauendeshwi kwa matashi ya nafsi ya mtu.

Mashia hawa watu ni watu ambao wanafata dini kwa matashi ya nafsi zao.
Kiasi wameleta mpk taratibu zao za kiibada na kuziingizia ktk uislam ilhali uislam haujasema hvyo.
1)Wameanzisha ibada ya kujipiga na kujichanja na mapanga kisa Hussein ilhali Allah na mtume wake hawakuweka qatwiyyu dillala ya hzo ibada kuwa zifatwe.
2)Uislam una shahada mbili wao wameeka shahada tatu.
3)Kuzuru miji mitukufu,kufanya hijjah na umrah ni makkah na madinah tuh na misikiti mitukufu ni Masjid haram(makkah),masjid Quba(madinnah) na masjid al aqsa(Palestine ) ila wao wanaenda kutukuza maimam huko karbala.
4)Baadhi ya aya za Qur'an wanatafsiri sivyo ili kukidhi matakwa yao mathalan Ile ayah isemayo "hakika wake zenu ni mashamba yenu waingilieni mtakavyo" wao wametafsiri kuwa Allah karuhusu kufirana ilhali hiyo ayah imekusudiwa kuwa wake zetu ni mashamba yetu tuwazalishe tutakavyo ndio maana Allah kataja shamba ukisema kuhusu kufirana inamaana wake zetu hawatozaa ni sawa na kupanda mbegu fake ktk shamba.

Hiyo kuhiji makkah haijalishi ila tizama kuwa hawa ni waislam wanaofanya vtu kwa utashi wa nafsi zao ktk dini je Allah atawaridhia hawa ilhali wamemzushia uongo hadi Allah ???!!!!
Jibu laah ndio maana nawatamka kuwa sio waislam sahihi.
Waislam jina tu.
Kwani hao Washia wanaohiji huko Karbala sio waislamu? Mbona hata huko Makka na Madina pia wanaenda?
 
Mkuu kuna uislam na muislam.
Uislam ni dini ambayo ina taratibu zake zinazotakiwa kufuatwa kwa misingi ya Qur'an na sunnah za Muhammad(s.a.w).
Ktk hii misingi ili uwe muislam bora watakiwa uifuate itakikanavyo,ikitokea umekengeuka isiwe kwa makusudi eidha iwe kwa kughafilika ama ujahili ama makosa tu ya kibinadam.
Ila usikengeuke kimakusudi kwa kujenga matashi na kutaka kufata utashi wa nafsi.
Ukifanya hvyo basi ushakufuru ww hatuwez kukuhesabia kuwa muislam maana uislam hauendeshwi kwa matashi ya nafsi ya mtu.

Mashia hawa watu ni watu ambao wanafata dini kwa matashi ya nafsi zao.
Kiasi wameleta mpk taratibu zao za kiibada na kuziingizia ktk uislam ilhali uislam haujasema hvyo.
1)Wameanzisha ibada ya kujipiga na kujichanja na mapanga kisa Hussein ilhali Allah na mtume wake hawakuweka qatwiyyu dillala ya hzo ibada kuwa zifatwe.
2)Uislam una shahada mbili wao wameeka shahada tatu.
3)Kuzuru miji mitukufu,kufanya hijjah na umrah ni makkah na madinah tuh na misikiti mitukufu ni Masjid haram(makkah),masjid Quba(madinnah) na masjid al aqsa(Palestine ) ila wao wanaenda kutukuza maimam huko karbala.
4)Baadhi ya aya za Qur'an wanatafsiri sivyo ili kukidhi matakwa yao mathalan Ile ayah isemayo "hakika wake zenu ni mashamba yenu waingilieni mtakavyo" wao wametafsiri kuwa Allah karuhusu kufirana ilhali hiyo ayah imekusudiwa kuwa wake zetu ni mashamba yetu tuwazalishe tutakavyo ndio maana Allah kataja shamba ukisema kuhusu kufirana inamaana wake zetu hawatozaa ni sawa na kupanda mbegu fake ktk shamba.

Hiyo kuhiji makkah haijalishi ila tizama kuwa hawa ni waislam wanaofanya vtu kwa utashi wa nafsi zao ktk dini je Allah atawaridhia hawa ilhali wamemzushia uongo hadi Allah ???!!!!
Jibu laah ndio maana nawatamka kuwa sio waislam sahihi.
Waislam jina tu.
Sio kwamba sio waislamu tu bali ni makafiri kabisa
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom