Uchaguzi 2020 Mahudhurio Kiduchu kwenye Mikutano ya Kampeni za Wapinzani ni Ishara Mbaya: Wajiandae Kisaikolojia

Amani Msumari

JF-Expert Member
Aug 21, 2016
1,830
976
Wanabodi,

Mahudhurio ya wananchi kwenye Mikutano ya Kampeni za uchaguzi mkuu mwaka huu (2020) haiwezi kuwa sababu ya moja kwa moja ya ushindi Ila angalau yanatoa picha ya mambo yatakavyokuwa.

Siasa za duniani kote, hata Marekani, idadi ya watu wanaohudhuria Mikutano ya Kampeni huchukuliwa kuwa moja ya kigezo cha kukubalika kwa chama cha siasa na mgombea/wagombea wake.

Katika kampeni zinazoendelea, tumeshuhudia mahudhurio machache kwa vyama vya upinzani ukilinganisha na mwaka 2015. Pamoja na kuwa sio kigezo cha moja kwa moja Kama nilivyotangulia kuandika hapo juu, lakini kuna uhusiano chanya. Mfano halisi tunauona kwenye motokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Motokeo yaliendana na mafuriko, hivyo kigezo hicho ni muhimu na kamwe hakiwezi kuepukwa.

Nilipata kusema mahali fulani kuwa "siasa ni sayansi na wanasayansiasa wazuri hufanikiwa sana". Ninawashangaa sana wapinzani wanaposema kuwa "mafuriko ya watu kwenye kampeni za CCM wanafuata wasanii". Hili halikupaswa kuongewa na watu wanaojua siasa. Lazima unogeshe mkutano kwa vionjo mbalimbali. Hivi hawajifunzi kwenye mikutano ya injili ambapo kunakuwa na "sebene la Yesu"?. Kuna wale wanakuja kufuata sebene, wanawake na kuibia wahudhuriaji. Wakifika pale wanakutana na faya. Vivo hivyo, mwananchi anaweza kwenda kwenye kampeni za CCM kuona wasanii lakini akifika pale anapata yote, burudani na kusikiliza sera. Hii imetusaidia sana.

Mtu asipofika kwenye mkutano wako, atafanyaje maamuzi ya kukuchagua? Kijana anasikia nini kimepangwa kwa ajili yake, vivo hivyo kwa akina mama wazee, walemavu na makundi mengine.

Ukiacha ukubwa wa chama, umaarufu wa mgombea nao una nafasi kubwa sana. Umaarufu wa Lowassa haufanani hata kiduchu na umaarufu wa Lissu au Membe. Lowassa wa 2015 alikuwa Ni "man and a half". Lissu anatumia vibaya shambulio lake kutaka kura za huruma. Kipekee, nalaani kushambuliwa kwake lakini kupigwa risasi haiwezi kuwa kigezo cha kuchaguliwa. CHADEMA kwa hapa mmekosea sana. Watanzania wanataka maji, umeme, huduma bora za afya, elimu na miundombinu bora.

Mahudhurio machache ya wananchi ni salamu kwenu. Hiyo ni rasharasha, masika inakuja. Sasa mnaanza kutumia picha za mafuriko ya Lowassa mkizani hatujui. Watanzania wa leo "HAWADANGANYIKI". Wamemuelewa Dr John Magufuli, wameilewa CCM.

Tukutane oktoba ishirini na nane

Amani Msumari
Tanga
 
Ukweli unabaki uleule...
Mwenyekiti wa CCM alijiita kichaa na mwendawazimu!
Juzi kajiita mtaalamu wa kupiga deki, eti atapiga kwenye nyumba ta malaika huko mbinguni!
Hapa akathibitisha sifa zake anazo jiita
 
Lissu hawezi kuivunja rekodi ya Mzee wa mvi! Atapigwa kura nyingi Sana!

Alidhani wabongo watamsapoti kwa idadi kubwa kwa sababu alipigwa risasi na wasiojulikana!
 
1599292099082.png

Yanayojiri kwenye kampeni za CCM mbele ya macho ya waheshimiwa sana.
 
Wanabodi,

Mahudhurio ya wananchi kwenye Mikutano ya Kampeni za uchaguzi mkuu mwaka huu (2020) haiwezi kuwa sababu ya moja kwa moja ya ushindi Ila angalau yanatoa picha ya mambo yatakavyokuwa.

Siasa za duniani kote, hata Marekani, idadi ya watu wanaohudhuria Mikutano ya Kampeni huchukuliwa kuwa moja ya kigezo cha kukubalika kwa chama cha siasa na mgombea/wagombea wake.

Katika kampeni zinazoendelea, tumeshuhudia mahudhurio machache kwa vyama vya upinzani ukilinganisha na mwaka 2015. Pamoja na kuwa sio kigezo cha moja kwa moja Kama nilivyotangulia kuandika hapo juu, lakini kuna uhusiano chanya. Mfano halisi tunauona kwenye motokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Motokeo yaliendana na mafuriko, hivyo kigezo hicho ni muhimu na kamwe hakiwezi kuepukwa.

Nilipata kusema mahali fulani kuwa "siasa ni sayansi na wanasayansiasa wazuri hufanikiwa sana". Ninawashangaa sana wapinzani wanaposema kuwa "mafuriko ya watu kwenye kampeni za CCM wanafuata wasanii". Hili halikupaswa kuongewa na watu wanaojua siasa. Lazima unogeshe mkutano kwa vionjo mbalimbali. Hivi hawajifunzi kwenye mikutano ya injili ambapo kunakuwaje na "sebene la Yesu"?. Kuna wale wanakuja kufuata sebene, wanawake na kuibia wahudhuriaji. Wakifika pale watakutafutia na faya. Vivo hivyo, mwananchi anaweza kwenda kwenye kampeni za CCM kuona wasanii lakini akifika pale anapata yote, burudani na kusikiliza sera. Hii imetusaidia sana.

Mtu asipofika kwenye mkutano wako, atafanyaje maamuzi ya kukuchagua? Kijana anasikia nini kimepangwa kwa ajili yake, vivo hivyo kwa akina mama wazee, walemavu na makundi mengine.

Ukiacha ukubwa wa chama, umaarufu wa mgombea nao una nafasi kubwa sana. Umaarufu wa Lowassa haufanani hata kiduchu na umaarufu wa Lissu au Membe. Lowassa wa 2015 alikuwa Ni "man and a half". Lissu anatumia vibaya shambulio lake kutaka kura za huruma. Kipekee, nalaani kushambuliwa kwake lakini kupigwa risasi haiwezi kuwa kigezo cha kuchaguliwa. CHADEMA kwa hapa mmekosea sana. Watanzania wanataka maji, umeme, huduma bira za afya, elimu na miundombinu bora.

Mahudhurio machache ya wananchi ni salamu kwenu. Hiyo ni rasharasha, masika inakuja. Sasa mnaanza kutumia picha za mafuriko bya Lowassa mkizani hatujui. Watanzania wa leo "HAWADANGANYIKI". Wamemuelewa Dr John Magufuli, wameilewa CCM.

Tukutane oktoba ishirini na nane

Amani Msumari
Tanga
Sio nyie mliosema nyomi haipigi kura.
 
Wanabodi,

Mahudhurio ya wananchi kwenye Mikutano ya Kampeni za uchaguzi mkuu mwaka huu (2020) haiwezi kuwa sababu ya moja kwa moja ya ushindi Ila angalau yanatoa picha ya mambo yatakavyokuwa.

Siasa za duniani kote, hata Marekani, idadi ya watu wanaohudhuria Mikutano ya Kampeni huchukuliwa kuwa moja ya kigezo cha kukubalika kwa chama cha siasa na mgombea/wagombea wake.

Katika kampeni zinazoendelea, tumeshuhudia mahudhurio machache kwa vyama vya upinzani ukilinganisha na mwaka 2015. Pamoja na kuwa sio kigezo cha moja kwa moja Kama nilivyotangulia kuandika hapo juu, lakini kuna uhusiano chanya. Mfano halisi tunauona kwenye motokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Motokeo yaliendana na mafuriko, hivyo kigezo hicho ni muhimu na kamwe hakiwezi kuepukwa.

Nilipata kusema mahali fulani kuwa "siasa ni sayansi na wanasayansiasa wazuri hufanikiwa sana". Ninawashangaa sana wapinzani wanaposema kuwa "mafuriko ya watu kwenye kampeni za CCM wanafuata wasanii". Hili halikupaswa kuongewa na watu wanaojua siasa. Lazima unogeshe mkutano kwa vionjo mbalimbali. Hivi hawajifunzi kwenye mikutano ya injili ambapo kunakuwaje na "sebene la Yesu"?. Kuna wale wanakuja kufuata sebene, wanawake na kuibia wahudhuriaji. Wakifika pale watakutafutia na faya. Vivo hivyo, mwananchi anaweza kwenda kwenye kampeni za CCM kuona wasanii lakini akifika pale anapata yote, burudani na kusikiliza sera. Hii imetusaidia sana.

Mtu asipofika kwenye mkutano wako, atafanyaje maamuzi ya kukuchagua? Kijana anasikia nini kimepangwa kwa ajili yake, vivo hivyo kwa akina mama wazee, walemavu na makundi mengine.

Ukiacha ukubwa wa chama, umaarufu wa mgombea nao una nafasi kubwa sana. Umaarufu wa Lowassa haufanani hata kiduchu na umaarufu wa Lissu au Membe. Lowassa wa 2015 alikuwa Ni "man and a half". Lissu anatumia vibaya shambulio lake kutaka kura za huruma. Kipekee, nalaani kushambuliwa kwake lakini kupigwa risasi haiwezi kuwa kigezo cha kuchaguliwa. CHADEMA kwa hapa mmekosea sana. Watanzania wanataka maji, umeme, huduma bira za afya, elimu na miundombinu bora.

Mahudhurio machache ya wananchi ni salamu kwenu. Hiyo ni rasharasha, masika inakuja. Sasa mnaanza kutumia picha za mafuriko bya Lowassa mkizani hatujui. Watanzania wa leo "HAWADANGANYIKI". Wamemuelewa Dr John Magufuli, wameilewa CCM.

Tukutane oktoba ishirini na nane

Amani Msumari
Tanga
Kwema lkn! Waache na ukiduchu wao waendelee
 
Mkuu kwa uchaguzi wa mwaka 2015. Mshindi halali wa uchaguzi alikuwa Lowasa Ila tume Dola Lowasa waliibeba CCM.

Ujinga umasikini wa kufikiri na upumbavu wa watanzania wengi, huenda mwenye kampeni kwa upepo na mihemuko ya kisiasa.

Kwa nchi zilizoendelea mgombea mwenye sera bora ndiye anayepigiwa kura nyingi.
Lakini kwa huku kwetu tunampa mgombea mwenye (upepo) wafuasi wengi na mvuto wa haiba siyo sera wala ilani.

Na wewe ni moja ya wasio elewa wanakwenda kusikiliza nini kwenye kampeni.

Ni yeye
 
Ukweli unabaki uleule...
Mwenyekiti wa CCM alijiita kichaa na mwendawazimu!
Juzi kajiita mtaalamu wa kupiga deki, eti atapiga kwenye nyumba ta malaika huko mbinguni!
Hapa akathibitisha sifa zake anazo jiita
Uchaguzi huu, CCM Itashinda by far
 
Mkuu kwa uchaguzi wa mwaka 2015. Mshindi halali wa uchaguzi alikuwa Lowasa Ila tume Dola Lowasa waliibeba CCM.

Ujinga umasikini wa kufikiri na upumbavu wa watanzania wengi, huenda mwenye kampeni kwa upepo na mihemuko ya kisiasa.

Kwa nchi zilizoendelea mgombea mwenye sera bora ndiye anayepigiwa kura nyingi.
Lakini kwa huku kwetu tunampa mgombea mwenye (upepo) wafuasi wengi na mvuto wa haiba siyo sera wala ilani.

Na wewe ni moja ya wasio elewa wanakwenda kusikiliza nini kwenye kampeni.

Ni yeye
Mshindi halali kivipi? Hivi unaijua heshima ya jaji Lubuva? Hivi unajua jaji Lubuva Ni shemeji wa Lowassa?

Kama yeye alimtangaza Magufuli kuwa mshindi, wewe ni Nani hata upinge hayo?
 
Wanabodi,

Mahudhurio ya wananchi kwenye Mikutano ya Kampeni za uchaguzi mkuu mwaka huu (2020) haiwezi kuwa sababu ya moja kwa moja ya ushindi Ila angalau yanatoa picha ya mambo yatakavyokuwa.

Siasa za duniani kote, hata Marekani, idadi ya watu wanaohudhuria Mikutano ya Kampeni huchukuliwa kuwa moja ya kigezo cha kukubalika kwa chama cha siasa na mgombea/wagombea wake.

Katika kampeni zinazoendelea, tumeshuhudia mahudhurio machache kwa vyama vya upinzani ukilinganisha na mwaka 2015. Pamoja na kuwa sio kigezo cha moja kwa moja Kama nilivyotangulia kuandika hapo juu, lakini kuna uhusiano chanya. Mfano halisi tunauona kwenye motokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Motokeo yaliendana na mafuriko, hivyo kigezo hicho ni muhimu na kamwe hakiwezi kuepukwa.

Nilipata kusema mahali fulani kuwa "siasa ni sayansi na wanasayansiasa wazuri hufanikiwa sana". Ninawashangaa sana wapinzani wanaposema kuwa "mafuriko ya watu kwenye kampeni za CCM wanafuata wasanii". Hili halikupaswa kuongewa na watu wanaojua siasa. Lazima unogeshe mkutano kwa vionjo mbalimbali. Hivi hawajifunzi kwenye mikutano ya injili ambapo kunakuwa na "sebene la Yesu"?. Kuna wale wanakuja kufuata sebene, wanawake na kuibia wahudhuriaji. Wakifika pale wanakutana na faya. Vivo hivyo, mwananchi anaweza kwenda kwenye kampeni za CCM kuona wasanii lakini akifika pale anapata yote, burudani na kusikiliza sera. Hii imetusaidia sana.

Mtu asipofika kwenye mkutano wako, atafanyaje maamuzi ya kukuchagua? Kijana anasikia nini kimepangwa kwa ajili yake, vivo hivyo kwa akina mama wazee, walemavu na makundi mengine.

Ukiacha ukubwa wa chama, umaarufu wa mgombea nao una nafasi kubwa sana. Umaarufu wa Lowassa haufanani hata kiduchu na umaarufu wa Lissu au Membe. Lowassa wa 2015 alikuwa Ni "man and a half". Lissu anatumia vibaya shambulio lake kutaka kura za huruma. Kipekee, nalaani kushambuliwa kwake lakini kupigwa risasi haiwezi kuwa kigezo cha kuchaguliwa. CHADEMA kwa hapa mmekosea sana. Watanzania wanataka maji, umeme, huduma bora za afya, elimu na miundombinu bora.

Mahudhurio machache ya wananchi ni salamu kwenu. Hiyo ni rasharasha, masika inakuja. Sasa mnaanza kutumia picha za mafuriko ya Lowassa mkizani hatujui. Watanzania wa leo "HAWADANGANYIKI". Wamemuelewa Dr John Magufuli, wameilewa CCM.

Tukutane oktoba ishirini na nane

Amani Msumari
Tanga
Idadi hii kumbe ni ndogo!? Mgombea wa CCM amesema wazi, tusibweteke kwa kuhisi tutashinda bali tujitokeze kwenda kupiga kura!
IMG-20200905-WA0057.jpg
IMG-20200904-WA0194.jpg
 
Mkuu kwa uchaguzi wa mwaka 2015. Mshindi halali wa uchaguzi alikuwa Lowasa Ila tume Dola Lowasa waliibeba CCM.

Ujinga umasikini wa kufikiri na upumbavu wa watanzania wengi, huenda mwenye kampeni kwa upepo na mihemuko ya kisiasa.

Kwa nchi zilizoendelea mgombea mwenye sera bora ndiye anayepigiwa kura nyingi.
Lakini kwa huku kwetu tunampa mgombea mwenye (upepo) wafuasi wengi na mvuto wa haiba siyo sera wala ilani.

Na wewe ni moja ya wasio elewa wanakwenda kusikiliza nini kwenye kampeni.

Ni yeye
Unazungumzia mvuto kwenye urais!!?? mngemuweka basi james delicious ndo awe mgombea wenu maana ata kisera mnafanana naye.
 
Wanabodi,

Mahudhurio ya wananchi kwenye Mikutano ya Kampeni za uchaguzi mkuu mwaka huu (2020) haiwezi kuwa sababu ya moja kwa moja ya ushindi Ila angalau yanatoa picha ya mambo yatakavyokuwa.

Siasa za duniani kote, hata Marekani, idadi ya watu wanaohudhuria Mikutano ya Kampeni huchukuliwa kuwa moja ya kigezo cha kukubalika kwa chama cha siasa na mgombea/wagombea wake.

Katika kampeni zinazoendelea, tumeshuhudia mahudhurio machache kwa vyama vya upinzani ukilinganisha na mwaka 2015. Pamoja na kuwa sio kigezo cha moja kwa moja Kama nilivyotangulia kuandika hapo juu, lakini kuna uhusiano chanya. Mfano halisi tunauona kwenye motokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Motokeo yaliendana na mafuriko, hivyo kigezo hicho ni muhimu na kamwe hakiwezi kuepukwa.

Nilipata kusema mahali fulani kuwa "siasa ni sayansi na wanasayansiasa wazuri hufanikiwa sana". Ninawashangaa sana wapinzani wanaposema kuwa "mafuriko ya watu kwenye kampeni za CCM wanafuata wasanii". Hili halikupaswa kuongewa na watu wanaojua siasa. Lazima unogeshe mkutano kwa vionjo mbalimbali. Hivi hawajifunzi kwenye mikutano ya injili ambapo kunakuwa na "sebene la Yesu"?. Kuna wale wanakuja kufuata sebene, wanawake na kuibia wahudhuriaji. Wakifika pale wanakutana na faya. Vivo hivyo, mwananchi anaweza kwenda kwenye kampeni za CCM kuona wasanii lakini akifika pale anapata yote, burudani na kusikiliza sera. Hii imetusaidia sana.

Mtu asipofika kwenye mkutano wako, atafanyaje maamuzi ya kukuchagua? Kijana anasikia nini kimepangwa kwa ajili yake, vivo hivyo kwa akina mama wazee, walemavu na makundi mengine.

Ukiacha ukubwa wa chama, umaarufu wa mgombea nao una nafasi kubwa sana. Umaarufu wa Lowassa haufanani hata kiduchu na umaarufu wa Lissu au Membe. Lowassa wa 2015 alikuwa Ni "man and a half". Lissu anatumia vibaya shambulio lake kutaka kura za huruma. Kipekee, nalaani kushambuliwa kwake lakini kupigwa risasi haiwezi kuwa kigezo cha kuchaguliwa. CHADEMA kwa hapa mmekosea sana. Watanzania wanataka maji, umeme, huduma bora za afya, elimu na miundombinu bora.

Mahudhurio machache ya wananchi ni salamu kwenu. Hiyo ni rasharasha, masika inakuja. Sasa mnaanza kutumia picha za mafuriko ya Lowassa mkizani hatujui. Watanzania wa leo "HAWADANGANYIKI". Wamemuelewa Dr John Magufuli, wameilewa CCM.

Tukutane oktoba ishirini na nane

Amani Msumari
Tanga
Umeona mafuriko huko Mbeya na kwingineko? Tena hawa ni watu waliokuja wenyewe sio walioletwa na malori.
 
Back
Top Bottom