Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,674
- 1,685
Si ubishi kuwa viti katika ukumbi wa bunge la jamhuri vimeongezwa takriban nusu ya idadi ya wabunge wa halisi wa jamhuri. Kilichonifanya nihuzunike zaidi ni leo katika kikao cha alasiri, kamera za StarTV zimeuzunguka ukumbi na kwa kweli viti vingi mno hakuna waheshimiwa hawa. Sasa aidha wanatumia wingi wa viti kukwepa kuhudhuria vikao vya bunge kuhalalisha utoro kitu ambacho si sahihi.