Mahubiri ya Leo ya Gwajima yalimtabiria mtu fulani mabaya Siku si nyingi

Msemajiwao

JF-Expert Member
Sep 12, 2016
619
1,513
Wale waliopata fursa ya kufuatilia mahubiri ya leo ya Mchungaji gwajima mtakubaliana na Mimi kwamba hizi nondo za Leo zilikuwa ni ujumbe mubashara Kwa waliomtuhumu kuhusika na madawa:
Nimejaribu kuiweka hapa video ya mahubiri yake imenishinda jinsi ya kuiweka"
Watakaoweza wataiweka;
A). Alitumia kitabu cha nabii Daniel alivozingiziwa na wateule Wa mfalme na kutupwa kwenye tundu la simba na kwakuwa hakuwa hakuwa na hatia nabii Daniel hakuliwa na simba, na baadae walio mtuhumu wakatupwa wao humo.
B). Alitumia hadidhi ya Yusuf mwenye maono alivyoibuka mshindi na waliomtuhumu wakaaibika.
C). Katumia hadithi ya Mungu Wa yakobo walivyoshinda Kwa kutupwa kwenye tanuru la moto na waliowatupa ndiyo walilambwa na ndimi za moto .
Gwajima wakati akimalizia mahubiri kaahidi wale woote waliomtuhumu siku si nyingi wataanguka...Jamaa Leo kabomoa nondo ile mbaya!
***MAJESHI MAJESHI MAJESHI***
 
Asante kwa mahubiri mazuri baba askofu japo nahisi umejihubiria mwenyewe na wale wa karibu yako wanaotamani mabaya yawapate wabaya wenu, sisi wenzenu kwa sauti za upole, hofu na tetemeko leo tumesoma injili ya kumsamehe adui na tumeamliwa kusamehe na kumwombea adui ili nae aokoke awe mwema pamoja nasi, baba askofu nikukumbushe tu kwamba "uovu haushindwi kwa uovu, uovu unashindwa kwa wema"
 
Asante kwa mahubiri mazuri baba askofu japo nahisi umejihubiria mwenyewe na wale wa karibu yako wanaotamani mabaya yawapate wabaya wenu, sisi wenzenu kwa sauti za upole, hofu na tetemeko leo tumesoma injili ya kumsamehe adui na tumeamliwa kusamehe na kumwombea adui ili nae aokoke awe mwema pamoja nasi, baba askofu nikukumbushe tu kwamba "uovu haushindwi kwa uovu, uovu unashindwa kwa wema"
Makonda hasameheki
 
Kasema waumini ndo wamefurika hapati PICHA watu watakavyojaa akifanya mkutano sahivi
 
Wale waliopata fursa ya kufuatilia mahubiri ya leo ya Mchungaji gwajima mtakubaliana na Mimi kwamba hizi nondo za Leo zilikuwa ni ujumbe mubashara Kwa waliomtuhumu kuhusika na madawa:
Nimejaribu kuiweka hapa video ya mahubiri yake imenishinda jinsi ya kuiweka"
Watakaoweza wataiweka;
A). Alitumia kitabu cha nabii Daniel alivozingiziwa na wateule Wa mfalme na kutupwa kwenye tundu la simba na kwakuwa hakuwa hakuwa na hatia nabii Daniel hakuliwa na simba, na baadae walio mtuhumu wakatupwa wao humo.
B). Alitumia hadidhi ya Yusuf mwenye maono alivyoibuka mshindi na waliomtuhumu wakaaibika.
C). Katumia hadithi ya Mungu Wa yakobo walivyoshinda Kwa kutupwa kwenye tanuru la moto na waliowatupa ndiyo walilambwa na ndimi za moto .
Gwajima wakati akimalizia mahubiri kaahidi wale woote waliomtuhumu siku si nyingi wataanguka...Jamaa Leo kabomoa nondo ile mbaya!
***MAJESHI MAJESHI MAJESHI***
Hana lolote anatafuata kiki tuu namna ya kuwashika waumini wake ajibu kwanza zile bil
600 kazipata wapi
 
Haki ya mama huyu jamaa anavishindo hatari mahuri yake jamaa hutoa vishindo hatari
" katika siku nilizomkubari gwajima ni siku ile ya kufunga kampeni za ukawa pale jangwani jamaa aliomba Kwa hisia nikajuwa tayari ushindi"
VYA MUNGU MUACHIE MUNGU, VYA KAISARI MPE KAISARI. NABII MUONGO UTAMUONA KWA MAANDIKO. KAMA ANAJIHUSISHA TUTAJUAJE. SIASA NA DINI KATU HAVICHANGAMANI.
:D
 
Asante kwa mahubiri mazuri baba askofu japo nahisi umejihubiria mwenyewe na wale wa karibu yako wanaotamani mabaya yawapate wabaya wenu, sisi wenzenu kwa sauti za upole, hofu na tetemeko leo tumesoma injili ya kumsamehe adui na tumeamliwa kusamehe na kumwombea adui ili nae aokoke awe mwema pamoja nasi, baba askofu nikukumbushe tu kwamba "uovu haushindwi kwa uovu, uovu unashindwa kwa wema"
Warumi 12
 
Haki ya mama huyu jamaa anavishindo hatari mahuri yake jamaa hutoa vishindo hatari
" katika siku nilizomkubari gwajima ni siku ile ya kufunga kampeni za ukawa pale jangwani jamaa aliomba Kwa hisia nikajuwa tayari ushindi"
Hii iache tu kuna mengi ila tuna jeshi lakini kina sie tunaaamini kesho tutapata ya nini uvuje jasho kutokana na kwamba mbumbu ni wengi kuliko werevu hapo ndipo ilipo shida basi mbumbu huwa na nguvu kuliko werevu kutokana na wingi wao kutokana na uchache wao werevu huvuta subira kusubiria kesho
Ili werevu waongezeke hilo ndo kosa la mwerevu kusubiria mbumbu awe mwerevu.
 
Back
Top Bottom