Mahubiri ya leo: Mzee Sitta na Kisa cha nabii mzee

Je......!!!!! Unajuwa kwamba kifo kiko karibu yako saana kuliko nguo uliyoivaa.....??
Naona wengine inabidi mstaafu mkiwa vijana kwani mnaanza kuwa useless kwenye jukwaa huku mkiwa watoto wadogo. sasa habri za kutishiana kifo zinatoka wapi! :focus:
 
Wanatheolojia vipi mbona kimya au mmegundua upuuzi wa mtoa mada. Mnabahati tugekutana hewani. Tafakari jambo jingine sio kudandiadandia maandiko. Nyie ni watoto wachanga mnahitaji maziwa yasighoshiwa. Chakula kigumu hamkiwezi.
 
Wanatheolojia vipi mbona kimya au mmegundua upuuzi wa mtoa mada. Mnabahati tugekutana hewani. Tafakari jambo jingine sio kudandiadandia maandiko. Nyie ni watoto wachanga mnahitaji maziwa yasighoshiwa. Chakula kigumu hamkiwezi.

Mtoa mada ni Mgalatia na hakika kuna mtu kamloga huyo haiwezekani atumie maandiko kumsema mtu,si bora amfuate ofisini kwake kwani hapajui!
 
Huu ni uvivu wa kufikiri.shujaa kwa kukusanya maoni upya?shujaa kwa kubadili kanuni? shujaa kwa lipi kutupilia kubali uwajibishwaji wa viongozi wanapokengeuka? Au shujaa kwa kukataa ukomo wa ubunge?

Mara ya mwisho kupiga kura ilikua lini?unakalia mitusi kwa huyo mzee humjui hakujui soma katiba inayopendekezwa then uwe na maamuzi yako usiwe sehemu ya porojo humu ndani!
 
Hayo mengine tusubiri kikwete akujibu, ila hili la TANESCO siwezi nyamaza, bei ya umeme ipo juu hata kabla net Group hawajapewa tenda, yaani tuseme tangu shirika lilipo anzishwa, huwa gharama zingine zinatokana na ukweli kwamba baadhi ya watumiaji hawalipi bili, kama serikali, chama nk. Hili linasababisha wanaolipa walipe zaidi.

sababu ingine ni mikataba mibovu ya tangu enzi, ama waliingia hiyo mikataba kwa makusudi ili wapate takrima, ama waliingia hiyo mikataba kutokana na shinikizo la WAKOLONI (k.v. Benki ya dunia nk.) Hivyo usitegemee tanesco ishushe bei wakati bado inaingia mikataba ya kinyonyaji kama ya IPTL na SONGAS, tena shirika bado lina madeni zaidi ya bilioni tano! (utaambiwa walinunua vipuri, sijui kwanini hawakulipa "cash"?)

Suluhisho la yote ni kubadili sera ya nishati, lazima nchi ijitegemee katika nihati na tusibinafsishe au kuwapa wageni jukumu la kutuzalishia nishati.

Lolote lile lifanyike ili taifa liendelee na jukumu la kuzalisha umeme ndipo angalau bei inawaza pungua. vyanzo vya umeme wa uhakika tunavyo kama vile Gesi na makaa ya mawe, nahata maporomoko ya maji bado yapo mahala pengi tu nchini?

Umeme wa maji ndio ulio nafuu baada ya ule wa atomoki, juhudi zifanyike ili kuzalisha umeme mdogo mdogo wa maji katika mito yote nchini.

Pia umeme wa nguvu ya upepo na wa mionzi ya jua unafaa sana hasa vijijini ambako miundombinu ya gridi ya taifa haijafika.

Umerogwa wewe
 
Wanatheolojia vipi mbona kimya au mmegundua upuuzi wa mtoa mada. Mnabahati tugekutana hewani. Tafakari jambo jingine sio kudandiadandia maandiko. Nyie ni watoto wachanga mnahitaji maziwa yasighoshiwa. Chakula kigumu hamkiwezi.
Duh sikujua kama mada yangu itawatoa jasho kiasi hiki hata hivyo nilipoangalia your joining Date 12th March 2015 na 15th March 2015 basi nimewapa credit ya bure wewe na dada claudiaeliakimu
 
Last edited by a moderator:
Acha mitusi lete hoja kijana ili tujadili.Umesikia!!!:A S-baby:
Mpwa nilite hoja gani nyingine zaidi ya hii niliyoanzisha hapa jukwaani? mimi ndio mwanzilishi wa uzi huu na ambao ni wa muda mrefu kweli sasa sijui hata mmeibukia wapi huko, haya karibuni jamvini.
 
vitu vingi vinavyotekea vilishatabiriwa kwenye bible sema interpretation ndio hutushinda otherwise tungekuwa tunachukua tahadhali mapema


acha kujilisha upepo, hiyo Biblia ya wapi ikutabirie Katiba yako, tumia akili chukua nafasi yako na ushiriki kikamilifu kutumia haki yako.
 
Mpwa nilite hoja gani nyingine zaidi ya hii niliyoanzisha hapa jukwaani? mimi ndio mwanzilishi wa uzi huu na ambao ni wa muda mrefu kweli sasa sijui hata mmeibukia wapi huko, haya karibuni jamvini.

Tafuta uzi unaohusu elimu yako na uelewa wako juu ya Katiba Inayopendendekezwa!afu tutakusifu sana chalii!!!
 
Duh sikujua kama mada yangu itawatoa jasho kiasi hiki hata hivyo nilipoangalia your joining Date 12th March 2015 na 15th March 2015 basi nimewapa credit ya bure wewe na dada claudiaeliakimu

We dogo tu na hauna madhara tumekushughulisha ukarudi jamvini,hilo la tarehe lisikutie mchecheto angalia mawe yanayoshuka mpaka umetia akili, ulizoea kuleta mada ubwabwa humu ukaishia kusifiwa sasa jipange upya na manabii wenzio wa Baari saa yenu ya kuliwa imefika!! Ha ha ha ha ha
 
We dogo tu na hauna madhara tumekushughulisha ukarudi jamvini,hilo la tarehe lisikutie mchecheto angalia mawe yanayoshuka mpaka umetia akili, ulizoea kuleta mada ubwabwa humu ukaishia kusifiwa sasa jipange upya na manabii wenzio wa Baari saa yenu ya kuliwa imefika!! Ha ha ha ha ha
hahahahahahhaaaaa jamvini nirudi kutoka wapi nilikokuaga? Hahahahaahaaa Mpwa mie sio wa kihivyo bhana, haya mwenye hekima habishani, bado uzi wangu uko valid sana, wewe changia content ya uzi na sio mimi kwamba umenirudisha au lah! Kama umeni-quote si ni lazima nirudi? au ulitaka nikae kimya Mpwa?
 
This is completely out of context. Nani kahubiri hayo au ni wewe unajifunza kuhubiri. Kama unajifunza basi nikwambie umeanza vibaya. Na kama ni kiongozi wako ndo kahubiri hivyo basi inabidi umuulize Mungu kama hicho alicholinganisha je vinalinganishwa. Kwa kweli hapo kama ni waumini hapo umeyeyushwa ili ujumbe wa uasi kuhusu Katiba Inayopendekezwa upitishwe au upenyezwe. Kama una sababu ya kiteolojia itoa nami nitakupa homiletics. Nakusubiri.

Tulinganishie we basi
 
sasa hapo hujaelewa nini ndugu mbona inajieleza kabisa hiyo au mpaka upewe na madesa kabisa!!!!!
 
Kelele za chura hizo za wale wanaopinga katiba inayopendekezwa,wengi tumeikubali kwa 100% wewe tu ndio umebaki,jiunge nasi tujenge tanzania mpya kwa kujitokeza kujiandikisha na kupiga kura ya ndio ili tupate katiba mpya,karibu ujiunge na watanzania wote kupiga kura ya ndio,pamoja tunaweza
 
Kisa kizima kinapatikana hapa 1 Wafalme 13:1-34

Kwa ufupi sana, Mfalme Yeroboamu alimtenda MUNGU dhambi, na dhambi hii ilipozidi kuwa kubwa MUNGU akamwinua Nabii MWINGINE ambaye alikwenda hadi kwa Yeroboamu na akatoa Unabii wake kama alivyotumwa, LAKINI aliamriwa kuwa asije akanywa wala kula kitu chochote katika nchi hii maana nchi ilikua najisi kwa kumtenda MUNGU dhambi. Baada ya kutoa unabii wake katika nchi ya Betheli akawa anaondoka kwenye nchi ile ili kuerejea kwake. Nabii mmoja Mzee wa Betheli aliposikia habari zile kwa watoto wake akamfuata hadi alipokutana naye njiani huko na kumsihi yule nabii arudi nyumbani kwake pamoja naye.

Manabii wote wawili walirejea nyumbani na kula chakula pamoja na mara baada ya kula chakula kile ndipo Roho wa Bwana alimpojia na kumkumbusha neno lile aliloambiwa, USILE wala KUNYWA. Adhabu yake kwa kutokutii neno hili ilikua ni kutokuzikwa kwa heshima yaani hatalazwa mahali walipolazwa ndugu zake, na unabii huu ulitimia kwani alishambuliwa na Simba na kuuwawa lakini Punda hakuguswa na Simba huyu.

Sasa, Mzee Siita alionekana kama Nabii, alietumwa akaiokoe Tanzania kwa kusaidia upatikanaji wa Katiba Mpya, katiba ambayo ingesaidia sana kuwatoa watanzania kwenye umaskini uliokithiri, kuonea na kuibiwa mali zao. Hakika Sitta alisimama kwenye nafasi yake LAKINI hakutakiwa kamwe kujiunga tena na kundi hili la Walafi, wenye kula na kuendekeza anasa huku mamia ya watanzania wakifa njaa na magonjwa.

Maskini, Mzee Sitta alianza vyema na kwamba MUNGU alilenga kumwinua zaidi na zaidi lakini amesahau sharti lile la kujipambanua na Walafi wale, wenye Njaa na damu za watu, akarudi, akarejea na amekaaa amekula nao tena chakula cha Unajisi, hivyo amelinajisi neno lile lililowekwa ndani yake, lile alilotumwa alihubiri limemshinda. MUNGU asema hivi, ile ndoto yake ya kuwa mgombea Urais haipo tena, imeondoshwa na kwamba Jamii yake iliyomtia unajisi huu itamtenga very soon. Atakuwa na mwisho mbaya kuliko mwanzo mwema.

Lakini, analo neno la mwisho lililobaki mkononi mwake, KUMBUKA NI WAPI ULIPOANGUKA UKATUBU, NA USIPOTUBU TAZAMA NAKUJA UPESI NAMI NITAPAONDOA MAHALI PAKO PASIWEPO KAMWE.
Yametimia mandiko MANI zumbemkuu
 
Back
Top Bottom