johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,731
- 141,595
Kiukweli jana nilibarikiwa sana na mahubiri ya askofu mkuu mstaafu wa Kanisa Anglican Donald Mtetemela aliyoyatoa kwenye mkutano mkuu wa Sinodi ya DMP katika Kanisa la KKKT Mbezi Beach.
Kwamba William Wilberfoce aliingia bungeni huko Uingereza na kujenga hoja zilizopelekea biashara ya utumwa duniani kukomeshwa na yule mmiliki wa meli za kusafirisha watumwa akaokoka na kumpokea Yesu Kristo kuwa bwana na mwokozi wake.
Baba askofu amesisitiza Yesu anatutaka sisi waumini wa Kanisa kuwa nuru ya Ulimwengu.
Natangaza kuachana na siasa za kishabiki na nitaendelea kuwa mwanachama mwaminifu wa CCM.
Ngoja nichukue clip ya mahubiri hapo Upendo TV niwawekee.
Mungu wa mbinguni awabariki!
Kwamba William Wilberfoce aliingia bungeni huko Uingereza na kujenga hoja zilizopelekea biashara ya utumwa duniani kukomeshwa na yule mmiliki wa meli za kusafirisha watumwa akaokoka na kumpokea Yesu Kristo kuwa bwana na mwokozi wake.
Baba askofu amesisitiza Yesu anatutaka sisi waumini wa Kanisa kuwa nuru ya Ulimwengu.
Natangaza kuachana na siasa za kishabiki na nitaendelea kuwa mwanachama mwaminifu wa CCM.
Ngoja nichukue clip ya mahubiri hapo Upendo TV niwawekee.
Mungu wa mbinguni awabariki!