Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Wakuu leo nilikuwa katika basi fulani la kutoka mkoani na tulipofika sehemu ya kujipatia chochote kabla yakuendelea na safari, baada ya hapo alipanda mhubiri mmoja aliyejitambulisha katokea Kenya na kuanza kuhubiri na kusema wote wanaoumwa au wenye wagonjwa nyumbani wanyoshe mikono pamoja na kuwaombea na pia ameshuhudia watu mbalimbali wamekwishapona ktk mahubiri yake kwenye mabasi.
Baada ya kuwaombea alidai tangia pale wote walionyoosha mikono wameponywa na baada ya hapo kilichofuata ni kukusanya sadaka.
Je, hizi ndo nyakati za mwisho?
Baada ya kuwaombea alidai tangia pale wote walionyoosha mikono wameponywa na baada ya hapo kilichofuata ni kukusanya sadaka.
Je, hizi ndo nyakati za mwisho?