Mahoteli kufungwa kila mkoa: Uchumi wa Kati, utalii wa Ndani

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,004
20,300
Katika hali iliyotarajiwa mahoteli kama Ngurdoto, Saphire hotel, Kibo palace na nyingine nyingi zimefungwa kwa kukosa wateja baada ya Tanzania kuingia uchumi wa kati na pato la mtanzania kupanda, sasa tumeambiwa pato litaendelea kupanda kila mwaka, yajayo yanafurahisha.

Blue Pearl iliypokuwa Ubungo Plaza imefungwa, Sapphire ya Nyerere Rd imefungwa, dah huu mwaka mpaka tufike 2020 wanafunzi wa sekondari watahamishiwa hizo hoteli

Pichani ni city lodge ipo mkabala na mahakama ya Kisutu Dar imefungwa na sasa inapangisha popo na buibui bure, hakuna wateja, miradi imesimama, cement na sukari imepanda, mafuta ya kula yamepanda, MATAGA
a.jpg
AA.jpeg
 
Katika hali iliyotarajiwa mahoteli kama Ngurdoto, Saphire hotel , Kibo palace , na nyingine nyingi zimefungwa kwa kukosa wateja baada ya Tanzania kuingia uchumi wa kati na pato la mtanzania kupanda, sasa tumeambiwa pato litaendelea kupanda kila mwaka, yajayo yanafurahisha.
Pichani ni city lodge ipo mkabala na mahakama ya kisutu dar, imefungwa na sasa inapangisha popo na buibui bure, hkuna wateja, miradi imesimama, cement na sukar imepanda, mafuta ya kula yamepanda, MATAGAView attachment 1642357View attachment 1642358
Hivi "TO LET" maana yake nini wandugu?

Nauliza maana naona majengo mengi jijini Dar yaliyoandikwa hivi (mapya na ya zamani) yamekuwa yakiongezeka kwa kasi ya roketi siku hizi!
 
Tuwe wakweli, ingawa hali ya fedha huku mitaani ni ngumu lakini kuyumba kwa hotel nyingi ni sababu ya janga la Corona.

Wabongo wengi hawakuwa wateja wakubwa wa hizo hotel mfano wa Ngurudoto. Labda watumishi wa serikali na semina elekezi enzi za Kikwete.

Biashara yoyote inayotegemea watalii kama hotel na sekta ya anga zimeyumba sana.

Hapa tunakwepa kuzungumzia chanzo halisi cha tatizo tunakimbilia kufanya siasa, hatutafika namna hii!!
 
Hivi "TO LET" maana yake nini wandugu?

Nauliza maana naona majengo mengi jijini Dar yaliyoandikwa hivi (mapya na ya zamani) yamekuwa yakiongezeka kwa kasi ya roketi siku hizi!
Kukodi ambapo ni tofauti na kupanisha.
 
Tuwe wakweli, ingawa hali ya fedha huku mitaani ni ngumu lakini kuyumba kwa hotel nyingi ni sababu ya janga la Corona.

Wabongo wengi hawakuwa wateja wakubwa wa hizo hotel mfano wa Ngurudoto. Labda watumishi wa serikali na semina elekezi enzi za Kikwete.

Biashara yoyote inayotegemea watalii kama hotel na sekta ya anga zimeyumba sana.

Hapa tunakwepa kuzungumzia chanzo halisi cha tatizo tunakimbilia kufanya siasa, hatutafikia namna hii!!
Hata kabla ya Corona hotel nyingi zilikuwa hoi na sio hotels tu biashara nyingi zilifungwa. Kungekuwa na utawala bora hotels zingesurvive. Hata ukiteteaje huyu jamaa hawezi kutetewa. Mtu unapora hela kwa kisingizio cha kodi kisa tu wanafunzi hawakuruhusiwa kuhudhuria kampeni yako
 
Tuwe wakweli, ingawa hali ya fedha huku mitaani ni ngumu lakini kuyumba kwa hotel nyingi ni sababu ya janga la Corona.

Wabongo wengi hawakuwa wateja wakubwa wa hizo hotel mfano wa Ngurudoto. Labda watumishi wa serikali na semina elekezi enzi za Kikwete.

Biashara yoyote inayotegemea watalii kama hotel na sekta ya anga zimeyumba sana.

Hapa tunakwepa kuzungumzia chanzo halisi cha tatizo tunakimbilia kufanya siasa, hatutafikia namna hii!!
Chanzo ni Magufuli kuwekeza akili kwa Kagame.
 
Katika hali iliyotarajiwa mahoteli kama Ngurdoto, Saphire hotel , Kibo palace , na nyingine nyingi zimefungwa kwa kukosa wateja baada ya Tanzania kuingia uchumi wa kati na pato la mtanzania kupanda, sasa tumeambiwa pato litaendelea kupanda kila mwaka, yajayo yanafurahisha.
Pichani ni city lodge ipo mkabala na mahakama ya kisutu dar, imefungwa na sasa inapangisha popo na buibui bure, hkuna wateja, miradi imesimama, cement na sukar imepanda, mafuta ya kula yamepanda, MATAGAView attachment 1642357View attachment 1642358
COVID 19 ni tatizo la dunia. Mahotel kukosa wageni si Tanzania pekee. Tofauti ni kuwa nchi zinazojitambua zinatoa fidia ya hasara kwa watu wao badala ya kuendelea kuwaumiza kwa kuwadai kodi
 
COVID 19 ni tatizo la dunia. Mahotel kukosa wageni si Tanzania pekee. Tofauti ni kuwa nchi zinazojitambua zinatoa fidia ya hasara kwa watu wao badala ya kuendelea kuwaumiza kwa kuwadai kodi
TANZANIA hakuna corona, hotel nyingi zilijazwa na watanzania, mkuu kapiga marufuku vikao mahotelini, kabana mishahara na marupurupu, unategemea watu wakatumie kitu gani?

COVID imechangia kiasi kidogo sana.

mkuu karuhusu mama lishe wapike hata katikati ya barabara, nenda posta na kariakoo, watu walikuwa wanakunywa chai hotelini, chapati moja ni 1000 leo hii ama lishe anapika nje ya hoteli na anauza chapati moja 200 tu na chai 100 , kwanini hotel asifunge h
 
TANZANIA hakuna corona, hotel nyingi zilijazwa na watanzania, mkuu kapiga marufuku vikao mahotelini, kabana mishahara na marupurupu, unategemea watu wakatumie kitu gani?

COVID imechangia kiasi kidogo sana.

mkuu karuhusu mama lishe wapike hata katikati ya barabara, nenda posta na kariakoo, watu walikuwa wanakunywa chai hotelini, chapati moja ni 1000 leo hii ama lishe anapika nje ya hoteli na anauza chapati moja 200 tu na chai 100 , kwanini hotel asifunge h
Kwa hivyo mama lishe akaibe ili aweze kula na kupata pesa ya matibabu?

Mwenye hotel aboreshe huduma atapata wateja wenye uwezo na hadhi ya kula na kulala hotelini.

Unataka kuniambia MO akienda safari Arusha anakula kwa mama lishe? Au analala guest house za uchochoroni za short-time (waswahili wanaziita Showtime)?
 
Katika hali iliyotarajiwa mahoteli kama Ngurdoto, Saphire hotel , Kibo palace , na nyingine nyingi zimefungwa kwa kukosa wateja baada ya Tanzania kuingia uchumi wa kati na pato la mtanzania kupanda, sasa tumeambiwa pato litaendelea kupanda kila mwaka, yajayo yanafurahisha.
Pichani ni city lodge ipo mkabala na mahakama ya kisutu dar, imefungwa na sasa inapangisha popo na buibui bure, hkuna wateja, miradi imesimama, cement na sukar imepanda, mafuta ya kula yamepanda, MATAGAView attachment 1642357View attachment 1642358
Is this the first time yanatokea?
 
Tuwe wakweli, ingawa hali ya fedha huku mitaani ni ngumu lakini kuyumba kwa hotel nyingi ni sababu ya janga la Corona.

Wabongo wengi hawakuwa wateja wakubwa wa hizo hotel mfano wa Ngurudoto. Labda watumishi wa serikali na semina elekezi enzi za Kikwete.

Biashara yoyote inayotegemea watalii kama hotel na sekta ya anga zimeyumba sana.

Hapa tunakwepa kuzungumzia chanzo halisi cha tatizo tunakimbilia kufanya siasa, hatutafika namna hii!!
Sasa kumbe ule uchumi wa kati umekujaje mkuu?
 
Sasa kumbe ule uchumi wa kati umekujaje mkuu?
Uchumi wa Kati ni mchakato wa muda mrefu na ni namba flani zimefikiwa.
Corona imekuja mwaka huu huu tena imeua utalii hapa nchini kuanzia March 2020.
 
Tuwe wakweli, ingawa hali ya fedha huku mitaani ni ngumu lakini kuyumba kwa hotel nyingi ni sababu ya janga la Corona.

Wabongo wengi hawakuwa wateja wakubwa wa hizo hotel mfano wa Ngurudoto. Labda watumishi wa serikali na semina elekezi enzi za Kikwete.

Biashara yoyote inayotegemea watalii kama hotel na sekta ya anga zimeyumba sana.

Hapa tunakwepa kuzungumzia chanzo halisi cha tatizo tunakimbilia kufanya siasa, hatutafikia namna hii!!
Chanzo ni magufuli kuwekeza akili kwa kagame.
Uchumi wa Kati ni mchakato wa muda mrefu na ni namba flani zimefikiwa.
Corona imekuja mwaka huu huu tena imeua utalii hapa nchini kuanzia March 2020.
Utalii umeuliwa na asiyependa lugha ngeni nchini na siyo corona kama unavyofikiria wewe.
 
Back
Top Bottom