Mahojiano yako Mwanakijiji ni MEPESI MNO

Mugishagwe

JF-Expert Member
Apr 28, 2006
300
58
Mzee Mwanakijiji
Umekuwa unajitahidi kuleta habari hapa na kweli watu tumekuwa tunagoja utaleta nini .Nawe umekuwa mstari wa mbele kutueleza kinacho fuata ni jambo zuri sana .Lakinii umetushangaza kwa hatua na namna yako ya mahojiano na Sauper na leo Waziri wa Michezo .

Kwanza umeonyesha kutokuwa na confidence wakati unafanay mahojiano yako .Unaonekana kuwa muoga mno na kuyumba na kukufanya usielewe unachotaka kuuliza .

Umeonekana kuto jiandaa na maswali kwa Waziri na umepelekea watu kujiuliza kama ni wewe kweli ama ulikuwa na nia kweli ya kumhoji ama kuna kitu .

Mfano .Umeshindwa kumuuliza kwa nini ndege 2 zilianguka maana kama anapinga filamu ina maana ana data zote .Ndege 2 zimeanguka nadhani kwa ajili ya overloading lakin hujamuuliza hilo na ulimwacha anakuelemea an ukaonyesha kukubaliana naye na hivyo kupoteza mwelekeo wako mzima kama mwandishi .

Je wasiwasi wako kwa mujibu wa maswali yako ni Uhuru wa waandishi wa Habari tu ama hali halisi ya filamu ile ambayo imeelezwa na Sauper ?

Kwa nini hukumuuliza juu ya majibu ya Sauper kwamba Rais alidai kukimbiwa na mtu huyo lakini yeye alisema kwamba ni yeye ambaye alimwenda Rais na kumuuliza juu ya Filamu ambayo JK alijibu hajui na yeye akajiondokea na madai ya JK na Sauper si kweli kwa nini usiulize hili swali japokuwa yeye si JK lakin ndiyo washauri wa JK .

Je wao Wabunge kilicho wauma ni vibanda vya wavuvi pekee kwamba ndiyo inaonyeshwa kama Tanzania na si mambo mengine kweney filamu? Maana Sauper kwenye mahojiano yako kaeleza kwa nini kaleta ile filamu mbona hukutumia mwanya wa majibu ya Sauper kumuuliza haya ?

Nadhani kwa maoni yangu kama unakuwa hujajiandaa kumuuliza maswali mtu kama Waziri yule basi usimuulize maana unaondoa maana halisi ya sisi ambao tuko nyuma kujua yale ambayo yameshindikana .

Kwenye michezo pia amekujibu kisiasa mno na wewe umekubali hapa Mzee una kazi kubwa na utaanza kutufanya tusifuate mahojiano yako kama mwendo ni huu .
 
Mugishagwe... I'll take note of that...at the same time.. sijui kama kuna mwandishi aliye Tanzania ambaye ameuliza hata mojawapo ya maswali niliyouliza... Hata hivyo.. elewa ya kwamba huu ni mwanzo tu ndugu yangu... na bado ninakujifunza kwingi. Hata mimi baada ya kumaliza mahojiano nikajikuta nina maswali mengi.. lakini nikutoe shaka.. kuna mtu ambaye nimepania kumuuliza maswali haya.. Hata hivyo kuna maswali ambayo sikutaka kumuuliza yeye kwani nilijua jibu atakalonipa... hakuwa mtu sahihi kumuuliza swali hilo k.m suala la kupingana kati ya Sauper na JK - mwenye kuweza kujibu hilo ni msemaji wa Ikulu au Rais mwenyewe (nimewaomba wanipe nafasi kuwahoji hawajanijibu!). Maswali kuhusu sinema ya Sauper nilielewa kuwa hakuna kipya atakachosema kwani ameshajijengea defense kwenye jibu la awali kuhusu hiyo filamu! Halafu, nilijua kwa hakika hakuwa na jinsi bali kutetea lile Azimio la Bunge! Kuna mtu mmoja tu ambaye kwa hakika anastahili kutupa majibu ya yote yaliyotokea Bungeni n.k.. namsubiri atoke likizo!!!

Btw - Ningeshukuru kama ungeniandikia email badala ya kunianzishia topiki!!! kwa sababu then ninakuwa subject....
 
Hayo ni mawazo yako. Good. But I think you are not playing a fair game to Mwanakijiji. Just ask yourself, who is Mwanakijiji? Why he does this? You will find out that it is not fair to throw shit on his head. It is kind of the same situation if I ask you why you don't call EL and tell us what he says! I will be stupid to ask you that. Plus, Mwanakijiji siyo mdhoefu wa uandishi wa habari na kitu ambacho anafanya mara nyingi kabla ya kuwahoji anauliza mnataka nimuulize maswali gani. Did you do that? Hata mimi nimeona weakness fulani fulani kwenye interview hizo mbili but i feel like it is not fair to question him for anything since the interview was NOT official from recognized media, it is more personal talks. On the side of the wall, we have to consider the risk he is taking to his future and his family for not being paid. You need a strong heart and be blind from reality to do what he is doing. I think it will be much better if you shoot your questions to media in bongo that have all the rights to ask for citizens of United Republic of Tanzania and the laws protect them to ask whatever they need to know.
 
Ninaweza kukubaliana na mawazo ya Mwanakijiji mwenyewe zaidi kuliko wewe Sam.Sama umeongea kwa jazba na kwa maana unataka sasa tuache kutoa maoni .Mwanakijiji haya ni maoni tu Mugishagwe kukuandikia mail ama kusema ni sawa .Hukufanyia mambo haya sirini hakuna haja ya kujibiwa sirini .Kama umekubali kukosolewa nawe umesema unajifunza is a good thing .

Sama kama unadhani jamaa anachukua risk kwa familia yake basi nakushauri umshauri aachane na haya mambo ya kuwahoji na tuwe tunalonga hapa hapa .Kama kila mmoja atafanya anachokifanya huyu Mzee Mwanakijiji sijui sasa watakuwa wanawatangazia habari hizo nani .

Waandishi wa Watanzania wameoza na wanafanya kazi kwa maslahi binafsi na wale wanao wapa rushwa kusemwa vyema which I think Mzee Mwanakijiji he is not .Tuache tumuulize kwa uwazi na si kumshambulia ila anaambiwa tu kama ni ghasia basi Mzee mwakajiji fanya mambo sirini na usilete hapa maana tutaishia kukuuliza hata kama unakifunza .
 
Mwanakijiji usiogope kuanzishiwa topic!! KAMA NI HIVYO na wewe utakuwa kama hao watawala wa Tanzania wanaokataa kukoselewa!.

Topic hii ni changamoto kwako ili uzitumie kurekebisha Makosa.

Kwa hiyo Mugishwagwe amefanya vizuri sana. Watu wengi wanafuatlia mahojiano yako wengi tunahitaji critical, constructive questions.

Kwa kweli mahojiano yako ya jana yalikuwa MEPESI. PUNGUZA KUCHEKA, UNAPOMHOJI MTU USIMPE JUKWAA(MFANO MZEE SHIKAMOO... AKISHA ITIKIA MARAHABA KIJANA AMEKUMALIZA! KUWA KAMA SEBASTIAN WA HARD TALK BBC TUNATAKA AKINA SEBASTIAN WA TANZANIA na wewe unaweza kuwa mmoja wao ACHANA NA USIRI ANAOTAKA MR SAM!!! USRI HUO HUO NDIO ULIOKO KWENYE MIKATABA TA IPTL , MADINI , NK. NDIYO MAANA TUNAFICHA HATA UMASIKINI TULIONAO!!


MAHOJIANO YAKO NA WAZIRI YAMEKUWA MEPESI SANA! NONDO ZOTE ULIPEWA NA SAUPER LAKINI HUKUTUMIA HATA MOJA.

KAMA KWELI UNAJIANDAA KUWAHOJI WAHUSIKA WENYEWE.!!! WATAKUGALAGAZA. MAANA HAO WAMEJIANDA KUJITETA NA VITISHO!

KAMA HAPA TUNAJADILI UDHAIFU HADI WA RAIS, SEMBUSE KUJADILI MAPUNGUFU YALIYOKO KATIKA MAHOJIANO YAKO.

NA HII NI KWA MANUFAA YA NCHI. NIMEFURAHI WEWE BINAFSI UMEELEWA WENGINE HAO NI WALE WALE....!!!!

MISUKO SUKO, KUSOLEWA NK NDIKO KUNAKOMAZA. HATA MTOTO ANAPOANZA KUJIFUNZA KUTEMBEA ANAANGUKA ANGUKA SANA LAKINI BAADAYE ANATAEMBEA.


KAMA NIA YAKO KWELI NI KUWA MWANDISHI WA HABARI MAHIRI NA SIYO HAO WANAOJIKOMBA!

BASI CHUKUA MAONI NA USHAURI NA UFANYIE KAZI. WATU WENGI
 
We are not leaving in isolated society. Bablon system still exists. Even mwanakijiji understands that. There is no reason for me to ask him. Even you, I do not think you beliave what you just said. That's why all of us we don't put our real names. Mwanakijiji is just like me and you, he is not our savior or our spokeman to the government. I feel like to open a thread just for him like he is Larry King it is not fair at all. My question is why should I throw shit to Mwanakijiji NOT to you. What is the difference between you and Mwanakijiji? You can ask him question au kutoa maoni yako hakuna mtu anayekukataza. Ila unapoanza ku throw gabages on his head that's bullshit man. Eti kwa nini hukuuliza hivi au ulikuwa soft that is NOT fair. Kuna jamaa mwingine anaitwa Curtis kwenye forum nyingine yeye amemwambia hatasikiliza mahojiano yake kwa kuwa Mwanakijiji alikuwa biased toka mwanzo. That's fine ni msimamo unaoeleweka na mzuri mtu hulazimishwi kusoma au kusikiliza mawazo ya mtu. hayo ni mawazo yangu nadhani niishie hapo kama unataka ku throw shit on me now is going to be another issue. I am trying to be on my best behavior.
 
Jamani mimi ni mgeni hapa.

Ila naona kuwa msimpe Mwanakijiji lawama nyingi hivyo. Hapa na pale labda bado kuna mapungufu lakini ni mwanzo mzuri tu.

But, you know this fella is not a Pro - he is still in the learning process. Still he has guts that many Bongoland journalist do not have. Most of them are afraid even to complain that the govt is now trying to limit the exercise of a free press.

What I think is that if we should try to organise ourselves a bit better, we can use this forum as a platform that can instigate changes in the way the govt performs its tasks.
I would suggest that next time Mwanakijiji has an interview he should allow us to send him a few questions (per email). Of course he will have to select from the pool as there won't be enough time for the person to be interviewed to take all the questions.

Lakini pia itabidi aangalie sensitivity ya maswali hayo - you know he's the one who will be answerable. So if somebody wants to bring any accusation - it needs to be well-founded.

Mayunga
 
Mayunga
Karibu sana humu ndani. Nafurahi umejiunga kwa maana najua ni nini niliyowapa link ya hii forum. Uliyosema ni kweli kabisa na Mwanakijiji alitoa muda huo wa watu kumtumia maswali kabla hajafanya mazungumzo. Siyo kwamba nakubaliana 100% na maswali au jinsi alivyouliza lakini kumlaumu siyo jambo la busara. Tatizo watu wameshamchulia Mwanakijiji kama mwakilishi wetu au ni chombo cha habari cha taifa. Mwanakijiji is nobody. Kama wanaona mwanakijiji hafanyi kazi ipasavyo kwa nini mtu mwingine asiingie kwenye website ya bunge utakuta namba zao zote za simu wapigie uwaulize kwa nini tumsubiri mwanakijiji aulize ahalafu tumlaumu kwa kutouliza baadhi ya maswali au kuwa soft. WHO IS MWANAKIJIJI?
 
jamani I'm not a pro or anything.. nafanya kazi ya kuflip hamburgers...na hiki ni hobby tu..!! But.. nimepokea mawazo yenu na lazima nikiri kidogo kuwa.. sijawahi kumuhoji kiongozi wa juu wa serikali hata mkuu wa mtaa!! Sasa kuruka nafasi hizo zote kwenda kwa waziri ni pakubwa hapo.. ukizingatia kuwa awamu iliyopita alikuwa ni waziri wa wizara inayonihusu......So.. kulikuwa na level of intimidation na pia kumbuka hakuna mswahili kwenye baraza hilo kama yeye (pengine Mundhir anamkaribia)

Anyway, pole pole ndio mwendo na nina uhakika nitafikia mahali pa kufanya mahojiano ya kina... tatizo langu kubwa ni data!! so I need more preparation hii ya waziri nilifanya kwa kubahatisha tu.. but now he has my number... next time itakuwa more engaging
 
Mzee Mwanakijiji
Your future is bright na wewe unaeleweka zaidi kuliko Sam .Sisi tunasema kukushambulia ial tunakupa muongozo.Sasa ujue kwamba kuna watu wengine tunasema jambo lilivyo si wanafiki na kuna wengine wanazunguka sana kukueleza .Sama kuona weakness akakaa ki,mya hakuwa anakusaidia .Urafiki ni kuelezana ukweli na mimi sasa ndiye rafiki yako wa kweli maana nakueleza hadharani wala si pembeni .

Mzee mwanakijiji utafanikiwa sana maana unakubali kosa .Sam you are wrong .Watu huanza mapambano kwa njia hizi.Waandishi wa Bongo wameamua kwua wanafiki na wasaliti kisa awamu 4 sasa tunatafuta mahala pa kusema .Sama nafasi ilitolewa kwa Sauper na si kwa Waziri .Sauper mimi sijapeleka swali lakinji kwa Waziri haktukupewa nafasi lakini bado tunasema you did well ila unahitaji kuwa more serious.

Ukisha anza Mzee tayari ukepotea .Africa na hasa Tanzania na shikamoo baada ya hapo huwezi kubisha ama kutoa maoni .Lazima iwe Mbwahi m mbwahi bwana .Tuko nyuma na wewe majibu yako nimeridhika Sam atakupoteza maan analeta zile za kujilinda sana no huu ni ukweli na tunasewma hapa hapa .
 
What a coincidence both of you call me sama instead of sam. I think I am wasting my valuable time.
 
Unaona hili ndilo tatizo nililokuwa najaribu kulikwepa...badala ya kuzungumzia ideas.. tunaanza kuzungumzia watu..!! anyway.. nashukuru kwa maoni yenu na pande zote mbili nitazizingatia na naahidi kuwa nitajitahidi kwa kadiri ya uwezo wangu kuwaletea habari sahihi, mahojiano ya kina na makala zenye kuinua mwamko wa kizalendo ndani yetu sisi sote!! Kwa niaba yangu nafunga mjadala.. kama kuna mtu anataka kuniambia kitu chochote ambacho hakina ulazima wa kuanzishiwa mada nitumie PM hapa au email hapa mwanakijiji@journalist.com
 
Mzee Mwanakijiji,

Hongera kwa majadiliano uliyofanya.

Kujiamini kutakuja taratibu na kutatokana na mazoea. Nampa pongezi pia Waziri SKhatibu kukubali kuhojiwa na KLH News.

Kama kutakuwepo na nafasi nyingine kama hiyo ya kuhoji hao watawala wetu, usisite kutuambia ili akina Muggy et al wakupe/wachangie maswali ya kuuliza.

Filgga,
wapi icons za ku-format?
 
Mzee Mwanakijiji,

Hongera sana. Fanyia kazi mawazo ya pande zote. Ninaamini huu ni mwanzo mzuri kwako. Nimeshangazwa na tabia yako ya kukubali kukosolewa!!!!!! we ni mmoja wa wachangiaji adimu sana humu netini!!! wengine wanachangia with finality!, kama sisi na viongozi wetu tutakuwa na tabia ya kukubali watu kutofautiana na sisi basi nchi itaendelea sana!!

All the best bro

FD
 
Mzee Mwanakijiji,

Ninakuja huko US, next week bro! Nitakuwa NY kwa muda mwingi kwa hiyo nitakutafuta, na wazee wengine ambao ninazo namba zenu nitawatafuta kwa simu,

kuhusu kazi yako wewe fanya kazi yako ya kujitolea kama unavyoweza utalipwa na Mungu na utasifiwa ukisha ondoka duniani,

ninaona ushauri mwingi hapa unaoona wa maana uchukue, halafu kumbuka kuna watu fulani humu wana uwezo mdogo sana wa kufikiri lakini masikini ya Mungu kila kikitokea kitu lazima wajifanye kimbele mbele na maneno mengi ya kipashkuna kama vile wanasukwa nywele kule saloon!

Wazee Muggy na Sam, bravo na hoja zenu, well said!
 
What a waste of time?!? When the house/forum is full of opportunists and sycophants who persistently wants to impress some failure leaders to get their living!! constantly against government because they did not get what they expected, or some one they worship did not get on board of MV Kasi mpya ari mpya na nguvu mpya!!!!!!!, It sucks if we dont have any constructive ideas but always attacking people with lewdness, I normally attack the subject.

So they say people with small minds discuss people, those with broader minds discuss issues.

I will always discuss ISSUES, and will never be sycophant!
I will always praise the lord, and never will I worship somebody.

Brothers and sisters it is time we stand up and tell board members to discuss issues affecting the nation, it does not help to write unconstructive ideas, doesnt help...... but just showing how we waste our valuable time with nasty issues..... Sign of immaturity....

Just thinking aloud,
 
Huyo jamaa kipimo cha kupimia uwezo wa watu alikipata wapi? au ukitofautiana naye basi wewe hujui!!! Du! kweli ni "opportunists and sycophants" JK atakukumbuka siku moja maana anga zako zilipita kushoto!

Dunia hii ina vibaka!! akienda USA anamtangazia nani?

mwanakijiji achukue anayoona ya maana na ninadhani ameisha jua. Si lazima wana forum wote wawa hoji wabunge itakuwa chao. Kama alivyosema mzee muggy! Ila huyo mmoja akomae. Haina maana awe against serikali siku zote!
 
Mkuyuga,

I think you are new to this forum, ila wengi tunajuana kwa maandishi yetu toka Bcs (business times forum), sijawahi kumtukana mtu, nimewahi kukosea, yes kama binadamu wengine. Nikigundua nimekosea au mtu amenitafsiri vingine naomba radhi. Kwamfano mtu kusema kuwa mwanakijiji amenishangaza maana mtu kuwa criticized in public halafu unakaribisha criticism ni dalili ya kukomaa, je hilo ni kosa? kwani humu asiyekubali kukosolewa ni mmoja tu??!!??, hell NO! wapo wengi, sasa mtu kama anashindwa kuwa mstaarabu tumfanyeje?

Mfano mtu akisema, hebu check source zako, muungwana kama amecheki anachosema ni kuwa nimecheki, halafu wote tunakubaliana au tunakubaliana kutokubaliana, yanaisha! kesho tukionana tunaombana maji, haya mambo ya Beef zisizojenga wala sizihitaji wala hazina thamani kwangu, Ila enough is enough, I have played this game so cool from the beginning!! All I get rewarded with is kusuka etc

Huwezi kuwaza mwenzio anasukwa au mjinga kama wewe sio namba one!! mimi sijui matusi kwasababu dunia yangu ni ya furaha tele, sihangaiki hangaiki, nawasikitikia watanzania wenye viongozi kama hawa vichwa ngumu, hawaambiliki!! kwao ukitofautiana nao ni mjinga hujui kitu (just like BWM unaye m despise) kweli walisema Nyani haoni.......

Ina cost nini kuandika "ok naomba nikubaliane nawe kutokubaliana"!!!!!???????

Sio lazima utumie matusi, wengi inawakera humu, ndio maana huwezi kukuta andiko lolote langu lenye tusi, kama utakuta utakuta ni nukuu ya mtu mmoja mwenye "kujua kila kitu".

Hatujuani humu, kwanini tunatukanana?!? ni time naomba tena tuambiane ukweli, kama sisi wenyewe mfano tunaotoa ndio huo hata JK mwenyewe atatusikia kweli!!!!!???!!!

Peace Bro
 
Whaaaaaaaaat?

Hatuko hapa ku-baby sit watu, tuko hapa kutoa michango kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu, mwenye hii forum ni mzee Filga akishirikiana na mzee IS, wengine wote ni wachangiaji tu kama wwengine wote,

Rules are very clear, toa mchango wako bila ku-get personal, sasa uki-cross the line be ready for malipo, usilie kama mtoto hapa na visingizio vingi vya kipashu!

Mzee mgeni nina washabikli wengi walionifanya mpaka baada ya BCS nirudi tena kwenye hizi forum ambazo at one time nilikuwa nimeamua kupumzika nazo, na mpaka leo bado wananishauri niendelee hapa nisiondoke ndio ninaowafahamisha kuwa ninakwenda huko US, na ninazo namba zao za simu nikifika nitawapigia, kama ninavyowapigia kila ninapokwenda, Sasa tatizo lako ni nini na huo mchango wako wa kwanza kwenye hii forum?

Kuhusu kukosa cheo kwenye awamu wa nne, hayo mawazo ndio ninaita UPUMBAVU TENA NAMBA MOJA!, wewe hunijui na wala sikujui, aliyekwambia nina cheo au sina cheo kwenye hiyo awamu ni nani kama sio upumbavu na uwezo mdogo wa kufikiri ninaousema? Je unawajua watu wote humu na vyeo vyao? Jamani mbona mnazidi kushusha hadhi ya hii forum? Je Mzee Mwanakijiji ana cheo gani au anatafuta cheo gani? Hebu tuambieni na hawa wachangiaji wengine kwenye hii forum wanavyo vyeo au hawana kwenye hii forum?

Nilipokuwa ninasema kuwa JK amepata hela toka Iran kule BCS nilikuwa na cheo gani? Na niliposema kuwa amechagua makatibu wakuu wenye uwezo nilikuwa na cheo gani? Na niliposema kuwa baraza la mawaziri ni bomu nilikuwa na cheo gani? Maana inaonekana vyeo vyangu humu kwenye hii forum vinatabirika kutokana na michango yangu, kama ninawaelewa vizuri, nikimsifia JK, basi nina cheo nisipomsifia sina cheo na sasa syco, nafikiri mawazo yetu yanajisema yenyewe nani ni syco, nani ni mtu wa ajabu, na nani ni PUMBAVU kabisaaaaaaa!

Guys look here, na read my lips! SIENDI KOKOTE! pamoja na maneno yote hayo ya kipashu na kusuka nywele saloon kuwa na kutokuwa na cheo, nitaendelea kuweka vitu hapa, ukiamua kukosoa na maneno ya kuita wengine watu wa ajabu, au hawana vyeo, tutakurudishia hayo hayo ila ukija kistaarabu tutakujibu kistaarabu, sasa please hebu wekeni hoja hapa na muache kulia lia kama watoto, na viingereza vingi kumbe upumbavu mtupu.

Vijana wekeni hoja hapa, hakuna babysitting hapa, hapa ni watu wazima wenye uchungu na nji yao hamuwezi nendeni darhotwire na YA, huko kuna mapashu wengi, kazi kuandika ujinga tu, sio hapa,

Na kama mpo US na UK, tuonane ninakuja acheni kulia lia wekeni vitu hapa, hakuna mjinga hapa wala aliyelala, wewe kama unajua mbelke watu wanajua nyuma usifikiri utakuja na maneno ya kipashu halafu watu hawataelewa, sisi huwa tunaandika michango iliyonyooka sio mafumbo ya kipashu hapa, sasa mkirudishiwa msilie maana mmeanza wenyewe, mimi nitamalizia na siwakimbii, I am ready anytime!
 
Back
Top Bottom