Mahojiano yako Mwanakijiji ni MEPESI MNO

Unajua nilikuwa sijasoma hoja zote, eti nini? I will praise nani? The Lord? Yupi huyo? Ni lazima awe Lord wa Forum hii ambaye he is ok na mtu mmoja kuita watu wengine ni wa ajabu, halafu akijibiwa anaenda kumuomba huyo Lord,
what a Lord?

I will not discuss people, halafu unasema kuwa tumekosa vyeo awamu ya nne, ndio maana michango yetu ni ya kuishambulia serikali, kama hizo kauli ni za ku-discuss subjects, basi mimi ni syco bro! tena a big one! Ha! Ha! HaaaaaaaaaaaaaaaH!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Yeah, here we go again..

It takes one PASHkuna to know another Pashkuna
It takes one Msukaji nywele to know another
It takes one...........to know another!!

Maneno yanajieleza yenyewe hayaitaji tafsiri, siasa za kijiweni na matusi meengi!!!!

Hata iwe vipi your guy is over and from next year OUT FOREVER!!!

Ukifika US tafuta watu wakupe deal za kufanya!!!! The real one......


FD
 
Hey Pashu,

My Lord is Jesus christ, we all understand your Lord is JM, anayekulipia kupita pita kila mahali kuchunguza watu. Mshukuru sana huyo mzee!! Ninamheshimu mnoooooooooo, ila kachagua mtu siye, mkandiaji na mwenye majungu yasiyo na msingi!!! Laiti ungerithi angalau hata chembe za busara zake ungekuwa mbaaali sana!!!

Now you are facing other side of FD.

The PATIENCE IS OVER!!!
 
Masikini ya Mungu, na uwezo mdogo wa kufikiri!

Tumemmaliza Dodoma juzi, sasa hivi niko bondeni na mzee JK, tunarudi bongo na karibuni kuelekea NY kwenye UN, GA. JM nilimuona mara mwisho kabla ya kufunga kwa bunge Dodoma akaniambia kuwa atakuja huko NY kwa mtoto wake, hivyo tutakutana huko,

My point hawa ni watu ninaoshinda nao kila siku, siwasomi tu kwenye magazeti na kuwaona kwenye TV, kwenye uchaguzi wa awali nilimsaidia JM, baadaye nika-jump na the Winner!

kumbuka mimi ni original baharia wa Greece, ambaye nimekataa kuwa mgeni nchini kwangu, niliapa baada ya kuacha ubaharia kuwa nitakula nao sahani moja, michango kwenye hizi forum one thing, na tunayofanya kwenye real life ni hadithi tofauti kabisaaa ndio maana tunatumia majina ya bandia humu,

great debate bro lets move on, what is next!

I love bongo, na Mungu aibariki Bongo yetu na CCM!
 
Nasimamisha haya mambo, huu ni utoto tunaofanya.

Kwakuwa mail ya mwisho hakuna tusi, sitojibu kwa matusi.

Kuhusu JK au JM, hata sikumbuki mara ya mwisho kuona picha zao, labda mwaka jana wakati wa uchaguzi kwenye hizi websites, wala deal zangu hazihusiani kabisa nao!!! Ila poa ni ktk kusaka maisha.

The battle is over turudi kule ulikoanzisha topic nzuri ya kuiga mfano wa wachina, jaribu kusaka data ukiwa safarini, tuangalie pa kuanzia, sekta gani iwe ya kwanza, ya pili ya tatu na ya mwisho. Dont forget one thing, CULTURAL DIFFERENCES KATI YA CHINA NA TANZANIA

Nimeyatoa moyoni Bro na wala sikumbuki!!
 
I got it, tena posting mbili za mwisho ndio ninachotegemea yaani kuandika kwa ujasiri na msimamo, that is all,

isipokuwa tujifunze kuwa hakuna anayejua kazi ya mwingine hapa, wala cheo cha mwingine, na hakuna anayeandika kutokana na influence ya vyeo kama wapo sio mimi,

debate nyingi za hii forum zinanifundisha kitu kimoja kuwa watu wengi humu kuwa wanailaumu serikali wanayoipenda sana na hasa CCM,

Anyway, next!
 
Kweli nimeamini ujana maji ya moto.Mafahali hawa bwana wanajuana na si ajabu mnakaa kijiwe kimoja lakini mnakwaruzana sana .Taratibu wandugu maisha ni safari ndefu na forum ama kutofautiana katika maoni isiwe sababu .Nilisha wahi kusema na kuwasikia wengi akina Mkira nk wanasema si lazima hoja zikubalike hapa maana kuna watu wana waza kivyao na wana uwezo wa kuhoji .Haya naomba tuendelee kukataa issue tuachane na habari za watu binafsi .Safari yeypte misukosuko haifai lakini mtu mzima ni matendo yake , ukubwa ni jalala hebu tuvumiliane na tusameheane ila tujifunze kukubali kukosolewa na kukosaoana ndiyo kusonga mbele .Lete maneno punguzeni Munkhariiii .

Uzee ni sawa na sisi ndiyo wazee wenyewe lazima kuweka mambo sawa kama yakielekea kuwa out of cntrol .
 
Usijali mzee Muggy,

Ni lazima kusimamia maandiko yetu, sio kuandika tu na kuogopa mawe ndivyo tulivyokomazwa kule BCS, na hapa pia baadaye patakomaa kutokana na mawe!
 
Mkandara anadai eti kwenye hii forum kuna matusi ndiyo maana ameshindwa kuvumilia na kuondoka. You guys are great! Ikifika wakati mtu unajiuliza kabla ya kuandika ndipo hahali wote tunataka tufike.
 
Mzee Mwanakijiji
Umekuwa unajitahidi kuleta habari hapa na kweli watu tumekuwa tunagoja utaleta nini .Nawe umekuwa mstari wa mbele kutueleza kinacho fuata ni jambo zuri sana .Lakinii umetushangaza kwa hatua na namna yako ya mahojiano na Sauper na leo Waziri wa Michezo .

Kwanza umeonyesha kutokuwa na confidence wakati unafanay mahojiano yako .Unaonekana kuwa muoga mno na kuyumba na kukufanya usielewe unachotaka kuuliza .

Umeonekana kuto jiandaa na maswali kwa Waziri na umepelekea watu kujiuliza kama ni wewe kweli ama ulikuwa na nia kweli ya kumhoji ama kuna kitu .

Mfano .Umeshindwa kumuuliza kwa nini ndege 2 zilianguka maana kama anapinga filamu ina maana ana data zote .Ndege 2 zimeanguka nadhani kwa ajili ya overloading lakin hujamuuliza hilo na ulimwacha anakuelemea an ukaonyesha kukubaliana naye na hivyo kupoteza mwelekeo wako mzima kama mwandishi .

Je wasiwasi wako kwa mujibu wa maswali yako ni Uhuru wa waandishi wa Habari tu ama hali halisi ya filamu ile ambayo imeelezwa na Sauper ?

Kwa nini hukumuuliza juu ya majibu ya Sauper kwamba Rais alidai kukimbiwa na mtu huyo lakini yeye alisema kwamba ni yeye ambaye alimwenda Rais na kumuuliza juu ya Filamu ambayo JK alijibu hajui na yeye akajiondokea na madai ya JK na Sauper si kweli kwa nini usiulize hili swali japokuwa yeye si JK lakin ndiyo washauri wa JK .

Je wao Wabunge kilicho wauma ni vibanda vya wavuvi pekee kwamba ndiyo inaonyeshwa kama Tanzania na si mambo mengine kweney filamu? Maana Sauper kwenye mahojiano yako kaeleza kwa nini kaleta ile filamu mbona hukutumia mwanya wa majibu ya Sauper kumuuliza haya ?

Nadhani kwa maoni yangu kama unakuwa hujajiandaa kumuuliza maswali mtu kama Waziri yule basi usimuulize maana unaondoa maana halisi ya sisi ambao tuko nyuma kujua yale ambayo yameshindikana .

Kwenye michezo pia amekujibu kisiasa mno na wewe umekubali hapa Mzee una kazi kubwa na utaanza kutufanya tusifuate mahojiano yako kama mwendo ni huu .
 
Mugishagwe... I'll take note of that...at the same time.. sijui kama kuna mwandishi aliye Tanzania ambaye ameuliza hata mojawapo ya maswali niliyouliza... Hata hivyo.. elewa ya kwamba huu ni mwanzo tu ndugu yangu... na bado ninakujifunza kwingi. Hata mimi baada ya kumaliza mahojiano nikajikuta nina maswali mengi.. lakini nikutoe shaka.. kuna mtu ambaye nimepania kumuuliza maswali haya.. Hata hivyo kuna maswali ambayo sikutaka kumuuliza yeye kwani nilijua jibu atakalonipa... hakuwa mtu sahihi kumuuliza swali hilo k.m suala la kupingana kati ya Sauper na JK - mwenye kuweza kujibu hilo ni msemaji wa Ikulu au Rais mwenyewe (nimewaomba wanipe nafasi kuwahoji hawajanijibu!). Maswali kuhusu sinema ya Sauper nilielewa kuwa hakuna kipya atakachosema kwani ameshajijengea defense kwenye jibu la awali kuhusu hiyo filamu! Halafu, nilijua kwa hakika hakuwa na jinsi bali kutetea lile Azimio la Bunge! Kuna mtu mmoja tu ambaye kwa hakika anastahili kutupa majibu ya yote yaliyotokea Bungeni n.k.. namsubiri atoke likizo!!!

Btw - Ningeshukuru kama ungeniandikia email badala ya kunianzishia topiki!!! kwa sababu then ninakuwa subject....
Lengo lake nasi tuchangie. Emails zingeondoa huu uwazi
 
Back
Top Bottom