Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,567
- 217,914
Sitaongeza neno ili kuepusha mkanganyiko
Sasa mbona ameshindwa kukanusha kwamba yeye ni kibaraka wa mabeberu!!
macho huna basi hata kupapasa huwezi !Sasa mbona ameshindwa kukanusha kwamba yeye ni kibaraka wa mabeberu!!
hajakwepa swali bali kampuuza BashiruNAONA KAKWEPA SWALI. ...
Sasa mbona ameshindwa kukanusha kwamba yeye ni kibaraka wa mabeberu!!
Akirudi kujibu nistue mkuuWewe una ushahidi wa kuthibitisha Zitto ni kibaraka wa mabeberu? Na aliyekwapua nyumba za Serikali, kununua uozo wa kivuko kwa billion 8, kukwapua 2.4 trillions na kuwadhulumu wakulima wa korosho pesa zao halali zaidi ya billioni 300 ni kibaraka wa nani!?
Kwani na yeye ameonekana akiwamendea wanambuzi?Sasa mbona ameshindwa kukanusha kwamba yeye ni kibaraka wa mabeberu!!
kabisa !Bonge la Dharau, haongei na mbwa anamtaka mwenyekiti
nishamgundua ZZK huwa ana puuza tuhuma zisizokuwz na mashiko. KM anasema ZZK ni kibaraka wa mabeberu, labda hatujiulizi siku hizi mabeberu ni akina nani?!? inawezekana kabisa ni sisi malofa wa nchi hii,maana wale mabeberu wa miaka ile ya propaganda sasa hivi ndio tunawakimbilia kuwaomba mikopo na misaada. ZZK said for may be two solid good years kwamba uchumi wa nchi yatu unashuka, akapingwa akaitwa mzushi na sheria za takwimu zikaundwa. lakini sasa leo mpka wote wanakiri GDP inashuka consequently uchumi in reality unashuka!!. inabidi tuwe wakweli kuitendea haki nchi hii.Sasa mbona ameshindwa kukanusha kwamba yeye ni kibaraka wa mabeberu!!
Bila shaka atakuwa kibaraka wa watanzania ndo maana anakwapua Trilioni 2.4 halafu mabombadier yanashuka akina Tundu wanatushtaki Canada kwa mabwana zao.Wewe una ushahidi wa kuthibitisha Zitto ni kibaraka wa mabeberu? Na aliyekwapua nyumba za Serikali, kununua uozo wa kivuko kwa billion 8, kukwapua 2.4 trillions na kuwadhulumu wakulima wa korosho pesa zao halali zaidi ya billioni 300 ni kibaraka wa nani!?
Kumbe na ACT wana KM?
Ningelitamani kumjua johnthebaptist zamani nilikuwa na Taswila kuwa ni mtu mwelewa,as time goes on ni wale wale wa Lumumba wa ndioooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooomacho huna basi hata kupapasa huwezi !
Msamehe Mkuu.Ningelitamani kumjua johnthebaptist zamani nilikuwa na Taswila kuwa ni mtu mwelewa,as time goes on ni wale wale wa Lumumba wa ndioooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Leta ushahidi kuwa aliandika gari la chama kwa jina lake, au unasikia ya mitaani toka kwenu Lumumba. Give uncontrovertable evidencekuhoji mwenyekiti anapoandikisha gari la chama kwa jina lake binafsi.
Kumbe inawezekana CAG ni "dhaifu"Leta ushahidi kuwa aliandika gari la chama kwa jina lake, au unasikia ya mitaani toka kwenu Lumumba. Give uncontrovertable evidence
Hapakuwa na Jina la Mbowe, that is my point!Kumbe inawezekana CAG ni "dhaifu"
Basi itakuwa rahisi kuhoji.Hapakuwa na Jina la Mbowe, that is my point!