Baada ya kuangalia interview za Tundu Lissu na kuzi-critique sana ni wakati wa kurejea interview ya Rais Magufuli.
Kwa bahati nzuri hii interview ni "two-in-one", kwasababu kuna wauliza maswali ya kiswahili na kiingereza.
Toka enzi za Baba wa Taifa kumekuwa na viwango na matarajio fulani kila Rais wa Tanzania anapozungumza huko nje.
Naomba tutafakari kama JPM aliitendea haki nafasi ya Rais wa Tanzania. Je, waTz tunaweza kutembea vifua mbele kwa jinsi JPM alivyotuwakilisha?
cc Pascal Mayalla, MsemajiUkweli, Mag3, BAK, Mpinzire, tindo
Kwa bahati nzuri hii interview ni "two-in-one", kwasababu kuna wauliza maswali ya kiswahili na kiingereza.
Toka enzi za Baba wa Taifa kumekuwa na viwango na matarajio fulani kila Rais wa Tanzania anapozungumza huko nje.
Naomba tutafakari kama JPM aliitendea haki nafasi ya Rais wa Tanzania. Je, waTz tunaweza kutembea vifua mbele kwa jinsi JPM alivyotuwakilisha?
cc Pascal Mayalla, MsemajiUkweli, Mag3, BAK, Mpinzire, tindo