PrincessAnne
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 1,875
- 2,222
Dada hii avatar yako kuna mtu inampendeza humu JF naomba muachie tuu tafuta nyingine
sitaki!
Dada hii avatar yako kuna mtu inampendeza humu JF naomba muachie tuu tafuta nyingine
Kwa kweli inasikitisha mnoHii ndo bongo hatufanyi kazi sisi ni habari za udaku tu
Kwani nimezungumzia ukimwi?Mkuu unatimua kipima joto gani hicho. Maana najua mwenye UKIMWI huwezi mjua kwa KUMTAZAMA tu!
Aisee.Kwa kuwa wewe ni katibu wa itikadi na uenezi wa WCB sishangai..huenda umepita kwa mobeto Hamisa
Daimondi anagonga kwa niaba yake, hata mkewe ni mtamu sababu mondi kagonga.Unajua aje ni mtamu kitandani kuliko wengine? Au kila anapopita diamond na wewe unapita?
Wewe mwenyewe upo humu unajadili si ungepita tu kimya kimyaKwa kweli inasikitisha mno
wtz wengi ni wajinga wanapenda
kujadili vitu ambavyo havina
economic value.
Au alipopita yeye na Dai anapitaUnajua aje ni mtamu kitandani kuliko wengine? Au kila anapopita diamond na wewe unapita?
Mlikua mnatafuta mshindi itakua na wewe unatembea na mume wa MtuAnd the winner is Mobeto
Wataelewa vp bila kuambiwaWewe mwenyewe upo humu unajadili si ungepita tu kimya kimya
Ngoja tuone kwa sababu wote ni mahawara tu haitakiwi kulalamikaBado mkuu, domo alisha yatengeneza kabla, baada yakuona mambo yanaenda sivyo!!!
Ndiyo Maajabu ya Bongo hayo. Labda ndiyo tester wake. Inasemekana Mao Tse Tung alikuwa na mtu wa kuonja kabla Mzee hajachukua mizigoAtafune mwingine utamu ujue wewe
Kadem ni kazuri sana, m binafsi nilikakubalig siku nying sana.Ila huyu mwanamke bila kipingamizi ni mtoto mkali kila idara.
yani daaaaaaaahhhushilawadu mbaya sana..ona sasa hata kuandika hujui