Mambo aliyoyaongea
Amesema anaendelea vizuri na kampeni zake, wanasema anakosea kwa kuwa anaongea ukweli lakini kwa sababu anayoyaongea ni ya ukweli anashindwa kuitwa kwenye maeneo ya kumuuliza kuhusu anayoyaongea
Aidha mtangazaji aliuliza kuhusu uchaguzi kuwa huru na haki kutokana na mfumo ulivyo
Amesema hawawezi kususia uchaguzi kutokana na mifumo iliyopo kwani hauwezi kumuachia nyani shamba, demokrasia inapiganiwa. Mbali na mfumo wa uchaguzi kuwa tofauti lakini wana haja ya kugombea ili kuutoa mfumo huu
Swali kuhusu watu kumuunga mkono, Rais Magufuli kutokana na mambo makubwa kama kujenga miundo mbinu na kujenga mahusiano
Amulizwa anapingaje hayo mazuri
Lissu amejibu: Hiyo miradi ambayo ameifanya haihalalishi ukandamizaji mkubwa na uharibifu wa uchumi ambao ameufanya kwa miaka mitano. Ametoa mfano wa Ethiopia kuwa na shirika kubwa la ndege lakini raia wake wamekuwa wakikamatwa nchi mbalimbali kwamba wanakimbia nchi yao kutokana na kukosekana na uhuru
Kwa hiyo miundombinu haimpi Magufuli kupendwa, kila mtu anailalamikia kwa kuwa watu wanahitaji kuzungumza, kubadilishana mazawzo na kujadili
Swala la Magufuli kupambana na rushwa
Lissu amejibu: Kuwa ni uwongo kwa kuwa kama angekuwa anapinga rushwa asingejenga uwanja wa ndege kwa kutumia kandarasi ambaye wameoa sehemu moja na amemfanya mtoto wa dada yake kuwa mlipaji mkuu
Amesema rushwa imehamia ikulu ya Magufuli. Amesema wapo waliokamatwa kwa makosa ya uhujumu uchumi lakini wanamnadi kama mgombea wa jimbo moja huko Njombe
Ajibu hoja ya uwanja wa ndege wa Chato kwa kuwa Nyerere na Mkapa hawajajenga Viwanja vya taifa kwao
Mtangazaji ameuliza kuhusu CHADEMA na sera ya mambo ya nje
Lissu amejibu: Amesema wamezungumza sana kuhusu Magufuli kuharibu mahusiano basically na dunia nzima, rafiki pekee tuliye naye ni Burundi
Kwa hiyo serikali ya Chadema itarudisha mahusiano na nchi zote, kwa kuwa chadema hawana adui
Mtangazaji ameuliza, msimamo wa Lissu kuhusu COVID19 kwa kuwa hawafuati miongozo ya kiafya
Amejibu: Nchi za kiafrika hazijapiwa na Covid19 kama nchi nyingine, nchi pekee iliyopigwa na covid19 ni afrika kusini, kwa hiyo covid19 sio tishio kwa nchi zetu kama ilivyo kwa nchi za Ulaya
Amekubali kuwa hali ya corona sio mbaya, sio kwa Tanzania tu, bali kwa nch zote za kiafrika,
Kwa hilo amekiri kukubaliana na Magufuli, lakini anakataa kuwa Magufuli ndio aliikimbiza covid19 wakati kimsingi alijificha kwa wiki sita
Ktk kumalizia
Amesema serikali ya chadema itastawisha uhuru wa habari uhuru wa mahakama nk
Amesema anaendelea vizuri na kampeni zake, wanasema anakosea kwa kuwa anaongea ukweli lakini kwa sababu anayoyaongea ni ya ukweli anashindwa kuitwa kwenye maeneo ya kumuuliza kuhusu anayoyaongea
Aidha mtangazaji aliuliza kuhusu uchaguzi kuwa huru na haki kutokana na mfumo ulivyo
Amesema hawawezi kususia uchaguzi kutokana na mifumo iliyopo kwani hauwezi kumuachia nyani shamba, demokrasia inapiganiwa. Mbali na mfumo wa uchaguzi kuwa tofauti lakini wana haja ya kugombea ili kuutoa mfumo huu
Swali kuhusu watu kumuunga mkono, Rais Magufuli kutokana na mambo makubwa kama kujenga miundo mbinu na kujenga mahusiano
Amulizwa anapingaje hayo mazuri
Lissu amejibu: Hiyo miradi ambayo ameifanya haihalalishi ukandamizaji mkubwa na uharibifu wa uchumi ambao ameufanya kwa miaka mitano. Ametoa mfano wa Ethiopia kuwa na shirika kubwa la ndege lakini raia wake wamekuwa wakikamatwa nchi mbalimbali kwamba wanakimbia nchi yao kutokana na kukosekana na uhuru
Kwa hiyo miundombinu haimpi Magufuli kupendwa, kila mtu anailalamikia kwa kuwa watu wanahitaji kuzungumza, kubadilishana mazawzo na kujadili
Swala la Magufuli kupambana na rushwa
Lissu amejibu: Kuwa ni uwongo kwa kuwa kama angekuwa anapinga rushwa asingejenga uwanja wa ndege kwa kutumia kandarasi ambaye wameoa sehemu moja na amemfanya mtoto wa dada yake kuwa mlipaji mkuu
Amesema rushwa imehamia ikulu ya Magufuli. Amesema wapo waliokamatwa kwa makosa ya uhujumu uchumi lakini wanamnadi kama mgombea wa jimbo moja huko Njombe
Ajibu hoja ya uwanja wa ndege wa Chato kwa kuwa Nyerere na Mkapa hawajajenga Viwanja vya taifa kwao
Mtangazaji ameuliza kuhusu CHADEMA na sera ya mambo ya nje
Lissu amejibu: Amesema wamezungumza sana kuhusu Magufuli kuharibu mahusiano basically na dunia nzima, rafiki pekee tuliye naye ni Burundi
Kwa hiyo serikali ya Chadema itarudisha mahusiano na nchi zote, kwa kuwa chadema hawana adui
Mtangazaji ameuliza, msimamo wa Lissu kuhusu COVID19 kwa kuwa hawafuati miongozo ya kiafya
Amejibu: Nchi za kiafrika hazijapiwa na Covid19 kama nchi nyingine, nchi pekee iliyopigwa na covid19 ni afrika kusini, kwa hiyo covid19 sio tishio kwa nchi zetu kama ilivyo kwa nchi za Ulaya
Amekubali kuwa hali ya corona sio mbaya, sio kwa Tanzania tu, bali kwa nch zote za kiafrika,
Kwa hilo amekiri kukubaliana na Magufuli, lakini anakataa kuwa Magufuli ndio aliikimbiza covid19 wakati kimsingi alijificha kwa wiki sita
Ktk kumalizia
Amesema serikali ya chadema itastawisha uhuru wa habari uhuru wa mahakama nk