Nilichoambulia hapo ni namba ya simu tu, vingine blah blah!
chazea Ester wewe mtoto alivyo mahili na tishio kwa uhai wa magamba hadi baba yake kafikia kumkana! Ritzzzzzzz mara hii mnalo kakaNi upepo tu utapita.
Congratulations to Easter. At the very early time in her life she has started to show the way to a number of young girls. A real role model of a girl of the time in Tanzania.
si unajua loyola kuna mwaka mmoja wa pre form one?Ok kamanda Esther.. umezaliwa 1987 ukaanza std 1 mwaka 1992 _ukiwa na mika 5. sekondari 1999 hadi 2003 ulisoma mika mitano vipi form two ili_fail au ndo mambo zenu za english medium pre form one mwaka Mzima.
hebu weka takwimu sawa.
Nafikiri aanze na nafasi kama mwenyekiti bawacha kwanza. Lakini naona kama hatatetereka ans future nzuri sana ya kisiasaHuyu binti imeiva sana kisiasa. Inafaa kabisa muda ukifika, akachukue fomu za kugombea uenyekiti wa chama Taifa au mwenyekiti alipeleke jina lake kwenye baraza kuu ili limchague kuwa katibu mkuu wa chama.
dada angu huyu ameukuna moyo wangu, anaongea as if ameshakuwa kwenye siasa miaka mingi na anajua hasa maisha ya mtanzania halisi na vizingiti vyake towards true development. big up sana dada endelea kujinoa na usikatishwe tamaa na watu wenye mawazo tofauti na wewe hiyo iwe ndo tool yako muhimu ya kukujenga zaidi
All the best dada!! May god shine your way on whatever is ahead of you!!
Watakuelewa tu Ester. Songa mbele