EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,512
MWANDISHI: Nimesikia tetesi kwamba umehamia ACT Wazalendo. Unaweza kuthibitisha ni kweli au si kweli?
CHENGE: Kama ni tetesi mimi nathibitishaje? Mimi siyo mtu wa kuthibitisha tetesi, wewe nenda hukohuko ulipopata source zako.
MWANDISHI: Vipi utamuunga mkono Mgombea aliyeletwa na Chama cha Mapinduzi kwenye jimbo lako?
CHENGE: Hebu acha Upumbavu wako. Unajua mi sipendi mambo ya kipumbavu? Nakwambia kabisa mimi huwa sipendi upumbavu wenu. Wewe ulinipa uanachama wa CCM wewe? Acheni mambo ya mchezo mchezo.
MWANDISHI: sasa tutegemee nini ukiwa unaenda kustaafu Siasa?
CHENGE: Nasema hivi, wewe siyo mtu wa kunihoji wewe. Fanya kazi yako na mimi nifanye mambo yangu.!
Mzee baba, Nyoka mwenye makengeza kamwaga povuu kama looote!.
Usitufokee!
CHENGE: Kama ni tetesi mimi nathibitishaje? Mimi siyo mtu wa kuthibitisha tetesi, wewe nenda hukohuko ulipopata source zako.
MWANDISHI: Vipi utamuunga mkono Mgombea aliyeletwa na Chama cha Mapinduzi kwenye jimbo lako?
CHENGE: Hebu acha Upumbavu wako. Unajua mi sipendi mambo ya kipumbavu? Nakwambia kabisa mimi huwa sipendi upumbavu wenu. Wewe ulinipa uanachama wa CCM wewe? Acheni mambo ya mchezo mchezo.
MWANDISHI: sasa tutegemee nini ukiwa unaenda kustaafu Siasa?
CHENGE: Nasema hivi, wewe siyo mtu wa kunihoji wewe. Fanya kazi yako na mimi nifanye mambo yangu.!
Mzee baba, Nyoka mwenye makengeza kamwaga povuu kama looote!.
Usitufokee!