Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
ni wivu tuLakini kwa nini wamemkata wakati kashinda kura za maoni huu ni uonevu wa wazi kabisa
ni wivu tuLakini kwa nini wamemkata wakati kashinda kura za maoni huu ni uonevu wa wazi kabisa
Mh. Chenge amechafukwa,uhandishi wa habari ni kazi ya uvumilivu sanaMwandishi: Nimesikia tetesi umehamia ACT Wazalendo
Chenge: Kama ni tetesi mimi nathibitishaje mimi siyo mtu wa kuthibitisha , wewe nenda huko huko ulipopata source zako...
Wanasheria ni wavumilivu sana na huchunga sana ndimi zao. Chenge naona umri imekuwa mkubwa, akili umepungua.MWANDISHI: Nimesikia tetesi kwamba umehamia ACT Wazalendo. Unaweza kuthibitisha ni kweli au si kweli?
CHENGE: Kama ni tetesi mimi nathibitishaje? Mimi siyo mtu wa kuthibitisha tetesi, wewe nenda hukohuko ulipopata source zako.
MWANDISHI: Vipi utamuunga mkono Mgombea aliyeletwa na Chama cha Mapinduzi kwenye jimbo lako?...
Chini ya utawala gani hatua gani walizochukua mpaka leoJizi na jambazi hatari kwa pesa za umma wa Watanzania.
Kwahiyo maccm yameanza kuoneana wivu yenyewe kwa yenyeweni wivu tu
Wakizidiana ufisadi wanaoneana wivuKwahiyo maccm yameanza kuoneana wivu yenyewe kwa yenyewe
Kinachombeba huyu ni ukabila tuuu ??? Angekua sio msukuma angefia jelaChenge amecheleweshwa sana. Alitakiwa awe ndani kwa makosa ya uhujumu uchumi yasiyo na dhamana. Ashukuru chama tawala ni CCM. Na kama kumuunga mkono mgombea aliyeteuliwa na CCM badala yake ni mambo ya upumbavu, akawaambie hao viongozi wake wa CCM kuanzia mwenyekiti wake, sio waandishi wa habari.
Mkuu, unajua ni kwa nini kaunga mkono kukatwa huku kuahidi kutoa ushirikiano mchana kweupe?Haitakuja tokea kufunguliwa mashtaka tena kama wanataka serikali imlipe tena wajaribu kumshitaki
Kuna mtangazaji flani wa kike wa Mwanahalisi online, aisee sijapata kumsikiliza mtangazaji kilaza kama yule.Ila tasnia ya habari imejaa makanjanja sana
Hasira za mkiziMWANDISHI: Nimesikia tetesi kwamba umehamia ACT Wazalendo. Unaweza kuthibitisha ni kweli au si kweli?
CHENGE: Kama ni tetesi mimi nathibitishaje? Mimi siyo mtu wa kuthibitisha tetesi, wewe nenda hukohuko ulipopata source zako...
Unataka kusema ni kilaza kuzidi hawa wa clouds na tiiiibiiisiiii wani!??Kuna mtangazaji flani wa kike wa Mwanahalisi online, aisee sijapata kumsikiliza mtangazaji kilaza kama yule.
Naye atakuwa mpumbavu sawa na hao anaowaita wapumbavu kama alishindwa kusoma alama za nyakati.Lakini kwa nini wamemkata wakati kashinda kura za maoni huu ni uonevu wa wazi kabisa
Hawa sio vilaza, ni kujipendekeza kunawasumbua. Huyo mdada ni balaa mzee, alishindwa kusoma zile asilimia ambazo H. Mwinyi alizipata kwenye NEC, ukiacha hilo alikuwa anaongea vitu vya ajabu sana. Nafikiri atakuwa ni cheap labour yule. Kuna mwingine huko huko Mwanahalisi alimuhoji kubenea sababu za kuhamia ACT, hajiamini kabisa yule kijana.Unataka kusema ni kilaza kuzidi hawa wa clouds na tiiiibiiisiiii wani!??
Ingekuwa hivi wasingemkataNani atamuweka Chenge ndani? JPM? sidhani. Chenge ana taarifa za ufisadi wa kila kiongozi wa CCM alioufanya kuanzia 1995 hadi 2010. Sasa jiulize kama hajui ufisadi wa JPM kama kivuko cha Bagamoyo au uuzaji wa nyumba za Serikali kwa vimada.