Mahojiano kati ya Andrew Chenge na Mwandishi wa TheGuardiantv leo

Hasira zinakuja kutokana na vijiswali vya hawa waandishi wetu wenye uwezo mdogo wa kuframe maswali! Mara utasikia ni CHANGA MOTO IPI.

Kila muuliza swali amekariri maneno hayo!

Ukiwaabia nendeni mkasome zaidi hawataki!
 
Chenge huwa ana uchawi wa ukweli kabisa. Aliniuzia gari ya serikali kimagendo karibu ningefungwa na yeye hakuguswa. Alichowafanyia wale watu imebaki kuwa siri yangu ila jamaa ni mpiga dili na yeye kuua haoni shida yoyote!
Mzee wa fursa huyo kila dili kubwa yupo!!
 
Chenge amecheleweshwa sana. Alitakiwa awe ndani kwa makosa ya uhujumu uchumi yasiyo na dhamana. Ashukuru chama tawala ni CCM. Na kama kumuunga mkono mgombea aliyeteuliwa na CCM badala yake ni mambo ya upumbavu, akawaambie hao viongozi wake wa CCM kuanzia mwenyekiti wake, sio waandishi wa habari.
Haitakuja tokea kufunguliwa mashtaka tena kama wanataka serikali imlipe tena wajaribu kumshitaki
 
Chenge amecheleweshwa sana. Alitakiwa awe ndani kwa makosa ya uhujumu uchumi yasiyo na dhamana. Ashukuru chama tawala ni CCM. Na kama kumuunga mkono mgombea aliyeteuliwa na CCM badala yake ni mambo ya upumbavu, akawaambie hao viongozi wake wa CCM kuanzia mwenyekiti wake, sio waandishi wa habari.
Nani atamuweka Chenge ndani? JPM? sidhani. Chenge ana taarifa za ufisadi wa kila kiongozi wa CCM alioufanya kuanzia 1995 hadi 2010. Sasa jiulize kama hajui ufisadi wa JPM kama kivuko cha Bagamoyo au uuzaji wa nyumba za Serikali kwa vimada.
 
Kavurugwa na akavurugika-acha ashushe presha na mhemuko, John kamfanyia kitu mbaya isiyokuwa na maelezo kama ingekuwa mimi ningetoa povu lililotukuka.

Kuna mwingine asubiri zamu yake inakuja (kama CCM itashinda), nae atakatwa kishenzi........kama wale waliojiita "sisi ni majembe ya Kikwete" na asubuhi mkwere akawachinjia baharini.
 
CCM ndio mmewafanya Waandishi wawe wa kiwango hiki. Wamezoea kuuliza maswali sampuli ya kulamba miguu (kujidhalilisha na kujipendekeza). Majibu kao hayo ya Chenge ndio sahihi kabisa kwao. Msalime Dr.Abbas huko aliko..
Mtoto wa kyela...nakuona.
 
Back
Top Bottom