ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Kwani hadi sasa umetumia bei gani?Kweli mkuu. Hata hivyo leo nimemwambia tuachane akaanza kunibembeleza, nikamwambia hapana nimechoka na uongo.... Lakini inaumiza Jamani
Kwani hadi sasa umetumia bei gani?Kweli mkuu. Hata hivyo leo nimemwambia tuachane akaanza kunibembeleza, nikamwambia hapana nimechoka na uongo.... Lakini inaumiza Jamani
Mwanza una muda gani? Maana zipo nyingi hadi keroMkuu ivi kuna chimbo gani hapa mwanza kama zile chimbo za dsm? angalau nikapunguze stress.
Ha ha haHahaa kumbe upo mwanza, mwanza chimbo nyingi tu kwanza upo wapi muda huu?
Ili nikueleze kulingana na ukaribu wa hiyo huduma.
yeahNeno lenye faraja
huyo mwache, tafuta mwingine mwenye sifa oa,Mkuu sasa mwanamke muongo kama huyu nikimuoa ntamuweza kweli?
Yaaah weee Fanya ivo ,,alafu usimpigie simu wala kutumia meseji ,, kauka.tuliiiiiii akikuanza kuchat chat alafu unamwambia baadae saizi nipo bize.Mkuu asante sana. Nimeamua nipunguze kumpatia hela ya matumizi.
Mkuu asante sana.... Haya ndio maneno yenye faraja niliyokuwa nayahitaji.Yaaah weee Fanya ivo ,,alafu usimpigie simu wala kutumia meseji ,, kauka.tuliiiiiii akikuanza kuchat chat alafu unamwambia baadae saizi nipo bize.
Yaaan unapaswa umuonyeshe yakua ,,licha yakwamba nmekulipia kodi ,,MIMI kwangu iyo nikitu kidogo....kwaiyo huo ukimya utamfikirishaa weeeee ,atahangaikaa kupata majibuuu weeee ,, siku moja atakula mzigo.
Piga kimyaaa piga kimya pigs kimyaaa ,, nakuambia wiki ijayo unakula mzigo .
Usisahau kuja kutupa feedback
Kuambiwa wiki ijayo utatenda dhambi ya uzinzi? Nakuhakikishia hiyo ni moja kati ya mifano mingi ya ahadi za chama kijani chetu. Hutopata kituMkuu asante sana.... Haya ndio maneno yenye faraja niliyokuwa nayahitaji.
Ubarikiwe Boss.
Aaahhh acha kumwonea mwenzko wivu..Kuambiwa wiki ijayo utatenda dhambi ya uzinzi? Nakuhakikishia hiyo ni moja kati ya mifano mingi ya ahadi za chama kijani chetu. Hutopata kitu