Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Mbunge wa nkasi kusini mh deogratias ameuliza je chakula kinakatazwa kuuzwa nje ya nchi sababu akuna uchaguzi wa siasa ama??hivi ninyi mnatuzuia kuuza vyakula nje ya nchi kungekuwa na uchaguzi mngetufanyia hivi
kwanza kabla ya kuendelea nakupa five mhe
akasema mijini wakati wa uchaguzi mkuu waliwakataa mkakimbilia vijijini kwa wakulima wakwakubali lakini leo mnawageuka loh hatukubalikwa hili hata kidgo
tuntaka hiyo mipaka ifunguliwe mara moja tuuze chakula nje ya nchi...jukumu la kuilisha nchi siyo wakulima bali serikali nawaambia hatutaki kabisa hiyo tabia yenu chafu...alisema mh mpata
baada ya kutooneshwa kuridhishwa na bajeti hiyo wabunge wa ccm wote waliitana chimwaga na kilichoongelewa bado tunaendeleea kufwatilia
kwanza kabla ya kuendelea nakupa five mhe
akasema mijini wakati wa uchaguzi mkuu waliwakataa mkakimbilia vijijini kwa wakulima wakwakubali lakini leo mnawageuka loh hatukubalikwa hili hata kidgo
tuntaka hiyo mipaka ifunguliwe mara moja tuuze chakula nje ya nchi...jukumu la kuilisha nchi siyo wakulima bali serikali nawaambia hatutaki kabisa hiyo tabia yenu chafu...alisema mh mpata
baada ya kutooneshwa kuridhishwa na bajeti hiyo wabunge wa ccm wote waliitana chimwaga na kilichoongelewa bado tunaendeleea kufwatilia