Ardhi ya Dar es Salaam ina chumvi, kwa hiyo kila kitu kimachotokana na ardhi ya Dar es salaam, kina ladha tofauti na kitu kingine chiochote kile kinacholimwa mikoani, vya mikoani vyote vina ladha, vya Dar es salaam, havina ladha. Ni sababu ya ardhi ya chumvi.Why mahindi ya kuchemsha ya mikoani au vijijini au pembezoni mwa jiji Yana ladha tamu kuliko haya ya mjini?
Shida iko wapi?
Wa mjini wanakosea wapi?
Kutumia gesi? Umeme? Au aina Tu za mahindi?