Mahindi chakula maalumu kwa wanyama

Khalifavinnie

JF-Expert Member
May 19, 2017
2,761
2,311
Habar ndugu na marafiki wa JF

Leo nataka tudadavue kuhusu nafaka pendwa ya kiamerica iliyoletwa miaka ya 1500AD, nayo ni mahindi. Hili zao ni mahususi sana kwa chakula cha mifugo mfano kuku, ng'ombe, mbuzi na wanyama wengineo. Zao hili lilijipatia nguvu sana na kuwa kama chakula tegemezi africa miaka ya 1600.

Manufaa ya mahindi yamekuwa na umuhimu sababu watu wa America walitushawishi na tukashikika vilivyo kuachana na milo yetu ya asili na kukamatia kitu cha nguna(ugali), kande na mbonoso(mahindi ya kuchoma) tukasahau kabisa milo tuliyokuwa tukitumia

Hivyo kutupelekea udumavu wa misuli, akili mpaka afya. Tuna mamia ya miaka tuko kwenye shuhuli ya nguna na nguna tunafaham vilee inatufanya tuwe vituko kila kukicha ni hayo tuu kwa anaeongezea mengine aongeze.
 
Habar ndugu na marafiki wa JF

Leo nataka tudadavue kuhusu nafaka pendwa ya kiamerica iliyoletwa miaka ya 1500AD, nayo ni mahindi. Hili zao ni mahususi sana kwa chakula cha mifugo mfano kuku, ng'ombe, mbuzi na wanyama wengineo. Zao hili lilijipatia nguvu sana na kuwa kama chakula tegemezi africa miaka ya 1600.

Manufaa ya mahindi yamekuwa na umuhimu sababu watu wa America walitushawishi na tukashikika vilivyo kuachana na milo yetu ya asili na kukamatia kitu cha nguna(ugali), kande na mbonoso(mahindi ya kuchoma) tukasahau kabisa milo tuliyokuwa tukitumia

Hivyo kutupelekea udumavu wa misuli, akili mpaka afya. Tuna mamia ya miaka tuko kwenye shuhuli ya nguna na nguna tunafaham vilee inatufanya tuwe vituko kila kukicha ni hayo tuu kwa anaeongezea mengine aongeze.
Afu inajikusanya kiwiliwilini, mtu akifika foty ka gunia vile ukimwangalia shape.
 
Kutokana na hali ya kiuchumi tuliyonayo sisi waafrica itakuwa ni ngumu sana kuachana na ulaji wa product zitokanazo na mahindi kwani gharama za nafaka zingine ambazo haziathiri intellectual ya mtu mfano mchele na ngano hatuwezi zimudu we angalia bei za mchele na unga wa ngano zisivyokamatika .Cha muhimu tuongeze na ulaji wa vyakula vyenye vitamins hasa matunda katika milo yetu tutakuwa vizuri tu kiakili
 
Kama mwili wako unahitaji wanga na kwenye mahindi kuna wanga una taka nini tena bwashee ..... piga nguna mzee ukishiba mshukuru MUNGU man kule Somalia hata hiyo mahindi ya ng'ombe wanaitafta kwa tochi
 
Mimi ndo Sir napenda ugali,
Ndugai nae anapenda ugali,
Betina nae anapenda ugali,
Yoyoyoyooo ugali ugali ugali,
Msoga nako wanapenda ugali,
Kongwa nako wanapenda ugali,
Anko Pala nae anapenda ugali,
Yoyoyoooo ugali ugali ugali
 
Habar ndugu na marafiki wa JF

Leo nataka tudadavue kuhusu nafaka pendwa ya kiamerica iliyoletwa miaka ya 1500AD, nayo ni mahindi. Hili zao ni mahususi sana kwa chakula cha mifugo mfano kuku, ng'ombe, mbuzi na wanyama wengineo. Zao hili lilijipatia nguvu sana na kuwa kama chakula tegemezi africa miaka ya 1600.

Manufaa ya mahindi yamekuwa na umuhimu sababu watu wa America walitushawishi na tukashikika vilivyo kuachana na milo yetu ya asili na kukamatia kitu cha nguna(ugali), kande na mbonoso(mahindi ya kuchoma) tukasahau kabisa milo tuliyokuwa tukitumia

Hivyo kutupelekea udumavu wa misuli, akili mpaka afya. Tuna mamia ya miaka tuko kwenye shuhuli ya nguna na nguna tunafaham vilee inatufanya tuwe vituko kila kukicha ni hayo tuu kwa anaeongezea mengine aongeze.
Kasome kwanza elimu ya chakula na lishe, yaani inasababisha udumavu wa misuli? tunonekanaje vituko?
 
Kutokana na hali ya kiuchumi tuliyonayo sisi waafrica itakuwa ni ngumu sana kuachana na ulaji wa product zitokanazo na mahindi kwani gharama za nafaka zingine ambazo haziathiri intellectual ya mtu mfano mchele na ngano hatuwezi zimudu we angalia bei za mchele na unga wa ngano zisivyokamatika .Cha muhimu tuongeze na ulaji wa vyakula vyenye vitamins hasa matunda katika milo yetu tutakuwa vizuri tu kiakili
Asante kwa Somo zuri, fikiria mtu anakula nguna sembe na utumbo wa kuku,
Hapo kiafya hakuna lishe ya kutosha, na akitoka hapo anaenda kunywa double kiki,
 
Ugali unaliwa tokea enzi na enzi, ukisikia mkate usiotiwa chachu ndio huo.

Kutoka 12:8
Watakula nyama yake usiku ule ule, imeokwa motoni, pamoja na mkate usiotiwa chachu; tena pamoja na mboga zenye uchungu.

Ugali unaliwa toka enzi za Nabii Musa. Na nyanya chungu na mnavu.

Kumbuka Binadamu ni Wanyama pia.
 
Habar ndugu na marafiki wa JF

Leo nataka tudadavue kuhusu nafaka pendwa ya kiamerica iliyoletwa miaka ya 1500AD, nayo ni mahindi. Hili zao ni mahususi sana kwa chakula cha mifugo mfano kuku, ng'ombe, mbuzi na wanyama wengineo. Zao hili lilijipatia nguvu sana na kuwa kama chakula tegemezi africa miaka ya 1600.

Manufaa ya mahindi yamekuwa na umuhimu sababu watu wa America walitushawishi na tukashikika vilivyo kuachana na milo yetu ya asili na kukamatia kitu cha nguna(ugali), kande na mbonoso(mahindi ya kuchoma) tukasahau kabisa milo tuliyokuwa tukitumia

Hivyo kutupelekea udumavu wa misuli, akili mpaka afya. Tuna mamia ya miaka tuko kwenye shuhuli ya nguna na nguna tunafaham vilee inatufanya tuwe vituko kila kukicha ni hayo tuu kwa anaeongezea mengine aongeze.
Kwani nasi tupo kwenye kundi la binadamu?
 
Back
Top Bottom