Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,261
- 7,195
Mkuu CDM ni chama cha kisasa sana kutokea Africa...CCM hawajaweza hata kudigest hata vitu ambavyo tayari vinafanyika.Kama chama kwa umoja wetu bila kujali dini, kabila, kanda, rangi wala jinsia tumekaa tukapanga namna ya kuikabili ccm iliyokuwa tayari imepenyeza mamluki wake wakiongozwa na Zitto,
Tulijiandaa sana kwaumoja wetu na sasa tunayafutahia matunda ya ushindi kimkakati,
Nawahakikishieni wanachadema kuwa kwakutumia ummoja wetu kama tulivyowashinda sasa hivi basi na 2015 tutashinda kwakishindo kulikomboa taifa letu.