Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,827
- 3,568
- Thread starter
- #101
Kikatiba uchaguzi mwingine utafanyika 2025. Kwa sasa yeyote asiyependa CCM analazimika kuishi na CCM hadi 2025 atakapopata nafasi nyingine ya kujaribu tena.Yaani Chadema bwana wakati huo huo hawaitaki CCM na wakati huo huo wanawataka watu fulani wa CCM.
So pathetic