Mahela Ya Bush Tugawane

AG

Member
Jun 11, 2007
82
51
Shilingi bilioni 800, Watanzania tuko milioni arobaini, si afadhali kila kichwa kichukue fungu lake! HAYO MAMBO YA VYANDARUA KILA MTU ATAJIJUA MWEYEWE. Wanamahesabu watuambie kila kichwa kitapata nini!
 
Sasa mkishagawana ndio iweje?? Pesa kama pesa haina thamani Agnes. Utasababisha mfumuko wa bei katika uchumi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom