Adam-Saffi
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 394
- 305
Nchi hii tunaenda wapi?
Mambo haya ya kupeana mahekalu na magari vipi? Tizama wananchi wengine wanavyoishi, nyumba hawana au baiskeli ndiyo ndoto tu. Hii sharia inaweza kufutwa kabisa ni mbovu. Hawa walikuwa na mawaziri halafu urais hivi kweli hawana numba zingine? Hii sharia inasemaje, ni nyumba kama tenants mpaka mauti au ni nyumba yao kabisa wakifa inaenda kwa watoto wao?
Hawa wabunge wetu wana akili ya mbu na ndiyo maana bunge lilijengwa karibu na Milembe Hospital. Futeni hii sharia jamani. Hizo nyumba na magari na pension zao nene si zingejenge basic housing kwa watu labda million mia mbili au kwa wananchi wote wa Zanzibar.
Kama kweli walikuwa marais wa kututumikia warudishe hizo nyumba. Walikula vya kutosha wakiwa viongozi.
Mambo haya ya kupeana mahekalu na magari vipi? Tizama wananchi wengine wanavyoishi, nyumba hawana au baiskeli ndiyo ndoto tu. Hii sharia inaweza kufutwa kabisa ni mbovu. Hawa walikuwa na mawaziri halafu urais hivi kweli hawana numba zingine? Hii sharia inasemaje, ni nyumba kama tenants mpaka mauti au ni nyumba yao kabisa wakifa inaenda kwa watoto wao?
Hawa wabunge wetu wana akili ya mbu na ndiyo maana bunge lilijengwa karibu na Milembe Hospital. Futeni hii sharia jamani. Hizo nyumba na magari na pension zao nene si zingejenge basic housing kwa watu labda million mia mbili au kwa wananchi wote wa Zanzibar.
Kama kweli walikuwa marais wa kututumikia warudishe hizo nyumba. Walikula vya kutosha wakiwa viongozi.
Mambo haya ya kupeana mahekalu na magari vipi? Tizama wananchi wengine wanavyoishi, nyumba hawana au baiskeli ndiyo ndoto tu. Hii sharia inaweza kufutwa kabisa ni mbovu. Hawa walikuwa na mawaziri halafu urais hivi kweli hawana numba zingine? Hii sharia inasemaje, ni nyumba kama tenants mpaka mauti au ni nyumba yao kabisa wakifa inaenda kwa watoto wao?
Hawa wabunge wetu wana akili ya mbu na ndiyo maana bunge lilijengwa karibu na Milembe Hospital. Futeni hii sharia jamani. Hizo nyumba na magari na pension zao nene si zingejenge basic housing kwa watu labda million mia mbili au kwa wananchi wote wa Zanzibar.
Kama kweli walikuwa marais wa kututumikia warudishe hizo nyumba. Walikula vya kutosha wakiwa viongozi.
Mambo haya ya kupeana mahekalu na magari vipi? Tizama wananchi wengine wanavyoishi, nyumba hawana au baiskeli ndiyo ndoto tu. Hii sharia inaweza kufutwa kabisa ni mbovu. Hawa walikuwa na mawaziri halafu urais hivi kweli hawana numba zingine? Hii sharia inasemaje, ni nyumba kama tenants mpaka mauti au ni nyumba yao kabisa wakifa inaenda kwa watoto wao?
Hawa wabunge wetu wana akili ya mbu na ndiyo maana bunge lilijengwa karibu na Milembe Hospital. Futeni hii sharia jamani. Hizo nyumba na magari na pension zao nene si zingejenge basic housing kwa watu labda million mia mbili au kwa wananchi wote wa Zanzibar.
Kama kweli walikuwa marais wa kututumikia warudishe hizo nyumba. Walikula vya kutosha wakiwa viongozi.