Mahathir Muhammad wa Malaysia alivyomjibu Mkapa baada ya kuombwa ushauri

marekani kitu cha bei rahisi kabisa ni mafuta pamoja na chakula, hayo ndio uti wa mgongo wa taifa lolote, huwezi jenga taifa la watu wenye njaa..
 
​tumefika hapa tulipo sababu ya ccm dhoofu na kikwete dhaifu yuko wapi lowas uongoze nchi iliyopotea?
 
..Mkapa did not have to go to Malaysia to get such ideas.

..mwaka 1995 mmoja wa wapinzani wa Mkapa ktk kutafuta tiketi ya CCM alidai kwamba kazi yake ya kwanza ingekuwa kuhakikisha Tanzania inajitosheleza kwa chakula.
 
Nimewahi kuuliza hapa jamvini na leo nauliza tena, KILIMO KWANZA (Agriculture first) ni kauli mbiu au ni sera?
Maana sioni mahali Tanzania ikielekea kwenye mapinduzi ya kilimo kwa mfumo huu.
Naomba jibu tafadhali.
 
Mahathir Muhammad aliyekuwa Rais wa Malaysia na ambaye sera zake zimeifanya Malaysia kuendelea vilivyo aliombwa ushauri na Rais Mkapa (alipokuwa Rais) juu ya siri ya Malaysia kuendelea ili na sisi tupewe hiyo dawa waliyotumia Malaysia.

Jibu la Mhathir lilikuwa very simple: ''Anzisha sera inayoeleweka ya kilimo, Lisha raia wako na muwe na reserve kubwa ya Chakula kwanza kisha mengine yatafuata''

Namheshimu sana Mahathir kwa kuwa kiongozi wa aina ya Nyerere katika kuwa na mapenzi makubwa na nchi yake na kuifikisha mbali sana kiuchumi.

Lakini lazima tukiri kwamba kugundulika kwa mafuta Malaysia kulichangia sana kuiinua nchi hiyo kiuchumi, kwa kuwa Mahathir alikuwa kiongozi makini. Leo hii Petronas, kampuni ya taifa ya mafuta Malaysia, ni mojawapo ya makampuni makubwa ya mafuta duniani. Si kweli kwamba kilimo pekee ndio kiliinua Malaysia.

Kwa hiyo Mahathir alipaswa kumwambia Mkapa ahakikishe anatumia rasilimali za nchi, dhahabu, Tanzanite, almasi, mbuga za wanyama nk, kwa kuifaidisha Tanzania, sio kuwafaidisha wawekezaji.

Kwa nchi kama Tanzania, tunapaswa kuyafanya madini yetu kama ndio mafuta yetu, na kuhakikisha kampuni ya madini ya taifa, STAMICO, ndio inasimamia mambo yote ya madini pamoja na utoaji wa leseni za exploration na uchimbaji, na kungia kitu inaitwa "Production Sharing Agreement, PSA" na wawekezaji wote wa madini nchini, wa ndani na wa nje.

Inabidi tutumie formula ya PSA ya mafuta kwa madini yetu, na kuifanya STAMICO kama vile Petronas ya Malaysia au STATOIL ya Norway.
 
Mahathir Muhammad aliyekuwa Rais wa Malaysia na ambaye sera zake zimeifanya Malaysia kuendelea vilivyo aliombwa ushauri na Rais Mkapa (alipokuwa Rais) juu ya siri ya Malaysia kuendelea ili na sisi tupewe hiyo dawa waliyotumia Malaysia.

Jibu la Mhathir lilikuwa very simple: ''Anzisha sera inayoeleweka ya kilimo, Lisha raia wako na muwe na reserve kubwa ya Chakula kwanza kisha mengine yatafuata''

Mpaka ngano tunaagiza toka nje.

 
Last edited by a moderator:
Namheshimu sana Mahathir kwa kuwa kiongozi wa aina ya Nyerere katika kuwa na mapenzi makubwa na nchi yake na kuifikisha mbali sana kiuchumi.

Lakini lazima tukiri kwamba kugundulika kwa mafuta Malaysia kulichangia sana kuiinua nchi hiyo kiuchumi, kwa kuwa Mahathir alikuwa kiongozi makini. Leo hii Petronas, kampuni ya taifa ya mafuta Malaysia, ni mojawapo ya makampuni makubwa ya mafuta duniani. Si kweli kwamba kilimo pekee ndio kiliinua Malaysia.

Kwa hiyo Mahathir alipaswa kumwambia Mkapa ahakikishe anatumia rasilimali za nchi, dhahabu, Tanzanite, almasi, mbuga za wanyama nk, kwa kuifaidisha Tanzania, sio kuwafaidisha wawekezaji.

Kwa nchi kama Tanzania, tunapaswa kuyafanya madini yetu kama ndio mafuta yetu, na kuhakikisha kampuni ya madini ya taifa, STAMICO, ndio inasimamia mambo yote ya madini pamoja na utoaji wa leseni za exploration na uchimbaji, na kungia kitu inaitwa "Production Sharing Agreement, PSA" na wawekezaji wote wa madini nchini, wa ndani na wa nje.

Inabidi tutumie formula ya PSA ya mafuta kwa madini yetu, na kuifanya STAMICO kama vile Petronas ya Malaysia au STATOIL ya Norway.

Arguments zako ni invalid

Ukiwa na njaa huwezi kuwa na akili ya kufikiria
 
Tukiendelea na hiki kilimo chetu cha kujikimu njaa haitaondoka tanzania, yako wapi yale mashamba makubwa ya NAFCO yalioanzishwa na mwalimu nyerere? TBL ngano wanaagiza S.A, sukari S,A huku tukitamba tunainua uchumi wetu. Ndugu zetu viongozi waangalie
 
Back
Top Bottom