wimbi la mbele
JF-Expert Member
- Jan 4, 2011
- 647
- 266
Mahathir Muhammad aliyekuwa Rais wa Malaysia na ambaye sera zake zimeifanya Malaysia kuendelea vilivyo aliombwa ushauri na Rais Mkapa (alipokuwa Rais) juu ya siri ya Malaysia kuendelea ili na sisi tupewe hiyo dawa waliyotumia Malaysia.
Jibu la Mhathir lilikuwa very simple: ''Anzisha sera inayoeleweka ya kilimo, Lisha raia wako na muwe na reserve kubwa ya Chakula kwanza kisha mengine yatafuata''
well of course kama mjuavyo
jambo la kwanza mawaziri waandamizi (Mary Nagu na wengine) walitekeleza hilo kwa kupiga marufuku kiwanda cha mbolea kisijengwe Mtwara ili kulinda maslahi ya wanaoagiza mbolea toka nje ya nchi
jambo la pili Tumekuja na sera ya kilimo kwanza mabyo ni sawa na kilimo mwisho...ma trekta mabovu toka India yameletwa na sasa yanaoza kule JKT
jambo la tatu tumeamua kumtegemea Mungu kwenye kilimo...atuletee mvua ndio tunafurahi na tumeogopa hata kuanzisha kilimo cha umwagiliaji toka ziwa victoria kisa? tunaogopa kupigwa na Misri.
Leo hii tunanyanyasika kuomba omba toka kwa hisani ili watusaidie chakula. Mpaka ngano tunaagiza toka nje.
Jibu la Mhathir lilikuwa very simple: ''Anzisha sera inayoeleweka ya kilimo, Lisha raia wako na muwe na reserve kubwa ya Chakula kwanza kisha mengine yatafuata''
well of course kama mjuavyo
jambo la kwanza mawaziri waandamizi (Mary Nagu na wengine) walitekeleza hilo kwa kupiga marufuku kiwanda cha mbolea kisijengwe Mtwara ili kulinda maslahi ya wanaoagiza mbolea toka nje ya nchi
jambo la pili Tumekuja na sera ya kilimo kwanza mabyo ni sawa na kilimo mwisho...ma trekta mabovu toka India yameletwa na sasa yanaoza kule JKT
jambo la tatu tumeamua kumtegemea Mungu kwenye kilimo...atuletee mvua ndio tunafurahi na tumeogopa hata kuanzisha kilimo cha umwagiliaji toka ziwa victoria kisa? tunaogopa kupigwa na Misri.
Leo hii tunanyanyasika kuomba omba toka kwa hisani ili watusaidie chakula. Mpaka ngano tunaagiza toka nje.